Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

Mtoto wa kike anatukana matusi kwenye daladala na anasema haogopi mtu

1. Maana ya Kawaida:

Kisenge ni sehemu ya juu ya kuta za nyumba, karibu na paa, au sehemu ya ukuta inayoshikilia paa. Katika muktadha huu, linahusiana na usanifu wa nyumba.
Lugha ubadirika kulingana na mazingira ya jamii husika, mfano unaweza kumwambia mtu kuwa wewe unatoa tigo.
 
Ila kupika makande ndio ilifaa kujadiliwa sio?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👀Watu wanatema shit kinoma
 
Matusi ukinifundisha wewe
images
 
Kuna siku kidada chembambaa kina nywele za kusuka zina marangi rangi ya rainbow na dera na pini puani, kilirudishiwa chenji mia (100) pungufu wee.. tokea matumbi hadi segerea tunasikiliza tambo zake tu alafu kikapigia simu tagi waje kumpokea stendi konda mhuni ila alikubali show.
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
Ni hasira tu, the truth is akibanwa kidogo ataanza kuomba msaada
 
Hapo ilitakiwa mtu m'moja alianzishe aseme "unasema unamuogopa nani, kwahiyo sisi tumekwambia tunavutiwa na matusi yako". Halafu ajibu kwa shari aanzishe vagi the balaa limrudie. Gari zima wangekula nae sahani moja.
 
Jana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.

Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.

Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”

Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
Watu wamevurugwa waacheni
 
Unaweza mkuu, mfano mtu anakwambia maneno laini kama udongo wa dongola unamwambia acha maneno ya kisenge yaani aache maneno laini ya uongo
Hivi unaweza mwambia mtu unaemheshimu " Acha maneno ya kisenge"
 
Back
Top Bottom