miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Hivi unaweza mwambia mtu unaemheshimu " Acha maneno ya kisenge"Kisenge sio tusi ni aina ya udongo unaotumika kutengeneza nyumba za dondola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaweza mwambia mtu unaemheshimu " Acha maneno ya kisenge"Kisenge sio tusi ni aina ya udongo unaotumika kutengeneza nyumba za dondola
Sawa Oni Sigala, mhunzi na mwanamagenzi wa lugha asilia1. Maana ya Kawaida:
Kisenge ni sehemu ya juu ya kuta za nyumba, karibu na paa, au sehemu ya ukuta inayoshikilia paa. Katika muktadha huu, linahusiana na usanifu wa nyumba.
Wanaotetea wanaleta mambo ya "kisenge"Huenda ikawa si tusi, lakini je unaweza uksema mbele ya mzazi ama mkweo, akikupa zawadi, ukamwambia "ahsante, zawadi hii nimeipenda kisenge" 🤣
Nimechekaa kinyama yaanisasa anaambiwa twende nyumbani akaanza kufokea wakubwa zake halafu anasema niacheni na maisha yangu na yule kijana kuona wakubwa wanafokewa hawafanyi chohote nae akaungana na yule binti kufoka
Lugha ubadirika kulingana na mazingira ya jamii husika, mfano unaweza kumwambia mtu kuwa wewe unatoa tigo.1. Maana ya Kawaida:
Kisenge ni sehemu ya juu ya kuta za nyumba, karibu na paa, au sehemu ya ukuta inayoshikilia paa. Katika muktadha huu, linahusiana na usanifu wa nyumba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👀Watu wanatema shit kinomaIla kupika makande ndio ilifaa kujadiliwa sio?
🤣🤣Huenda ikawa si tusi, lakini je unaweza uksema mbele ya mzazi ama mkweo, akikupa zawadi, ukamwambia "ahsante, zawadi hii nimeipenda kisenge" 🤣
Matusi ukinifundisha wewe
Unadhani nimekusahau
Kajamaa kaoga sana, yaani kangevizia daladala inaanza kuodnoka ndio kangempiga konzi halafu anatoka mbio kuelekea mitaani,Hahah nimecheka eti ungeenda kumpiga konzi.
Ni hasira tu, the truth is akibanwa kidogo ataanza kuomba msaadaJana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.
Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.
Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”
Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
Watu wamevurugwa waacheniJana nimekutana na dharau kwenye daladala ambapo kila mmoja alikua amefura kwa staili yake.
Baada ya kupanda tu dada akaanza kuongea na simu, ikionesha amemuazima gari anaeongea nae. Sentence “ gari yangu” ilitumika sana. Sauti ilikua kubwa gari zima alisikika yeye.
Sasa sijui uyo aneongea nae alimwambia nini, yule dada a kasema “ acha dharau za kisenge”
Next inaonekana aliambiwa we si uko kwenye daladala, huyu dada alisema “ Kwani namuogopa nani?”
Gari zima watu kimya, wanatazamana tu.
Huyu dada hajali nani yuko garini wala nini. Ni anajeri mbaya sana. Nilitaman ingekua night nikishuka nizunguuke dirishani nimpige kwenzi moja kali sana
'Senge' au 'lisenge' kwa lugha zingine ni sebule.1. Maana ya Kawaida:
Kisenge ni sehemu ya juu ya kuta za nyumba, karibu na paa, au sehemu ya ukuta inayoshikilia paa. Katika muktadha huu, linahusiana na usanifu wa nyumba.
Hivi unaweza mwambia mtu unaemheshimu " Acha maneno ya kisenge"