Mtoto wa kiongozi wa kundi la HAMAS abadili dini na kuwa MKRISTO na kuelezea yanayofanyika ndani ya Hamas

Mtoto wa kiongozi wa kundi la HAMAS abadili dini na kuwa MKRISTO na kuelezea yanayofanyika ndani ya Hamas

1. Vifo vya watoto
2.vifo vya wazee
3 Vifo vya akina mama
4.Ulemavu wa kudumu
Hizi ni atari mbaya sana za vita na kamwe hazivumiliki kwa kisingizio cha udini.
 
Lakini huyo amebadiki dini Mwaka 2008, siyo ya sasa hata tuseme limetengenezwa sasa.
Sasa jiulize wewe miaka yote hiyo lilikuwa wapi liibuke leo?


Uharo tu huo wa kutowana njiani na kupotezeana muda.
 

Huwa nashangaa sana nikisikia mtu anamuua mwenzake na wakati huo huo anasema "Mungu ni mkuu". Yaani unaamini kuua binadamu mwenzako kwakuwa haamini unachoamini wewe ni kumtukuza Mungu?
Itakuwa mungu mnywa damu
 
Mtoto wa kiume kiongozi wa kundi la Hamas anayeitwa Mosab Hassan Youssef, amekuja wazi na kuonesha kutopendezwa na mienendo ya Kundi la Hamas, kitu ambacho kilipelekea kubadili dini na kuwa Mkristo na sasa anaishi kwa Amani. Mosab Hassan Youssef aliandaliwa kuwa kiongozi atakayerithi uongozi wa baba yake ila yeye akaamua kuachana na hayo mambo na kuwa Mkristo na badae kujikita kuandika vitabu mbalimbali ikiwemo kinachohusu kundi la Hamas, ikumbukwe kundi la Hamas linapigania kuchukua Palestina na kuifanya kuwa Nchi itakayoongozwa kwa misingi ya dini ya kiislam. Amesikika akisema

"HAMAS hawajali maisha ya wapalestina wala waisraeli au wamarekani, na hawajali maisha yao binafsi. Wanachojali ni kufa kwa ajili ya mitazamo yao na jinsi wanavyoabudu. Utaendelea vipi katika jamii ya namna hiyo?"

Aliongezea tena baada ya kuulizwa tena na mwandishi kuwa je utaweza kukaa sehemu moja na mtu anayetaka kumuangamiza; akajibu,

"Hamas hawataki kushirikiana kwa kuwa pamoja, wala mashauriano. Hamas wanachotafuta ni kupiga na kushinda, wanataka wao ndio wawe washindi kila mahali. Hata hivyo Hamas kuishambulia na kuipiga Israel sio lengo lao kuu la mwisho, lengo kuu la HAMAS ni kujenga utawala wa serikali ya kiislamu (Islamic Khilafah), kwa maana ya kuwa nchi nzima iwe ya kiislamu, na raia wote wawe chini ya dini ya kiislam. Hili ndilo lengo kuu la harakati zao"

Mtangazaji akauliza tena, Mosab kwenye kitabu chako umeelezea kuwa Hamas shabaha yao kuu ni kuwalenga Raia na kuwatumia kama dhana ya vita, tuambie Hamas unayoifahamu wewe toka ukiwa mdogo hadi unakuwa mkubwa huko West Bank;

Mosab akajibu "Ndani ya misikiti, Hamas walitufundisha bila kumwaga damu za wasio kuwa na hatia juu ya mitazamo yetu, tunataka kuwa na uwezo wa kutengeneza taifa litakalo kuwa chini ya uislamu. Na tulikuwa tunaandaliwa kabisa tukiwa wadogo sana, tukiwa na umri kuanzia miaka 5. Na haya ndio yalikuwa malengo yao ambayo walikuwa wakitulisha tukiwa wadogo. Na kiukweli ilikuwa ngumu au haiwezekani kwa mtu yeyote kutoboa na kuona ukweli juu ya nyuso za Hamas zisizokuwa za kweli, na kuweza kuachana nao kwa namna fulani. Na kama mnavyoona kwenye kesi yangu ilinibidi nipoteze kila kitu kwa ajili tu ya kuwakataa Hamas. Na leo nikiwatazama watoto wa Gaza, na ninajua nini wanalishwa, na ninajua hawana machaguo.

Hayo yalikuwa ni mahojiano yaliyofanyika na chombo cha habari za CNN dhidi ya Mosab Hassan Youssef. Tazama mahojiano hapo chini.


View: https://youtu.be/pLdjJXtwSzA?si=a2mnZQnr6F-5b4QK

Stupid propaganda.
 
Lakini huyo amebadiki dini Mwaka 2008, siyo ya sasa hata tuseme limetengenezwa sasa.
Ilimaanisha kwamba HAMAS ilikuwa na mipango hiyo kwa muda mrefu... Yani agenda yao ya mashambulizi ni ya muda mrefu, ndio maana wanachukua watoto wakiwa wadogo wanawapandikiza hizi fikra hili kazazi na kizazi waje kufanya hayo mambo... Wewe msikilize anachosema ni kuwa watoto ndio wanaolengwa zaidi hili kutelekeza maoni yao ya miaka ijayo
 
Sasa hivi tutasikia kila uharo.

Wayahudi wanajuwa kuunda filamu.

Wajinga ndiyo waliwao.
Unashangaa nini wakati Hamas wana long term plan, ndio maana wanafundisha watoto hizo ideology wakiwa bado wadogo, hili baba zao watakapokufa wao waendeleze huo uhasama, na lengo la HAMAS ni Palestina kuwa taifa la kiislamu haijalishi itachukua miaka mingapi... Sasa unashangaa kubadilisha dini 2008? Vita picha yeye alikimbia hayo mambo 2008, ila historia imekuja kujidhiirisha 2023, huoni kuwa HAMAS walikuwa wanasuka plan tangu zaman, na wanarithisha kwa watoto huko misikitini
 
Kwani kundi lina Kiongozi mmoja?

Acha mawazo finyu
makundi ya kigaidi huwa na viongozi wengi, wanajua kuwa na kiongozi mmoja saa yoyote anaweza kuuwawa, hivyo viongozi wanakuwa wengi, ukiuwa mmoja wengine wapo wanaendeleza mapambano
 
Unashangaa nini wakati Hamas wana long term plan, ndio maana wanafundisha watoto hizo ideology wakiwa bado wadogo, hili baba zao watakapokufa wao waendeleze huo uhasama, na lengo la HAMAS ni Palestina kuwa taifa la kiislamu haijalishi itachukua miaka mingapi... Sasa unashangaa kubadilisha dini 2008? Vita picha yeye alikimbia hayo mambo 2008, ila historia imekuja kujidhiirisha 2023, huoni kuwa HAMAS walikuwa wanasuka plan tangu zaman, na wanarithisha kwa watoto huko misikitini

Huu uharo tu hauna lolote la maana.

Hao wafanyayo hayo maigizo mbona wapo wengi sana na sasa hivi ni soko kubwa sana USA, Canada na Ulaya.

Hao hawana tofauti na wale wanawake wanaovalishwa hijab kujifanya waislam kwa wachungaji wapigaji.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Ilimaanisha kwamba HAMAS ilikuwa na mipango hiyo kwa muda mrefu... Yani agenda yao ya mashambulizi ni ya muda mrefu, ndio maana wanachukua watoto waki
wa wadogo wanawapandikiza hizi fikra hili kazazi na kizazi waje kufanya hayo mambo... Wewe msikilize anachosema ni kuwa watoto ndio wanaolengwa zaidi hili kutelekeza maoni yao ya miaka ijayo
Hawa watoto mafunzo yao ni kuandaliwa kufa, ila wanasisitizwa kabla ya kufa wawe wamefanya jambo kwa ajili ya deen
 
Sasa jiulize wewe miaka yote hiyo lilikuwa wapi liibuke leo?


Uharo tu huo wa kutowana njiani na kupotezeana muda.
Taarifa ipo muda mrefu, ila mahojiano ndiyo ya kipindi hiki.
Kubadili dini ni kawaida tu, mbona wapo wanaotoka Ukristo kwenda kwenye uislam?
 
Sacramento, Calif., Aug 14, 2008 / 14:10 pm

Masab-Joseph Yousef, a son of prominent West Bank MP Sheikh Hassan Yousef, has discussed his conversion to Christianity in an interview with the Israeli newspaper Haaretz. Praying that his family will “open their eyes to Jesus,” he expressed love for his enemies and claimed Muslims’ conversion to Christianity is the only way to have a chance for peace in the Holy Land.

Yousef, 30, said his first exposure to Christianity came in Jerusalem about eight years ago, when he was invited to learn about the faith. He converted four years ago, but did not tell his father.
“For years I helped my father, the Hamas leader, and he didn't know that I had converted, only that I had Christian friends,” he said to Haaretz.
His father, Sheikh Yousef, was a founder of the extremist group Hamas in the West Bank and was imprisoned for several years for his membership in the organization.
Masab-Joseph Yousef, the oldest of eight siblings, was expected to take an active role assisting in the political work of his father, whom he claimed is opposed to killing civilians. He characterized the Israelis’ arrests of his father as very influential events in his life.

“I only knew that the Israeli army had arrested my father repeatedly, and for me he was everything: a good, loving man who would do anything for me. He took care of us, bought us gifts, gave of himself, whereas the soldiers entered our house and took him away from me.”
Arrested at the age of 18 for his leadership role in his high school Islamic society, Yousef told Haaretz he discovered in prison that most Hamas members were not as admirable as his father.
“Their leaders in prison received better conditions, such as the best food, as well as more family visits and towels for the shower. These people have no morals, they have no integrity,” he said, alleging Hamas leaders also embezzle money meant for widowed families.
Yousef, who now lives in California, described how an invitation to learn more about Christianity led him to convert.
“I was very enthusiastic about what I heard. I began to read the Bible every day and I continued with religion lessons. I did it in secret, of course. I used to travel to the Ramallah hills, to places like the Al Tira neighborhood, and to sit there quietly with the amazing landscape and read the Bible.”
“A verse like ‘Love thine enemy’ had a great influence on me,” he continued. “At this stage I was still a Muslim and I thought that I would remain one. But every day I saw the terrible things done in the name of religion by those who considered themselves 'great believers.'”

He explained that further study of Islam did not satisfy him.
“I feel that Christianity has several aspects. It's not only a religion but a faith,” Yousef continued. “I now see God through Jesus and can tell about him for days on end, whereas the Muslims won't be able to say anything about God.”
Yousef said he now considers Islam to be a “big lie,” alleging that people who supposedly represent Islam “admired Mohammed more than God, killed innocent people in the name of Islam, beat their wives and don't have any idea what God is.” He said he had no doubt such people would go to Hell, and proclaimed that “the way of Jesus” is the “one way to Paradise.”
Yousef expressed hopes for his family’s conversion and his own future return to the Holy Land.
“I know that I'm endangering my life and am even liable to lose my father, but I hope that he'll understand this and that God will give him and my family the patience and willingness to open their eyes to Jesus and to Christianity. Maybe one day I'll be able to return to Palestine and to Ramallah together with Jesus, in the Kingdom of God,” he told Haaretz.
He said he was trying to start an organization to teach the occupied territories in Palestine about Christianity. He also appealed for the conversion of his former co-religionists so that “they'll have an opportunity to correct their mistakes, to become better people and to bring a chance for peace in the Middle East.”
“Many people will hate me for this interview, but I'm telling them that I love all of them, even those who hate me,” he commented. “I invite all the people, including the terrorists among them, to open their hearts and believe.”
Kwahyo alikuwa anahamasisha wapalestina waachane na uislam na bado wakamuacha? Stori zingine hizi sijui zimekaa aje ase. Anyways,kama stori haijatengenezwa aendelee kuamini alipo coz Mungu ni mmoja tu tatizo lipo kwa sisis binadamu kutaka kuonekana njia tunayoamini ya kumfikia Mungu ni sahihi kuliko ya wengine
 
Kwahyo alikuwa anahamasisha wapalestina waachane na uislam na bado wakamuacha? Stori zingine hizi sijui zimekaa aje ase. Anyways,kama stori haijatengenezwa aendelee kuamini alipo coz Mungu ni mmoja tu tatizo lipo kwa sisis binadamu kutaka kuonekana njia tunayoamini ya kumfikia Mungu ni sahihi kuliko ya wengine
Hajasema waache Uislamu, bali kuacha kuwatumikia Hamas kwa sababu nia yao ni ovu... Yeye hakutaka ujinga akaamua na kubadilishana dini ili hawe safi
 
Nothing new sababu hizi dini zote zinatokea sehemu moja sema utofauti upo kwenye kuabudu tu.
 
Mtoto wa kiume kiongozi wa kundi la Hamas anayeitwa Mosab Hassan Youssef, amekuja wazi na kuonesha kutopendezwa na mienendo ya Kundi la Hamas, kitu ambacho kilipelekea kubadili dini na kuwa Mkristo na sasa anaishi kwa Amani. Mosab Hassan Youssef aliandaliwa kuwa kiongozi atakayerithi uongozi wa baba yake ila yeye akaamua kuachana na hayo mambo na kuwa Mkristo na badae kujikita kuandika vitabu mbalimbali ikiwemo kinachohusu kundi la Hamas, ikumbukwe kundi la Hamas linapigania kuchukua Palestina na kuifanya kuwa Nchi itakayoongozwa kwa misingi ya dini ya kiislam. Amesikika akisema

"HAMAS hawajali maisha ya wapalestina wala waisraeli au wamarekani, na hawajali maisha yao binafsi. Wanachojali ni kufa kwa ajili ya mitazamo yao na jinsi wanavyoabudu. Utaendelea vipi katika jamii ya namna hiyo?"

Aliongezea tena baada ya kuulizwa tena na mwandishi kuwa je utaweza kukaa sehemu moja na mtu anayetaka kumuangamiza; akajibu,

"Hamas hawataki kushirikiana kwa kuwa pamoja, wala mashauriano. Hamas wanachotafuta ni kupiga na kushinda, wanataka wao ndio wawe washindi kila mahali. Hata hivyo Hamas kuishambulia na kuipiga Israel sio lengo lao kuu la mwisho, lengo kuu la HAMAS ni kujenga utawala wa serikali ya kiislamu (Islamic Khilafah), kwa maana ya kuwa nchi nzima iwe ya kiislamu, na raia wote wawe chini ya dini ya kiislam. Hili ndilo lengo kuu la harakati zao"

Mtangazaji akauliza tena, Mosab kwenye kitabu chako umeelezea kuwa Hamas shabaha yao kuu ni kuwalenga Raia na kuwatumia kama dhana ya vita, tuambie Hamas unayoifahamu wewe toka ukiwa mdogo hadi unakuwa mkubwa huko West Bank;

Mosab akajibu "Ndani ya misikiti, Hamas walitufundisha bila kumwaga damu za wasio kuwa na hatia juu ya mitazamo yetu, tunataka kuwa na uwezo wa kutengeneza taifa litakalo kuwa chini ya uislamu. Na tulikuwa tunaandaliwa kabisa tukiwa wadogo sana, tukiwa na umri kuanzia miaka 5. Na haya ndio yalikuwa malengo yao ambayo walikuwa wakitulisha tukiwa wadogo. Na kiukweli ilikuwa ngumu au haiwezekani kwa mtu yeyote kutoboa na kuona ukweli juu ya nyuso za Hamas zisizokuwa za kweli, na kuweza kuachana nao kwa namna fulani. Na kama mnavyoona kwenye kesi yangu ilinibidi nipoteze kila kitu kwa ajili tu ya kuwakataa Hamas. Na leo nikiwatazama watoto wa Gaza, na ninajua nini wanalishwa, na ninajua hawana machaguo.

Hayo yalikuwa ni mahojiano yaliyofanyika na chombo cha habari za CNN dhidi ya Mosab Hassan Youssef. Tazama mahojiano hapo chini.


View: https://youtu.be/pLdjJXtwSzA?si=a2mnZQnr6F-5b4QK



Utakuwa mpango mkakati mzuti wa vita. Upinzani wangeuelewa, kwa wingi wangejiunga CCM. Ili kuimalizia huko huko. Aliutumia sana Raila kuiangusha KANU.
 
Back
Top Bottom