Mtoto wa kiongozi wa kundi la HAMAS abadili dini na kuwa MKRISTO na kuelezea yanayofanyika ndani ya Hamas

Mtoto wa kiongozi wa kundi la HAMAS abadili dini na kuwa MKRISTO na kuelezea yanayofanyika ndani ya Hamas

Utakuwa mpango mkakati mzuti wa vita. Upinzani wangeuelewa, kwa wingi wangejiunga CCM. Ili kuimalizia huko huko. Aliutumia Dana Raila kuziangusha KANU.
Mbona haueleweki kama demu aliyekula nauli
 
Taarifa ipo muda mrefu, ila mahojiano ndiyo ya kipindi hiki.
Kubadili dini ni kawaida tu, mbona wapo wanaotoka Ukristo kwenda kwenye uislam?
Kutoka kwenye dini kwenda kusiko na dini ni ajbau kubwa sana.

Watu wanatoka kizani kuingia kwenye Nuru.


Haya ni maigizo tu, hakuna zaidi.
 

Huwa nashangaa sana nikisikia mtu anamuua mwenzake na wakati huo huo anasema "Mungu ni mkuu". Yaani unaamini kuua binadamu mwenzako kwakuwa haamini unachoamini wewe ni kumtukuza Mungu?
Huyu anayetukuzwa kwa kuuwa watu ni mungu wa dunia hii ambaye yeye uuaji, uchinjaji na kuangamiza watu ndio mission yake kubwa ili apate damu yeye na malaika zake walioasi majini na mapepo ya kila aina kwa kabila zao. Ila yupo yehova Mungu wa Ibrahim, Isaac and Jacob huyu Mungu ndio mkuu na mwenye kusifiwa sana. Ni Mungu juu ya miungu yote kwake yeye kila goti litapigwa
 
Kutoka kwenye dini kwenda kusiko na dini ni ajbau kubwa sana.

Watu wanatoka kizani kuingia kwenye Nuru.


Haya ni maigizo tu, hakuna zaidi.
Watuwatoke gizani, Yesu ndiye nuru ya ulimwengu, yeyote amwaminiye hatakaa gizani kamwe.
 

Huwa nashangaa sana nikisikia mtu anamuua mwenzake na wakati huo huo anasema "Mungu ni mkuu". Yaani unaamini kuua binadamu mwenzako kwakuwa haamini unachoamini wewe ni kumtukuza Mungu?
Wakikujibu nistue mkuu. Kuna watu ni wapumbavu haijapata tokea. Na wao ndo chanzo cha migogoro mingi sana duniani
 
Kutoka kwenye dini kwenda kusiko na dini ni ajbau kubwa sana.

Watu wanatoka kizani kuingia kwenye Nuru.


Haya ni maigizo tu, hakuna zaidi.
Dini zina mambo mengi, wanaofanya maamuzi ya kutoka au kubaki hao hufanya hivyo baada ya kuiona Nuru mioyoni na akilini mwao.
Unaweza ukabaki ulipo na ikaja siku ukatoka.
Hapo itakuwa ile Nuru iliyokua inakuangazia ikawa imezimika na unakua unaiona ikimulika upande mwingine.
Hivyo yote ni kuyakubali tu, haimaanishi anayetoka ni mkosaji sana au anayebaki ndiye mwerevu na mksmilifu lah!! Ni safari tu ya mzunguko wa kimaisha na ni lazima maisha yawe hivyo.
Kulazimisha wote wawe Wakrosto au Waislam ni sawa na kulazimisha binaadam wote wawe wa Jinsia moja.
Tunahitaji yofauti zetu kuanzia mitazamo, rangi, maumbile, lugha, utamaduni, uchumi, ujinga, werevu.
Bila hayo dunia itakuwa ni sehemu ya hovyo sana.
Inawezekana nikawa binaadam pekee japa JF anaye amini na kutarajia kuna siku FaizaFoxy ataenda kubadili dini na kuwa Mkristo.
Naweza kuonekana nimechanganyikiwa, ila binafsi naona kabisa kikienda kutokea na sitashangaa.
 
Wamfiche Sana hao wenye maandishi ya kushoto ukistuka kuwa uliyekuwa unapotezea muda kubwabudu sio yule original wanakuua awe makini huyo kijana aliyeiona nyia iliyo njema kati kati ya matatizo
 
Ue
Yesu mwenye ni Muislam, huelewi hilo?

Yesu alikuwa dini gani?
Yesu hakuwa na dini, na dini kwake sii kitu kwani wanaomfuata ndio wanatakiwa wawe na mfumo wa kuiga Maisha yake duniani. Yeye aliishi kwenye jamii ya kiyahudi na alikuwa anafundisha kwenye mahekalu ya kiyahudi wakati huo hakukuwepo kitu kinachoitwa uoslam Wala msikiti
 
Ue

Yesu hakuwa na dini, na dini kwake sii kitu kwani wanaomfuata ndio wanatakiwa wawe na mfumo wa kuiga Maisha yake duniani. Yeye aliishi kwenye jamii ya kiyahudi na alikuwa anafundisha kwenye mahekalu ya kiyahudi wakati huo hakukuwepo kitu kinachoitwa uoslam Wala msikiti
Dah, sasa unamtosa Yesu, unasema kuwa ni mpagani?

Unafaahamu maana ya neno Uislam?
 
Ningekuwa na 𝖚𝖜𝖊𝖟𝖔 𝖓𝖎𝖓𝖌𝖋𝖚𝖒𝖚𝖆 𝖜𝖆𝖎𝖘𝖑𝖒𝖚 𝖜𝖔𝖙𝖊 𝖒𝖆𝖗𝖎𝖓𝖉𝖆.
 
Huu uharo tu hauna lolote la maana.

Hao wafanyayo hayo maigizo mbona wapo wengi sana na sasa hivi ni soko kubwa sana USA, Canada na Ulaya.

Hao hawana tofauti na wale wanawake wanaovalishwa hijab kujifanya waislam kwa wachungaji wapigaji.

Wajinga ndiyo waliwao.
Bibi Hamas bana
 
Hotuba nzito ya Mosab Hassan Youssef kuwalaumu PLO, HAMAS na Waarabu kutumia watoto kujinufaisha kisiasa. Sikiliza :

2019 25 June
Hamas leader's son blasts Palestinian Authority leadership at UN:

View: https://m.youtube.com/watch?v=8PH4Ydegte8

Mosab Hassan Youssef awaita viongozi wa wapalestina wawe wa HAMAS, PLO, PA- Palestinian Authority n.k kuwa ni 'machawa', wanatumia vita kujinufaisha kwa namna mbalimbali ikiwemo kutumia .....
 
Sasa hivi tutasikia kila uharo.

Wayahudi wanajuwa kuunda filamu.

Wajinga ndiyo waliwao.
Unaambiwa Muslim mmoja tu akibadili kuwa mkristo akutwa ONE IN A BILLION.

kumbuka kazaliwa na kupeleka kwenye uislamu wenyewe nakufundishwa akibadili anauwawa lakini kaamua kumuabudu Yesu Mungu wa kweli.

Karibu kundini one in a BILLION umeamua kufuata Nuri siyo giza.

Allah aende sasa kuwasaidia wapalestina siyo blah blah tu.
 
Mtoto wa kiume kiongozi wa kundi la Hamas anayeitwa Mosab Hassan Youssef, amekuja wazi na kuonesha kutopendezwa na mienendo ya Kundi la Hamas, kitu ambacho kilipelekea kubadili dini na kuwa Mkristo na sasa anaishi kwa Amani. Mosab Hassan Youssef aliandaliwa kuwa kiongozi atakayerithi uongozi wa baba yake ila yeye akaamua kuachana na hayo mambo na kuwa Mkristo na badae kujikita kuandika vitabu mbalimbali ikiwemo kinachohusu kundi la Hamas, ikumbukwe kundi la Hamas linapigania kuchukua Palestina na kuifanya kuwa Nchi itakayoongozwa kwa misingi ya dini ya kiislam. Amesikika akisema

"HAMAS hawajali maisha ya wapalestina wala waisraeli au wamarekani, na hawajali maisha yao binafsi. Wanachojali ni kufa kwa ajili ya mitazamo yao na jinsi wanavyoabudu. Utaendelea vipi katika jamii ya namna hiyo?"

Aliongezea tena baada ya kuulizwa tena na mwandishi kuwa je utaweza kukaa sehemu moja na mtu anayetaka kumuangamiza; akajibu,

"Hamas hawataki kushirikiana kwa kuwa pamoja, wala mashauriano. Hamas wanachotafuta ni kupiga na kushinda, wanataka wao ndio wawe washindi kila mahali. Hata hivyo Hamas kuishambulia na kuipiga Israel sio lengo lao kuu la mwisho, lengo kuu la HAMAS ni kujenga utawala wa serikali ya kiislamu (Islamic Khilafah), kwa maana ya kuwa nchi nzima iwe ya kiislamu, na raia wote wawe chini ya dini ya kiislam. Hili ndilo lengo kuu la harakati zao"

Mtangazaji akauliza tena, Mosab kwenye kitabu chako umeelezea kuwa Hamas shabaha yao kuu ni kuwalenga Raia na kuwatumia kama dhana ya vita, tuambie Hamas unayoifahamu wewe toka ukiwa mdogo hadi unakuwa mkubwa huko West Bank;

Mosab akajibu "Ndani ya misikiti, Hamas walitufundisha bila kumwaga damu za wasio kuwa na hatia juu ya mitazamo yetu, tunataka kuwa na uwezo wa kutengeneza taifa litakalo kuwa chini ya uislamu. Na tulikuwa tunaandaliwa kabisa tukiwa wadogo sana, tukiwa na umri kuanzia miaka 5. Na haya ndio yalikuwa malengo yao ambayo walikuwa wakitulisha tukiwa wadogo. Na kiukweli ilikuwa ngumu au haiwezekani kwa mtu yeyote kutoboa na kuona ukweli juu ya nyuso za Hamas zisizokuwa za kweli, na kuweza kuachana nao kwa namna fulani. Na kama mnavyoona kwenye kesi yangu ilinibidi nipoteze kila kitu kwa ajili tu ya kuwakataa Hamas. Na leo nikiwatazama watoto wa Gaza, na ninajua nini wanalishwa, na ninajua hawana machaguo.

Hayo yalikuwa ni mahojiano yaliyofanyika na chombo cha habari za CNN dhidi ya Mosab Hassan Youssef. Tazama mahojiano hapo chini.


View: https://youtu.be/pLdjJXtwSzA?si=a2mnZQnr6F-5b4QK

habari mbaya sana kwa FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom