haijustify kua hajakosea.
Jambia unaenda kumchinja nani?Hilo sio panga ni jambia.
Andika vizuri.
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Lukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
Hii kanzu haiko 'kule kwa akina Abood' pia haiko 'huku kwa akina LUKUvi' iko neutral, kwa kifupi tunasema ina sifa za 'win-win situation'.
Bomani hapo ni sherehe yaoe
Lukuvi amevaa kanzu...jibu tayari
Kuvaa kanzu sio kabadili dini huwezi jua ya ndani wameongeaje hii inaonesha bomani mfano tu hamoniz na sarah kila mmoja kabaki na dini yakeLakini si unaona hadi mzee baba mwenyewe kapigwa kanzu?
Asante kwa taarifa..kumbe ndoa ya bomaniBomani hapo ni sherehe yao
Hata chupi sijuagi kazi yakeKuna siku utakuja kuuliza chupi ni za nini,kwani unakerwa na nini,si ni kama kifimbo cha Mwalimu tu.
Mume ni kiongozi wa familia, ana offer mahitaji ya familia pia ni jukumu lake kuilinda familia. Hiyo ni kama ishara kama mwanajeshi anavyobeba silaha yake kuwa yupo tayari kuilinda mipaka yake.Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Nikiitazama picha macho yangu yanakataa kwakweli (Tafakuri ya picha katika ulimwengu wa kiroho)
KUNA KIZUNGUMKUTI HAPA SIO BURE
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya waarabu ni ile michezo yao.....
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Aisee!!!! Kwahyo wameoana kimaslahi
Nyie, hebu semeni Ma shaa Allah na tuwasifieni maharusi na tuwatakie ndoa ya heri na baraka.Hapo kila mzazi anaangalia namna atakavyonufaika kwa ndoa hiyo
Hivi kwanini waarabu wanatuolea mabinti zetu lakini sisi hatuwaoi mabinti zao?
Ya kutatulia marinda!Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?