Mtoto wa Lukuvi aolewa na mtoto wa Mohammed Aboud

Hakuna linaloshindikana kwenye PESA yani HAKUNA.

ila mwanaume angekua kapuku halafu binti aseme kwa baba eti

baba nimempenda tu vile vile alivyo tutafanikwa mbeleni

nakwambia Lukuvi angechomoa hiyo pua yake am'bandike binti ake mdomoni

maana maneno ya kumpa angeyakosa ingebidi atumie vitendo tu.
 
Yeye hakuwa na kazi au alikuwa mzee wa kuunga unga nini ! Kama anakazi yake saangapi wamtume
tatizo ile hali yakujipeleka peleka ili uonekane kwa umeoa kwa waziri[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kumsingizia, ni lini alisema anawachukia acha uchochezi kijana!!!
Wakati wa Bunge la Katiba alipita makanisani na kusema serikali tatu zanzibar itakua nchi yakiislam.Haya sasa wajukuu zake wataitwa Mohammed.
Lukuvi Mkapa Magufuli wapo kimaslahi ya kanisa katoliki.Watoto wa nyerere hao
 
Hahah alikua misheni town ana kiduka chake cha nguo mitaa ya kino kule mkuu.
Yeye hakuwa na kazi au alikuwa mzee wa kuunga unga nini ! Kama anakazi yake saangapi wamtume
tatizo ile hali yakujipeleka peleka ili uonekane kwa umeoa kwa waziri[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Wakati wa Bunge la Katiba alipita makanisani na kusema serikali tatu zanzibar itakua nchi yakiislam.Haya sasa wajukuu zake wataitwa Mohammed.
Lukuvi Mkapa Magufuli wapo kimaslahi ya kanisa katoliki.Watoto wa nyerere hao
Kwani kusema kuwa Zanzibar itakuwa nchi ya kiisilamu ndiyo kuwachukia wahusika?, yale yalikuwa ni mawazo yake na aliysema kwa uwazi (inawezekana yalikuudhi, lakini haitoshi kusema kuwa anawachukia). Mimi nilidhani kuwa aliwahi kuwatukana/kuwakashifu.
 
Wewe umefaidika nini na kubadiri kwake dini?
 
Wakati wa Bunge la Katiba alipita makanisani na kusema serikali tatu zanzibar itakua nchi yakiislam.Haya sasa wajukuu zake wataitwa Mohammed.
Lukuvi Mkapa Magufuli wapo kimaslahi ya kanisa katoliki.Watoto wa nyerere hao
Alipita kanisa gani?
Kanisani ni mwiko kuzungumza habari za maislamu kwa sababu ni kitu kisichotambulika (unknown)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…