Electrical fence tembea uone usije fikiria electrical fence kila aliyenayo anahela kuliko wasio nazo! Ujinga tu mda mwingine wa kujimwambafai! Hata jumba la Mengi kule Machame hatukuona electrical fence ila kinyampa mmoja mwenye milioni 50 bank anavimba kwa electrical fence!Wote walio weka malinbukeni isipokuwa wewe usie nayo ? wabongo mnavutuko sana 🤣🤣🤣🤣 kuna watu wameweka Electric fense wamekuzidi kwa kila kitu
Kifo hakijawahi kukosa sababu.Daaah me kwa kweli swimming pool hata nikiwa na hela vipi sitaweka huu ujingaaa...
Siyo kweli, maji yenye nguvu ni ya bahari, nayajuwa maji vizuri with survive at sea course.Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Pole sana Mh. Mwambe, Mh. Ndugai na Mh. Magufuli, bila kusahau Mh. Jaji MtungiSiyo Cecil
Yule ni Godfrey Mwambe
Mtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
Rest In Peace but tahadhari zichukuliwe aseMtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
View attachment 2334563Y
Ficha upumbavu wako, nyumba unaweza usiweke electrical fence lakini camera ziko pande zote na ndani una moto, njoo nakuangalieni tu makaburi yenu yatakuwa nyumbani kwangu hatoki MTU.Electrical fence tembea uone usije fikiria electrical fence kila aliyenayo anahela kuliko wasio nazo! Ujinga tu mda mwingine wa kujimwambafai! Hata jumba la Mengi kule Machame hatukuona electrical fence ila kinyampa mmja mwenye milioni 50 bank anavimba kwa electrical fence!
😀😀😀 nani kakuambia kuweke Electric fense ni utajiri au kwamba ni sign ya kuwa na hela ? Una mawazo ya kale kabisaaaElectrical fence tembea uone usije fikiria electrical fence kila aliyenayo anahela kuliko wasio nazo! Ujinga tu mda mwingine wa kujimwambafai! Hata jumba la Mengi kule Machame hatukuona electrical fence ila kinyampa mmoja mwenye milioni 50 bank anavimba kwa electrical fence!
Basi kuna kitu si bureKweli na juzi hapo alinusurikq kufa na familia yake kwenye ajali ya moto gari iliwaka moto.
Kwani ww hujui karibu asilimia kubwa ya wabunge wa mikoani wanaishi Dar?Kwahiyo Mbunge wa Ndanda anaishi Dar es salaam, Kino, Ada Estate.
Tanzania ni nchi inayofurahisha sana.
Ni vile umetafsiri utundu wa watoto kama tabia mbaya (lakini utundu wa watoto ni hali ya kutaka kujua kilakitu ktk ukuaji wake) ktk huo utundu/ujuaji ndipo utagundua mwanao ana akili kiasi gani na ana kipaji kipi... Kitaalam na kisayansi mtoto mzuri ni yule ambaye anahangaika kufanya mambo mengi ili ajue uzuri/ubaya wa kitu/jambo husika... Kwa maana hiyo hata umkaripie na kumpiga mtoto utundu au kutaka kujua kilakitu hawezi kuacha, na hii haina maana ana tabia mbaya, ukiona mtoto maisha yake ni upole tu ukienda mjini ukirudi alipokaa amekaa ujue huyo anashida ya kisaikolojia...Ukishasema ututundu moja kwa moja ni malezi ya mzazi kwa mtoto. Nyumba ngapi zina Electric fance na umesikia vifo vingapi vimetokana na hiyo kitu ? Sio una mlea mtoto kama yai, mlee mtoto katika makuzi ya usikivu, sio mtoto una muambia hiki anafanya hiki. Ilo ni tatizo la wazazi wa digital
Sijatafsiri kwamba ni tabia mbaya, mtoto yoyote lazima umlee katika maadili ya usikivu na utekelezaji kwa kile unacho muambia kama mzazi. Kama hutoweza mlea katika njia hiyo ni tatizo hilo. Kila kitu kina mipaka hasa katika malezi, mtoto anapanga juu ya ukuta kujifunza nini ?Ni vile umetafsiri utundu wa watoto kama tabia mbaya (lakini utundu wa watoto ni hali ya kutaka kujua kilakitu ktk ukuaji wake) ktk huo utundu/ujuaji ndipo utagundua mwanao ana akili kiasi gani na ana kipaji kipi... Kitaalam na kisayansi mtoto mzuri ni yule ambaye anahangaika kufanya mambo mengi ili ajue uzuri/ubaya wa kitu/jambo husika... Kwa maana hiyo hata umkaripie na kumpiga mtoto utundu au kutaka kujua kilakitu hawezi kuacha, na hii haina maana ana tabia mbaya, ukiona mtoto maisha yake ni upole tu ukienda mjini ukirudi alipokaa amekaa ujue huyo anashida ya kisaikolojia...
itakuwa alikuwa ana act laki mieleka kupiga RKODogo kapiga utosi kwenye tiles
... tatizo halijawa kubwa kihivyo kuhitaji kuchukua hatua za pamoja za kijamii. Kufa wawili, watatu kwa mwaka kwa tukio fulani ni jambo la kawaida. Tukio linakuwa tatizo pale kunapokua na series of repetition.tujitahidi angalau kupeleka watoto kwenye madarasa kujifunza hivi vitu vidogo vidogo kama kuogelea, boxing, karate nk, madarasa ya language tofauti tofauti nk. Vinasaidia angalau kuwajenga na kulingana na dunia ya sasa.
Shida kuu ya electric fence naona ipo kwa mafundi wanao install hiyo system siku hizi , kuna ethics zinakosewa ambazo zina compromise usalama , kwa engo la kujipatia faida tuTupo pamoja kwenye hili Rick....
Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..
Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Urefu wa ukuta unatakiwa kuwaje? Maana fence nyingi ni tofali 8 kutoka kwenye msingiShida kuu ya electric fence naona ipo kwa mafundi wanao install hiyo system siku hizi , kuna ethics zinakosewa ambazo zina compromise usalama , kwa engo la.kujioatia faida tu
Mfano urefu wa ukuta ni muhimu sana , sasa fundi anakuta umejenga ukuta mfupi badala ya kushauri ukuta urefushwe ye ana install system, unauwa majirani na wanao
Nasikia hata geti la umeme lina crushing hazardTupo pamoja kwenye hili Rick....
Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..
Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...