TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Daaah me kwa kweli swimming pool hata nikiwa na hela vipi sitaweka huu ujingaaa...
Mara nyingi watoto wameshindwa kufanya measurements & evaluation kwenye mambo mengi.

Mungu atusaidie Sanaa kwa kweli TANGU NILIPO NUSULIKA KUFA KWENYE BWAWA mpaka leo nimekua mtu mzima huwa maji nayaoga bafuni au kunyeshewa na mvua sio kwenda kuogelea..

Nilijilusha Kama Schwerzeniger Kwenye kina kirefu kumbe POND lilikua na tope Chini alaf nikiwa age 7 nikanasa nikaanza kupiga kelele ndio jamaa wakaniwai kunitoaa nika kamuliwa maji na kutapishwa maji mzaa WEEK mbili masikio hayasikii ni BALAA mzee.

Mimi ni mtazamaji kwa Sasa katu sijawai thubutu Tena kuogelea period!
 
Ni muda wa kutengeneza mazingira ya kurudi bungeni

"Expiation"
 
Nakumbuka mtoto wa Davido naye... Hizi vitu tuachie wazungu .. R.I.P dogo
 
Mara nyingi watoto wameshindwa kufanya measurements & evaluation kwenye mambo mengi.

Mungu atusaidie Sanaa kwa kweli TANGU NILIPO NUSULIKA KUFA KWENYE BWAWA mpaka leo nimekua mtu mzima huwa maji nayaoga bafuni au kunyeshewa na mvua sio kwenda kuogelea..

Nilijilusha Kama Schwerzeniger Kwenye kina kirefu kumbe POND lilikua na tope Chini alaf nikiwa age 7 nikanasa nikaanza kupiga kelele ndio jamaa wakaniwai kunitoaa nika kamuliwa maji na kutapishwa maji mzaa WEEK mbili masikio hayasikii ni BALAA mzee.

Mimi ni mtazamaji kwa Sasa katu sijawai thubutu Tena kuogelea period!
Ulizama kwa kichwa ukanasa miguu? Nawaza ulipigaje kelele pole mkuu...mi nimeshanusurika sana na maji
 
Davido naye aliwahi kupoteza kabinti kadogo kazuri sana kwenye swimming pool... Me swimming pool nyumbani hapana......
 
Tupo pamoja kwenye hili Rick....

Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..

Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Kumbe na electric fancy ni hatari eeh?
 
Davido naye aliwahi kupoteza kabinti kadogo kazuri sana kwenye swimming pool... Me swimming pool nyumbani hapana......
Na wa mwanamziki mwingine hukohuko naijeria nani yule jina limenitoka
 
Back
Top Bottom