Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kila Mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe, sometimes maisha huwa hayaeleweki kabisa "pasua kichwa sana".Mama ake yeye katoka hii dunia ina mambo magumu siku ya harusi mama atatoa ushauri upi?
Sure aliheshimika sana zamani, kwavile alificha tabia yake sifa zilipozidi kumjaza kichwa Kuwa yeye ni mzuri ndo akaona atumie nafasi hiyo..kwasasa anataka kutrend kama kina zuchu maana nyimbo zake mpya sio hits tena kama za miaka ya nyuma upako ulisharudi Kwa mwenye naoHuyu mwanamke ni kati ya wapuuzi wacheche walio jishushia heshma kwa kasi ya ajabu sana
Mtoto amefika umri wa kufanya tendo la ndoa mama ndo anaanza kuruka ruka. Vya mashaMtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
View attachment 2991397
A typical saggitariusHuyu mama hatakagi kuongelea mchango wa Mzee shusho kwenye mafanikio yake ,sijui hawa watoto wakubwa huwa wanajisikiaje
Nilidhani ni mtoto wa kiume kachumbiwa, maana huyo Shusho hatabiriki aiseeMtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
View attachment 2991397
Ukatili ni asili ya kabila la mamaHii kali! Anaenda kuolewa wakati mama yake kaikimbia ndoa kikatili, au huyo jamaa ake kaamua tu apate shoo iliyohalalishwa hata likitokea la kutokea asije akajuta. Wanasema jani halianguki mbali na mti wake. Wengine hatuna ujasiri kuoa watoto ambao mama zao walizikimbia ndoa zao kibishi au mama zao ambao hawana ndoa
Ila watoto hawa wameshuhudia mateso mengi aliyopitia baba yaoHuko mbeleni asije akavunja ndoa kisa eti amepata maono ya kumtumikia mungu kama alivyofanya mama yake
Haa Haa HaaWanasema bila unafiki hufiki , atashauri mtoto atulie ktk ndoa
🤣🤣🤣🤣🤣Mama ake yeye katoka hii dunia ina mambo magumu siku ya harusi mama atatoa ushauri upi?