Hajafanana na mama binti kwahiyo itasaidia kuleta utulivu...sifa za kuitwa mzuri zinaponzaga ndoaAnatoa nuksi kwanza kisha bingiri bingiri laanzaaaa twaweza waza hivi ila ukaja shangaa wanaishi na mumewe hadi kifo kinawatenganishaaa
hv ay alishaachana na yule rwandeseA.Y anawajua sana wanyarwanda na warundi huwa wanakula kapu moja na tabia kiufupi wanapenda kuuza pwipwi ***** christina
Mda siku hizi analea mtoto tu…na walichana baada ya kukaa kwenye mahusiano miaka sabahv ay alishaachana na yule rwandese
Comments za wavulana sasa
Kuwa sio mchungaji sawa .ila la umalaya je unauhakika amelala na nani? Ww una mama bint na dada je unataka kigezo ulicjotumia kumwita malaya kitumike kwao?Tafadhali sana mtoa mada usidhalilishe cheo Cha uchungaji kiasi hicho christina ni muhuni tuu kama wahuni wengine au mdangaji malaya flani hivii sio mchungaji, sijui atamshauri nini mwanae siku ya harusi 🙆🏿♂️ lakini jamaa anaeoa akae mguu sawa maji hua yanafuata njia yake
Namuonea huruma huyu jamaa, akaze mkanda yajayo yanafurahisha.Mtoto kachagua kuolewa mama kachagua kudanga
Hii ina maana binti aliona kwa macho yake kuwa baba yake hakuwa mnyanyasaji kwa mama yake,mabinti waluoshuhudia unyanyasaji huchukia wanaume na hutuita mbwa
Mti wa mwembe ,huzaa mwembe,huyo jamaa aliyemvusha Pete tumpe pole.Mtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
View attachment 2991397
Japo si wote, ila wengi wao ni mabomuLike mother like daughter. Huyu mwamba ajiandae kuachwa
Kwa jamii ya wakurunzinza kushare ni kawaida tuDogo akiwa mjanja anakula na mamayake
Mtoto kafuata ubabani.Mti wa mwembe ,huzaa mwembe,huyo jamaa aliyemvusha Pete tumpe pole.