Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hatari na nusu, japo hawajaeleza alichukuliwa kwa tuhuma gani. Lakini all in all mtuhumiwa hatakiwi kuuwawa mikononi mwa polisKwamba Polisi walimchukua wakampeleka mahali alikopigwa na wananchi akafa[emoji119][emoji119][emoji119]
Haki ya huyo mtoto haiwezi kupatikana kamwe, ikiwa ile kesi ya kule mtwara ipo kimya sembuse hii?Yaani RCO aseme tuu mtoto wenu yuko mochwari!? Yaani kirahisi hivyo!?
Kuna kitu hakijakamilika kwenye hii habari
Haki ya uhai wa huyu mtoto itapatikana tuu
Lala salama mtoto, pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Kauli nyepesi kwenye roho ya mtuKwamba Polisi walimchukua wakampeleka mahali alikopigwa na wananchi akafa[emoji119][emoji119][emoji119]
Panya road huyu! hawa madogo wasumbufu sana! kwa ambaye amewahi kuchezea mapanga atajua ubaya wa hawa watoto!Na wazaz tujitajid kulea vizuri, tusitengeze panya road, maana police wamechoka kuhangaishwa na watoto wachache waliokosa malez
Haijalishi tabia bali hakustahil kifo na huka huku ya kifo tz kwa mtuhumiwa yeyote awaye
Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.View attachment 2354967Kijana Yahaya Aboubakar mwenye umri wa miaka 15 anadaiwa kukamatwa na askari polisi nyumbani kwa bibi yake mtaa wa Juhudi, Kata ya Mabatini wilaya ya Nyamagana Septemba 2, 2022, akiwa mzima, kisha polisi hao waliondoka nae na kumfungia ndani bibi yake Yahaya ambapo baada ya kufanikiwa kutoka ndani alifanya jitihada za kumtafuta mjukuu wake katika vituo vya polisi na kumkosa.
"Wakasema wewe mama fungua nikawauliza nyie kina nani? mna kibali cha kuingia humu wakasema wao ni maaskari mbona hakuna mwenyekiti wala balozi wakasema ukigoma kufungua tunapiga mawe, baadae saa kumi na mbli marehemu akafika mjukuu wangu akawekewa mtutu huku na huku akaambiwa fungua mlango akafungua mlango wakamshika wakamuweka chini marehemu akalalamika akasema msinipige mimi sijabisha mnipeleke tu kama ni kituoni mimi nikamwambia mtoto huyo ni mgonjwa msimpige mpelekeni tu tutamfuatilia" ameeleza Bibi wa marehemu.
Mama mzazi wa Yahaya, Rehema Simba, amesema baada ya kuzunguka vituo vyote vya polisi kikiwemo kituo kikuu cha Nyamagana na kumkosa kijana wake ndipo akakutana na mkuu wa upelelezi akamwambia aende kwa RCO ili amueleze mtoto wake alipo.
"Baada ya kufika kwa RCO akasema shida nini nikamuelezea kwamba tumekuja ofisini kwako kuna kijana wangu amekamatwa tumeshazunguka vituo vyote vya polisi hatujampata akasema mtoto wako yupo Bugando Mochwari nikamuuliza mochwari amefuata nini? mbona mapolisi walimchukua nyumbani akiwa mzima? akaniambia kwamba baada ya kuchukuliwa na polisi alipelekwa eneo la mashiri na kupigwa na wananchi ndipo akafariki," ameeleza mama wa marehemu.
Ramadhan Ng’anzi ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, amesema bado uchunguzi unafanyika wa tukio hilo na atakayebainika kuhusika na mauaji hayo atachukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo:- East Africa Radio
RCO anyooshe maelezo...View attachment 2354967Kijana Yahaya Aboubakar mwenye umri wa miaka 15 anadaiwa kukamatwa na askari polisi nyumbani kwa bibi yake mtaa wa Juhudi, Kata ya Mabatini wilaya ya Nyamagana Septemba 2, 2022, akiwa mzima, kisha polisi hao waliondoka nae na kumfungia ndani bibi yake Yahaya ambapo baada ya kufanikiwa kutoka ndani alifanya jitihada za kumtafuta mjukuu wake katika vituo vya polisi na kumkosa.
"Wakasema wewe mama fungua nikawauliza nyie kina nani? mna kibali cha kuingia humu wakasema wao ni maaskari mbona hakuna mwenyekiti wala balozi wakasema ukigoma kufungua tunapiga mawe, baadae saa kumi na mbli marehemu akafika mjukuu wangu akawekewa mtutu huku na huku akaambiwa fungua mlango akafungua mlango wakamshika wakamuweka chini marehemu akalalamika akasema msinipige mimi sijabisha mnipeleke tu kama ni kituoni mimi nikamwambia mtoto huyo ni mgonjwa msimpige mpelekeni tu tutamfuatilia" ameeleza Bibi wa marehemu.
Mama mzazi wa Yahaya, Rehema Simba, amesema baada ya kuzunguka vituo vyote vya polisi kikiwemo kituo kikuu cha Nyamagana na kumkosa kijana wake ndipo akakutana na mkuu wa upelelezi akamwambia aende kwa RCO ili amueleze mtoto wake alipo.
"Baada ya kufika kwa RCO akasema shida nini nikamuelezea kwamba tumekuja ofisini kwako kuna kijana wangu amekamatwa tumeshazunguka vituo vyote vya polisi hatujampata akasema mtoto wako yupo Bugando Mochwari nikamuuliza mochwari amefuata nini? mbona mapolisi walimchukua nyumbani akiwa mzima? akaniambia kwamba baada ya kuchukuliwa na polisi alipelekwa eneo la mashiri na kupigwa na wananchi ndipo akafariki," ameeleza mama wa marehemu.
Ramadhan Ng’anzi ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, amesema bado uchunguzi unafanyika wa tukio hilo na atakayebainika kuhusika na mauaji hayo atachukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo:- East Africa Radio
Kwa hivyo Mahakama imetoa hukumu kuwa wakikamatwa wapelekwe kwa wananchi wakawaue?Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.
Duh mtiririko wa habari haueleweki- lkn Sasa kwa haya mauaji ya polisi yalivyokithiri ni vyema kuwepo na kitengo cha internal affairs ambacho kitadeal na askari wakiukaji wa maadili na wavunja Sheria.
Hawa Division O wamezidi kujichukulia hatua mikononi kinyume cha sheria
Kweli! Ungelidadavua kidogo ututoe tongotongo machoni mkuu!Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.
Nchi zilizoendelea ndiyo huwa wanafanya hivyo. Kama hawana ushahidi wa kutosha wa kukutia hatiani wakienda mahakamani watakuchunguza na kutafuta evidence hata kama itachukua miaka miwili. Hakuna kuwekana tu mahabusu bila kupelekwa mahakamani na bila kuwa na ushahidi wa kutosha.Hata Kama ndio wamuue? Eti mtu asikamatwe hadi upelelezi ukamilike Polisi Mungu anawaona, shame