Mtoto wa miaka 15 auawa na Jeshi la Police Mkoani Mwanza

Kwamba Polisi walimchukua wakampeleka mahali alikopigwa na wananchi akafa[emoji119][emoji119][emoji119]
Hatari na nusu, japo hawajaeleza alichukuliwa kwa tuhuma gani. Lakini all in all mtuhumiwa hatakiwi kuuwawa mikononi mwa polis
 
Yaani RCO aseme tuu mtoto wenu yuko mochwari!? Yaani kirahisi hivyo!?
Kuna kitu hakijakamilika kwenye hii habari

Haki ya uhai wa huyu mtoto itapatikana tuu

Lala salama mtoto, pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Haki ya huyo mtoto haiwezi kupatikana kamwe, ikiwa ile kesi ya kule mtwara ipo kimya sembuse hii?
 
Mama hapendi hayo mambo, akisikia hiyo atasikitika sana! Mama ni mpenda haki, mama anahuruma!
Naamini hili akilisikia atalifanyia kazi.
 
akasema mtoto wako yupo Bugando Mochwari nikamuuliza mochwari amefuata nini? mbona mapolisi walimchukua nyumbani akiwa mzima? akaniambia kwamba baada ya kuchukuliwa na polisi alipelekwa eneo la mashiri na kupigwa na wananchi ndipo akafariki," ameeleza mama wa marehemu.[emoji3064]
 
Hata ukiomba uchunguzi ufanyike, kwa Afrika ni jambo lisilo na uhakika wa majibu yatayoondoa shaka...
 
Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.
 
RCO anyooshe maelezo...
 
Jeshi Hili Lichunguzwe Matukio Yamezidi Sana
 
Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.
Kwa hivyo Mahakama imetoa hukumu kuwa wakikamatwa wapelekwe kwa wananchi wakawaue?

Acha ujinga. Mtuhumiwa amekamatwa mzima, sasa alipelekwa kwa wananchi kwa minajili gani?
 
Haya yalitokea awamu ya IGP aliyepita,tuone IGP mpya atalichukuliaje suala hili,akikaa kimya basi tujue tu kuwa huu ndo utamaduni wa jeshi la polisi kwa raia.
 
Shida sio division 0.viongozi wao wanawalinda,na kulindana
 
Ukisoma ilivyoandikwa unaweza ukawahurumia. Ila kama umeishi mwanza utawaelewa polisi. Huto tu Toto ni zaidi ya panya wa dar. AF hao mabibi na wazazi ndio wanufaika. Yaani huyo dogo ni kama walimchelewesha.
Kweli! Ungelidadavua kidogo ututoe tongotongo machoni mkuu!
 
Hata Kama ndio wamuue? Eti mtu asikamatwe hadi upelelezi ukamilike Polisi Mungu anawaona, shame
Nchi zilizoendelea ndiyo huwa wanafanya hivyo. Kama hawana ushahidi wa kutosha wa kukutia hatiani wakienda mahakamani watakuchunguza na kutafuta evidence hata kama itachukua miaka miwili. Hakuna kuwekana tu mahabusu bila kupelekwa mahakamani na bila kuwa na ushahidi wa kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…