Mtoto wa miaka 15 auawa na Jeshi la Police Mkoani Mwanza

Yawezekana dogo kuna siri kubwa au tukio kubwa alishuhudia kwa macho wakifanya police au kiongozi fulani mkubwa,so ili kuua soo ni kumzimisha dogo kabla hajaropoka,yangu ni hayo.RIP dogo langu

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Kuua ni kosa kisheria Ila ulichoeleza hakiwezi kuwa kweli/kuwa na mantiki.

Huyo Dogo lazima kuna kosa kafanya, au ni mhuni Fulani Kama panya road.
Ukitaka kuona Hilo angalia habari haijaeleza nini kilichopelekea Polisi wakaruka Nyumba elfu wakaenda kwenye Nyumba ya huyo Bibi kumkamata dogo wa miaka 15.

Habari imeacha maswali mengi Mno.

Hata hivyo waliofanya mauaji wachukuliwe hatua.
Ila Kama dogo ni Wale wa tabia za Panya road basi hiyo ndio dawa yao
 
Yani polisi walimchukua wakampeleka kwa wananchi, Na huyo mtoto alikua na kosa gani mbona maelezo hayajitoshelezi
 
Hii habari mi naona imeandikwa kishabiki ili kuwachafua police kwa sababu.
1.soma hapo marehemu akaja sa12 asubuhi akasema atafungua mlango huku kawekewa mitutu ya bunduki??????? Hapo kuna kitu.
2. Rco... hawezi kuwq namajibu ya hivyo , kalishwa maneno
3.kapelekwa mashiri kupigwa mawe na wananchi.
4.Bibi hataki kufungua mlango asikali hawezi sema tutapiga mrango mawe. Bola aseme tutavunja .

Saivi kuna kundi la panyq rod wanakimbilia mkoa nawengine wanaanzisha hayo makundi mikoani , nahuyo inaonekana kuanzia bibi na mjukuu niwazoefu , kwani si rahisi mwizi na mzazi wa mwizi kuomba apelekwe police , hawa walijua ushahidi haupo wakumfunga mtt.
Maoni yangu
 
Hawa PT ni tatizo kubwa kwenye jamii
 
Ivi ukienda course ya polisi binadamu wenzako unawaona mbwa?
Ni bahati mbaya za kazini wakuu. Hata ungeenda wewe yamkini dogo kizazi jeuri akajibu hovyo . japo sisapoti kifo cha mtu yeyote ila tusubiri uchunguzi
 
Inawezekana kuna shida kwa huyo dogo hakuwa mtu wa kawaida police hadi wakutolee mitutu wew n dangerous kwanza had waje wote na mitutu n hatar
 
Huyo dogo hadi polisi wanamwendea na mitutu ujue hakuwa mtu wa kawaida

Polisi hawawezi kwenda hivyo kwa mtu wa kawaida

Huyo dogo alikuwa mtu hatari
Inaelekea pia raia walikuwa na hasira naye

Ova
 
nimekuelewa
 
Juzi juzi hapo kuna polisi alijinyonga nilifurahi sana
Ingependeza angenyongwa,

Jirani yetu ni polisi mume na mkewe wote,

Wanaishi na kijana wao ni lijizi yaani kitaata anaogopwa,alienda kuiba mtaa wa pili raia wakamkamata kumpeleka kituoni usiku,asubuhi ndugu zake wakamtoa eti kesi haina kithibitisho[emoji23]

Sasa sipiti picha huyu kijana angekuwa wa mtaani tu sijui kama angekuwa hai hadi leo.
 
Ataingia tu kwenye 18 za watu mitaa mingine

Ova
 
Huyo dogo hadi polisi wanamwendea na mitutu ujue hakuwa mtu wa kawaida

Polisi hawawezi kwenda hivyo kwa mtu wa kawaida

Huyo dogo alikuwa mtu hatari
Police gani? Hawa wetu hawa ambao ata ulinunua simu ya wizi wanakuja kwa mitutu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…