mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 743
- 1,071
Huna unachojua. Tulia usidiweKwa hivyo Mahakama imetoa hukumu kuwa wakikamatwa wapelekwe kwa wananchi wakawaue?
Acha ujinga. Mtuhumiwa amekamatwa mzima, sasa alipelekwa kwa wananchi kwa minajili gani?
Siku ukiingia kwenye mikono ya panya road nadhani utatengua kauli yakoHata Kama ndio wamuue? Eti mtu asikamatwe hadi upelelezi ukamilike Polisi Mungu anawaona, shame
Sanaaaaa.. Yaani hili jeshi kama hakutakuwa na chombo cha kuliwajibisha tabu iko pale pale... Lazima kuwe na chombo cha kuhakiki utendaji kazi wake kwa kweli.Inasikitisha
Kwa sababu hakuna popote pale anaweza kuwa answerable labda itokee imeundwa tume au mamlaka ya nchi iingilie kati kama wale polisi wa kule Mtwara..RCO anajibu kirahisi tuu km aliyekufa ni mbwa hana nidhamu mxiiiu zake.
Sasa nini maana ya kuwa na justice [emoji1013] system? Utajuaje kama kweli haki inatendeka kama utaacha tuu raia wauawe hovyo hovyo tuu?
Unless uwe unaujua ukweli otherwise unaanzia wapi kuhitimisha kwamba ni uongo? Huyo RCO hawezi kutoa jibu hilo kwa sababu gani?? Tumeona kwenye kesi ya Mbowe walivyokuwa wanatoa majibu ya ajabu hata kushinda hilo..Hii stori Ina uongo Tena kutoka kwa mama mtu, RCO hawezi toa Hilo jibu hata Kama polisi wamemuua huyo mtoto
Poleni sana familia. Uchunguzi ufanyike ikiwa mtoto alichukuliwa mzima kifo lazma polisi wawajibike
Kazi ya polisi ni kuwapelekea wananchi mtu apigwe!! Hii mpyambona mapolisi walimchukua nyumbani akiwa mzima? akaniambia kwamba baada ya kuchukuliwa na polisi alipelekwa eneo la mashiri na kupigwa na wananchi ndipo akafariki,"
Panya road sio binadamu unampeleke kwenye justice system kufanya nin?Sasa nini maana ya kuwa na justice [emoji1013] system? Utajuaje kama kweli haki inatendeka kama utaacha tuu raia wauawe hovyo hovyo tuu?
Ndio huyo dogo kama alikuwa mwizi ni afadhari aletwe kwa wanainchi tumsomee mashitaka Kisha tumhukumuKazi ya polisi ni kuwapelekea wananchi mtu apigwe!! Hii mpya
Ipo siku raia watamchokaIngependeza angenyongwa,
Jirani yetu ni polisi mume na mkewe wote,
Wanaishi na kijana wao ni lijizi yaani kitaata anaogopwa,alienda kuiba mtaa wa pili raia wakamkamata kumpeleka kituoni usiku,asubuhi ndugu zake wakamtoa eti kesi haina kithibitisho[emoji23]
Sasa sipiti picha huyu kijana angekuwa wa mtaani tu sijui kama angekuwa hai hadi leo.
Mbowe atasema ni magufuli kauaView attachment 2354967Kijana Yahaya Aboubakar mwenye umri wa miaka 15 anadaiwa kukamatwa na askari polisi nyumbani kwa bibi yake mtaa wa Juhudi, Kata ya Mabatini wilaya ya Nyamagana Septemba 2, 2022, akiwa mzima, kisha polisi hao waliondoka nae na kumfungia ndani bibi yake Yahaya ambapo baada ya kufanikiwa kutoka ndani alifanya jitihada za kumtafuta mjukuu wake katika vituo vya polisi na kumkosa.
"Wakasema wewe mama fungua nikawauliza nyie kina nani? mna kibali cha kuingia humu wakasema wao ni maaskari mbona hakuna mwenyekiti wala balozi wakasema ukigoma kufungua tunapiga mawe, baadae saa kumi na mbli marehemu akafika mjukuu wangu akawekewa mtutu huku na huku akaambiwa fungua mlango akafungua mlango wakamshika wakamuweka chini marehemu akalalamika akasema msinipige mimi sijabisha mnipeleke tu kama ni kituoni mimi nikamwambia mtoto huyo ni mgonjwa msimpige mpelekeni tu tutamfuatilia" ameeleza Bibi wa marehemu.
Mama mzazi wa Yahaya, Rehema Simba, amesema baada ya kuzunguka vituo vyote vya polisi kikiwemo kituo kikuu cha Nyamagana na kumkosa kijana wake ndipo akakutana na mkuu wa upelelezi akamwambia aende kwa RCO ili amueleze mtoto wake alipo.
"Baada ya kufika kwa RCO akasema shida nini nikamuelezea kwamba tumekuja ofisini kwako kuna kijana wangu amekamatwa tumeshazunguka vituo vyote vya polisi hatujampata akasema mtoto wako yupo Bugando Mochwari nikamuuliza mochwari amefuata nini? mbona mapolisi walimchukua nyumbani akiwa mzima? akaniambia kwamba baada ya kuchukuliwa na polisi alipelekwa eneo la mashiri na kupigwa na wananchi ndipo akafariki," ameeleza mama wa marehemu.
Ramadhan Ng’anzi ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, amesema bado uchunguzi unafanyika wa tukio hilo na atakayebainika kuhusika na mauaji hayo atachukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo:- East Africa Radio
Kwa waziri hawaweKwa sababu hakuna popote pale anaweza kuwa answerable labda itokee imeundwa tume au mamlaka ya nchi iingilie kati kama wale polisi wa kule Mtwara..
Mmh kwa IGP, kwa waziri, kwa rais, hawa woote ni wakubwa zake ujueKwa sababu hakuna popote pale anaweza kuwa answerable labda itokee imeundwa tume au mamlaka ya nchi iingilie kati kama wale polisi wa kule Mtwara..
Haki ya huyo mtoto haiwezi kupatikana kamwe, ikiwa ile kesi ya kule mtwara ipo kimya sembuse hii?