Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Nimeshindwa shauri,

Seems mzazi anaandika hili akijisifu,

Unadhani shule anajifunza kuandika Tu na kusoma?

What about michezo, communication with other people, peer growth, kujitegemea

Mkifanya mchezo mtashangaa dogo ana 50yrs bado Yupo home
 
Acha ushamba wako..
Wazungu hawapeleki mtoto shule..
Wanampa vtu achague..

Akichagua mpira basi atapelekwa kucheza mpira..
Akichagua gari atakuwa fundi

Kama kitu huju ni vyema kuuliza mkuu
Aliyekuambia wazungu hawapeleki watoto shule ni nani
Mtoto lazima aende shule akajifunze vitu basic kwanza

Kama ni kipaji atapelekwa lakini shule ni lazima mzee
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa

Inategemea wakati wa kumtafuta mlikuwa wapi !.

Watoto wanaopatikana vitanda vya Guest House 🏠 ni janga la kitaifa.

Vitanda vya GH vinatumiwa na watu wengi sana vina kila aina maroho ukijichanganya unaleta mitoto mijambazi,mikatili,malaya .... unakuta hizo tabia kwenu hazipo kabisa.

Baada ya kufunga ndoa hasa za Wakristo utasikia wanakwenda honeymoon (Mahotelini) wanandoa wanaanza kubeba roho za vitanda,rooms za Hotel wakirejea ktk maisha ya ndoa wanazaa mitoto mishenzi.
 
Inategemea wakati wa kumtafuta mlikuwa wapi !.

Watoto wanaopatikana vitanda vya Guest House 🏠 ni janga la kitaifa.

Vitanda vya GH vinatumiwa na watu wengi sana vina kila aina maroho ukijichanganya unaleta mitoto mijambazi,mikatili,malaya .... unakuta hizo tabia kwenu hazipo kabisa.

Baada ya kufunga ndoa hasa za Wakristo utasikia wanakwenda honeymoon (Mahotelini) wanandoa wanaanza kubeba roho za vitanda,rooms za Hotel wakirejea ktk maisha ya ndoa wanazaa mitoto mishenzi.
Hatari sana
 
Wazazi wa kizazi hiki 😂😂😂😂 yaani watoto siku hizi wameanza kulia kabla hata ya kuzaliwa

Hebu ngoja nichungulie Id ya mwanzisha Uzi
Pipa + end product = mfuniko
 
  • Thanks
Reactions: a45
Wazazi wengine wanaudhaifu mkubwa sana, mtoto wa miaka 6 anakuvimbia lazima kuna shida kwa wote wawili baba na mama
Exactly uzungu plus u-junior ukizidi ni tatizo. Nna dogo Feb anatimiza miaka mitatu. Ashajua baba nilivyo heshima mbele, huyu kuna mahali kafeli na akizembea hizo pigo sijui ukikaa nae kama mkubwa mwenzio atajuta muda ukifika.
 
Inawezekana kabisa. Mimi mtoto akinijibu hivyo labda sijamzaa mimi.
Ila inawezekana pia huyu mtoto ni special case nashindwa kujudge sana.
Imagine walikuwa wanamsikia akilia akiwa tumboni😅
Acha ukorofi eti wanamsikia tumboni... Huyu jamaa na mke wake wanaanza kufeli taratibu acha waendekeze huo uspesho.
 
Mazingira ya shule inawezekana yanamtisha!! Viboko vingi au anapigwa na wenzakee!

Nenda kafuatilie badala ya kumlazimisha na kumsukuma sukuma!

Wazazi wa siku hizi huwa ni MAMBOYOYO sana / MAPOYOYO.

Mazingira ya shule labda sio rafiki, hata majengo tu yanaweza kumtisha mtoto. Au walimu WANAFOKA sana.

The overall environmental psychology ya shule inaweza kumfanya mtoto apachukie shule.

Kuna kale ka ATMOSPHERE cha shule huwa kanatisha sana watoto. FUATILIA acha ujinga BABA JUNIOR.

Mazingira ya shule kwa watoto yanapaswa kuwa rafiki sana kuanzia majengo, haiba ya walimu, madawati, vitabu wanavyosoma.... kila kitu lazima kiwe SMOOTH AND FRIENDLY.

Tena hili lishughulikiwe kitaifa kwa msaada wa wataalamu wa saikolojia za watoto.

Unakuta lishule limebomoka madirisha halafu ndani giza, lazima mtoto aangue kilio na kukataa shule.

Wekeni hata ngoma wachezee, midoli, bembea, na makorokoro mengine ya kuwavutia


Cc: Dkt. Gwajima D Dr. Mariposa Labella Evelyn Salt Demi Kalpana
Upo sahihi mkuu
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
hakuna ajira
 
Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani

Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..

Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
nani kasema wazungu wanafanya hivi?

dogo apigwe mpaka akubali shule asilete upumbavu.
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Kama hataki shule na kucheza asicheze na wenzake akae ndani tu
 
tatixo ajira
Akina Juniors Hawa🤣🤣🤣😂😂... We unadhani mtoto wa Ngengemkeni mitomingi angekataa???!🤣🤣😂😂
Huyu ni eat more fruits the slogan says🤣😂🤣🤣
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mmezaa ancestor
 
Back
Top Bottom