Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

hizi tabia za kulea watoto kimayaimayai na kuogopa kuwaeleza ukweli sijui kutaleta taifa la namna gani uko mbele. baadhi ya wazazi wamekuwa wajinga sana wanadhan kumdekeza mtoto ndo kumpenda. hawana habari wanatengeneza bomu litakalomlipukia mwenyewe apo bdae.

ndo maana sio ajabu kusikia kauli km za huyu mleta mada eti "mtoto amekuwa kama mkubwa" au "mtoto hapendi" hlf apo anaongelea kitoto cha miaka 6😳.

kuna siku tulikuwa kikao cha wazazi shuleni sasa baadhi ya maoni ya wazazi kuhusu stahiki na treatment ya watoto yalikuwa ya kustaajabisha sana yanafanana na ya mleta mada.
Nikupe unisaidie kulea
 
Wewe shule ipo kichwani? usije ukawa unapiga kelele kumbe ni “Mendelian inheritance” ...Mtoto karithi 90% ya genes zako za uzezeta..hahaha
Ningeajiliwa serikali n????
 
Mbona mtoto ameuliza SWALI GENUINE kabisa mnapaswa kulijibu wewe na MAMA JUNIOR.

"Je, Huko Shule kuna nini cha ziada????" JIBUNI SWALI badala ya kumshindilia mboko!

BABA JUNIOR unazingua.
 
Mazingira ya shule inawezekana yanamtisha!! Viboko vingi au anapigwa na wenzakee!

Nenda kafuatilie badala ya kumlazimisha na kumsukuma sukuma!

Wazazi wa siku hizi huwa ni MAMBOYOYO sana / MAPOYOYO.

Mazingira ya shule labda sio rafiki, hata majengo tu yanaweza kumtisha mtoto. Au walimu WANAFOKA sana.

The overall environmental psychology ya shule inaweza kumfanya mtoto apachukie shule.

Kuna kale ka ATMOSPHERE cha shule huwa kanatisha sana watoto. FUATILIA acha ujinga BABA JUNIOR.

Mazingira ya shule kwa watoto yanapaswa kuwa rafiki sana kuanzia majengo, haiba ya walimu, madawati, vitabu wanavyosoma.... kila kitu lazima kiwe SMOOTH AND FRIENDLY.

Tena hili lishughulikiwe kitaifa kwa msaada wa wataalamu wa saikolojia za watoto.

Unakuta lishule limebomoka madirisha halafu ndani giza, lazima mtoto aangue kilio na kukataa shule.

Wekeni hata ngoma wachezee, midoli, bembea, na makorokoro mengine ya kuwavutia


Cc: Dkt. Gwajima D Dr. Mariposa Labella Evelyn Salt Demi Kalpana
 
Mazingira ya shule inawezekana yanamtisha!! Viboko vingi au anapigwa na wenzakee!

Nenda kafuatilie badala ya kumlazimisha na kumsukuma sukuma!

Wazazi wa siku hizi huwa ni MAMBOYOYO sana / MAPOYOYO.

Mazingira ya shule labda sio rafiki, hata majengo tu yanaweza kumtisha mtoto. Au walimu WANAFOKA sana.

The overall environmental psychology ya shule inaweza kumfanya mtoto apachukie shule.

Kuna kale ka ATMOSPHERE cha shule huwa kanatisha sana watoto. FUATILIA acha ujinga BABA JUNIOR.

Mazingira ya shule kwa watoto yanapaswa kuwa rafiki sana kuanzia majengo, haiba ya walimu, madawati, vitabu wanavyosoma.... kila kitu lazima kiwe SMOOTH AND FRIENDLY.

Tena hili lishughulikiwe kitaifa kwa msaada wa wataalamu wa saikolojia za watoto.

Unakuta lishule limebomoka madirisha halafu ndani giza, lazima mtoto aangue kilio na kukataa shule.

Wekeni hata ngoma wachezee, midoli, bembea, na makorokoro mengine ya kuwavutia


Cc: Dkt. Gwajima D Dr. Mariposa Labella Evelyn Salt Demi Kalpana
Kuna muda wizo unatema madini ila sasa ukiamua kujizima WiFi nachoka kabisa..!!
 
Huenda anafanyiwa ukatili huko shulelni
Dawa yake mtafutie shule mpya yenye mazingira yanayovutia.
Kama nyumbani wanatazama TV sana iwe inazimwa ili kuondoa kitu chochote nyumbani kinamchomvutia kubaki home.
Kama unaishi changanyikeni na nyumba isiyokuwa na uzio tafuta nyumba yenye uzio.
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Umezaa jiniasi Mzee..... Aendelee hivyo hivyo ila usije ukamuingiza kwenye Mambo ya Imani za waarabu au Wazungu au Wahindu
 
Fimboooo, fimbooo, fimbooo ataenda mwenyewe, anza na fimbo 2 asubuhi, 2 jioni, alafu unamuuliza hutaki bado, akisema sitaki, unaongeza 3 asubuhi, 3 mchana 3 jioni alafu muulize, utasikia nataka shule nipelekeni jamani, fanya hivyo acha kudekeza au kuharibu mtoto.
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Huyo kwenye malezi inaonyesha kuna kipindi mlijisahau kwenye uangalizi au kama si hivyo huenda mnaishi kwenye mazingira ya changanyikeni au kama si hivyo nyumba mnayokaa ina wapangaji wengi wenye tabia mbalimbali ni rahisi mtoto kukopi tabia za ajabu.
Angekuwa amefikia umri wa kusoma Sekondari ningekwambia mpeleke kwenye shule ya boarding tena zile za jeshi watakusaidia kumlea na atanyooka kule ndio mwisho wa jeuri hakuna kudekezwa mtu,ila sina uhakika kama kuna shule za boarding za watoto wa umri huo ila ukizipata bora umpeleke huko wakusaidie kulea.
 
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Hii umeitoa kirikuu.
 
Back
Top Bottom