Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Labda ndo First born.Kabisa , Uzi wake aliouleta na majibu yake..haishangazi mtoto wake ku behave in such a way.mtoto wa miaka sita anamshindaje?? Inashangaza Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ndo First born.Kabisa , Uzi wake aliouleta na majibu yake..haishangazi mtoto wake ku behave in such a way.mtoto wa miaka sita anamshindaje?? Inashangaza Sana.
😂😂😂😂Duh we JamaaMuoneshe posts za Lucas Mwashambwa na umuambie ukiwa mkubwa utakuwa unabubujikwa na machozi kama huyu.
HahahahaNilipokuwa High school kuna jamaa alinambia kuwa haamini kama kweli kafika High school sababu alikuwa akikataa kwenda shule ila familia yake yote ilikuwa ikimbeba mzobe mzobe hadi shule, yaan walikuwa wakimbeba na kwenda kumtupa shulen kila siku
Itakua nahisi...ila baba yake nae mlaini Sana,ndio suala la kulileta hapa kweli? Sasa mpaka akifika miaka 18 si tutakua tumesoma nyuzi kumuhusu mpaka tumechoka...maana anaonekana "anampenda" Sana mtoto wake.Labda ndo First born.
wajinga hao kwa hiyo km alilia tumboni mnataka tuamaini nn sasa nendeni kwa waganga maana ndio akili zenu mnataka wote tuwaze vileMpe buku aka jitegemee mambo ni mengi mda mchache, mnadekeza afu mnaleta sifa za ajabu eti kama mtu mzima
Junior wangu anapenda shule bhana😀😀😀Mambo ya akina Junior hayo!
Hahahaa Anaonekana "anamharibu sana" mtoto wakeItakua nahisi...ila baba yake nae mlaini Sana,ndio suala la kulileta hapa kweli? Sasa mpaka akifika miaka 18 si tutakua tumesoma nyuzi kumuhusu mpaka tumechoka...maana anaonekana "anampenda" Sana mtoto wake.
Wazazi wa kizazi hiki 😂😂😂😂 yaani watoto siku hizi wameanza kulia kabla hata ya kuzaliwaWazazi, Wazazi - WAZAZII!!?? Mbona wazazi wamejiweka chini (Inferior) kwa mtoto weo? Kweli ww, esp.Baba; aliamini mtoto anaweza kulia na sauti ikasikika kutoka tumboni kwa mama yake? Hapo kuna tatizo au changamoto kubwa.
Mm nashauri sio apelekwe Ukreni bali Gaza.
Huna kumbukumbu nyuma ya kubaibinye lkn ulichapwa
Yeah,jitihada zatakiwaMnatengeneza kibaka.
Hakuna mtoto wa umri huo ana usugu
Mtoto kulilia tumboni kabla ya kuzaliwa??!!! Hiki kitu kinawezekana?Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mi nishasema mtoto hawezi nishinda kamwe.Yeah,jitihada zatakiwa
Weee kumbe wazungu ndo huwa wanafanya hivyo?Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani
Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..
Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
😂😂😂😀 We unatupanga sana aisee.Ngoja nikupe shule kuhusu wazungu kaka ahahah