Bin Kisafuru
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 109
- 161
Labda anataka chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko kama mimi, yaani kuinua mdomo huwa ni last option.Mimi wangu hua naongea nao kwa sign za macho tu wanaelewa
Kongole mkuu. Yeah. Watoto ni wepesi sana kujifunza.Mimi wangu hua naongea nao kwa sign za macho tu wanaelewa
Kwa sisi wa interior umri huu ulikuwa ni umri wa kuchunga ng'ombe kwanza hadi afike 8 kwenda 10 huko, ndipo apelekwe kuanza la kwanza(sio chekechekea).Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneshe posts za Lucas Mwashambwa na umuambie ukiwa mkubwa utakuwa unabubujikwa na machozi kama huyu.
ShukraniKongole mkuu. Yeah. Watoto ni wepesi sana kujifunza.
Mfundishe kazi. Elimu siyo kwenda shule tu.Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
daah nilikuwa sijajua hii mdau...hebu fungua zaidi mkuu km hutajaliInategemea wakati wa kumtafuta mlikuwa wapi !.
Watoto wanaopatikana vitanda vya Guest House 🏠 ni janga la kitaifa.
Vitanda vya GH vinatumiwa na watu wengi sana vina kila aina maroho ukijichanganya unaleta mitoto mijambazi,mikatili,malaya .... unakuta hizo tabia kwenu hazipo kabisa.
Baada ya kufunga ndoa hasa za Wakristo utasikia wanakwenda honeymoon (Mahotelini) wanandoa wanaanza kubeba roho za vitanda,rooms za Hotel wakirejea ktk maisha ya ndoa wanazaa mitoto mishenzi.
Tuleteeni ustawi wa jamii watoto wote wenye changamoto aina hii tuseme nao na wataalamu wa saikolojia tuweke diagnosis na mpango sahihi wa kuwasaidia kisha wazazi mtaitwa mpewe taarifa kamili Ili tushirikiane kwenye mipango hiyo ✍🏻Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa