Sava bienš¤Komasava
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sava bienš¤Komasava
Huku pesa hakunaJe kwa huku akina mwajuma je?
Ngoja nikupe shule kuhusu wazungu kaka ahahahWe uliona wapi wazungu wakifanya hivyo??
Kwahiyo bongo zozo alimuweka mwanae ndani akamkuta anakimbia kimbia ndio akaona huyu atakua mwanariadha au sio?
Na vipi wacheza porn wa kizungu ilikuaje kuaje??
Tatizo linaanzia kwenye hiyo ya kudhani kupiga ndio jawabu ya kila kitu. Kaeni nae, muongee nae. Kama inaruhusiwa, mzazi akae nae shuleni siku za kwanza. Akitoka shule mpe kizawadi ( kidogo sio kikubwa) kumuonyesha kuwa mmefurahi yeye kwenda shule. Ongeeni nae kuhusu yanayoendelea shule. Kuweni karibu na mwalimu wake.Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Kwanza usimpe chakula mpaka aje akitafute. Pika cha kwake hifadhi. Utagundua kitu fulani. Hata ipite siku na zaidi. TNi wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mzazi unajivunia ujinga na malezi mabovuNi wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Unasifia upumbavu mkuu na matabia ya hovyoNi mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake
Yeah. Wanalea kombora la masafa marefu(Oreshnik Balistic) huku wakijua hawana air defense system dhidi yake.Mnatengeneza kibaka.
Hakuna mtoto wa umri huo ana usugu
Huyu mzazi ni mpumbavu majinu yake yanakuonesha ni namna Gani amemlea mtoto no wonder mtoto kuwa na matabia ya ajabu ajabuKuwa serious ndugu...
Tunda halianguki mbali na mtiNi wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mkuu; wewe ulienda shuleni halafu eti sasa unatoa ushauri wa namna hiyo. Hiyo ya nyumbani mbona ni tuition? Atapata cheti gani kama uthibitisho wa yeye kapata mafunzo stahiki? Shuleni yapo mambo mengi sio kusoma tuu bali ni pamoja na kujizoesha kuishi katika jumuia (Socialisation).tafuta mwalimu wa nyumbani mfundisheni akiwa mazingira nyumbani.
kupata elimu sio mpaka mtoto avae sare abebe begi kidumu na ufagio akae kwenye kidawati aangalie ubaoni.
Yeah. Mti huangukia ulikoinamia.Tunda halianguki mbali na mti
Hii ni muhimu sana. Pia aangaliwe na wataalam wa saikolojia ya watoto kama yupo kwenye autism spectrum.Umeshawahi kujaribu kuchunguza experience yake ya siku za mwanzo shuleni? Sometimes kuna shule zinamfanya mtoto aogope kwenda shule asubuhi. Cases zs bullying, walimu wenye changamoto na hata wazazi, zinachangia sana watoto kukwepa kwenda shule. Kama umeshindwa kuongea na mtoto kugundua tatizo kuna wataalamu wa child psychology / education psychology wanaweza kusaidia.
Hilo ni neno jema. Alitazame ikiwezekana alifanyie kazi mapema.Ana weza kuwa na elements za psychopath mwahishe apate therapy