Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Umeshawahi kujaribu kuchunguza experience yake ya siku za mwanzo shuleni? Sometimes kuna shule zinamfanya mtoto aogope kwenda shule asubuhi. Cases zs bullying, walimu wenye changamoto na hata wazazi, zinachangia sana watoto kukwepa kwenda shule. Kama umeshindwa kuongea na mtoto kugundua tatizo kuna wataalamu wa child psychology / education psychology wanaweza kusaidia.
 
Ingekuwa watoto tunazimana kama baskeli ningemwambia amlete huyo mwanae kwangu, halafu aje amfate baada ya mwezi.
Ati mtoto wa miaka sita anamgomea mzazi na baba anatulia!!
Hakunaga mtoto anamdindia Baba, wengi hudinda kwa mama zao kisha wakikua wanadindia wote hadi jamii
 
Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani

Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..

Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
Acha uongo, wazungu gani wanafungia watoto wasio taka shule ndani?;
Halafu unaongelea ndege na magari gani haya matoi mnayowapa hao watoto wenu wachezee ndo ajifunzie ugunduzi? Serious?
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
muhamishie mkoani kwa bibi yake atabadika na kubadilishwa na mazingira tu 🐒
 
Serikali iangalie hili swala vizuri maana hali si nzuri.Umri wa vijana kuoa uongezwe angalau 35+ mpaka 40 kijana anakuwa na akili za kiutu uzima.

Nyuzi za kivulana kama hizi zinachosha na imeanza kuzoeleka wavulana waliokimbilia majukumu kuja humu kulalamika vitu vya kijingajinga.
 
Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani

Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..

Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
Je kwa huku akina mwajuma je?
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mkuu si unaona dunia kipindi hiki ilivyo bize na vita?

Huenda huu ni mwisho wa dunia.

Na huyo mwanao ndie yesu kristu mwenyewe amerudi duniani kama alivyoahidi.

Maana yesu nae aliwasumbua sana wazazi wake, mara katoroka, mara yupo sokoni.
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Tatizo la watanzania wengi wanadhani kupiga ndilo suluhisho na njia ya kumfunza mtoto. Mnakosea sana sana. Mimi nilikuwa na mtoto mdogo wa chekechea ambaye alikuwa kila akiona school bus imekuja anaangua kilio na anakwenda akilia. Sikumpiga bali nilimbembeza na kujua kuwa kumbe darasani kwao waalim wao walikuwa wanachapa viboko sana watoto wadogo wale. Mtoto wako anaweza kuwa na tatizo eg usonji na nyie mnapiga badala ya kwenda hospital.
 
Weye mkeo anamchapa wanao naandika kisifaaaa.. Ona aibu kwa wewe kunyamaza



Nyote kwani hafahamu viboko vikaliiii ni mnamjengea mtoto mambo mabaya ya kisaikolojia huko mbeleni?

Kwanini hamwezi kuongea nao kiutulivu kujua sababu ambazo wanaogopa kuwaambia nyie wazazi?

Mmenisikitisha maana hamjui la kufanya na hasira hasara

Jiukizeni je kuna hata mmoja wenu ameenda shule kuongea na walikuwa haswa mtaambiwa yupi anaweza kumuelezea vizuri mtoto wako

Achaneni na hasira.

Mnawakomaza kwa viboko lazima ni kama kunywa chai..

Acheni kunyanyasa

Msali sanaaaa kuanzia kujiombea wazazi
Wabongo noma. Ndiyo maana watoto wakikua wanakuja kugeuka kuwa polisi katili, wanasiasa katili na kila sehemu unakuta makatili. Madhara ya viboko. Hebu fikiria mpaka miaka hii kuna watu wanapiga watoto wanaotumia mikono ya kushoto eti ni mkono wa mavi. Elimu ndogo na lack of exposure.
 
Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani

Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..

Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
We uliona wapi wazungu wakifanya hivyo??
Kwahiyo bongo zozo alimuweka mwanae ndani akamkuta anakimbia kimbia ndio akaona huyu atakua mwanariadha au sio?

Na vipi wacheza porn wa kizungu ilikuaje kuaje??
 
Mnaacha kutumia akili na teknolojia yote hii bado mnachapachapa hovyo watoto.
Wazee wetu wa zamani hakukua na danganyatoto nyingi, viboko ndio ilikua suluhisho ila kwa kipindi hiki ambacho watoto wanajua mambo mengi wakiwa bado wadogo viboko sio suluhi ya kudumu itamharibu mtoto.

Sio kila kosa la kudunda, hilo la shule ni kumshawishi na kilio chake kisiwatishe. Dogo wakati anaanza shule na miaka minne kasoro ilikua ukimpeleka shule analia kama anauawa vile, ila unamuacha hivyo hivyo, mwisho akazoea akapata marafiki, na ticha akawa rafiki yake.

Mpaka leo std 5 wala hana mawazo ya kuacha shule.
 
Mtoto wa miaka 6 unamtuma na anakujibu " nenda mwenyewe" eeh mwenyezi Mungu naomba nipe uvumilivu jamani. Wewe na mke wako mlimleaje huyo mtoto mpaka anafikia hatua ya kuwajibu kabisa au kukataa shule?

Nina mtoto wa miaka 6 anaingia darasa la pili sasa hivi, changamoto ndogondogo zipo ila anajua nafasi yake kama mtoto ukimtuma na anajua majukumu yake kwa umri wake na ana heshima kwa wakubwa wake.
Miaka 6 ni mkubwa sana jamani halafu kumpiga hakumsaidii zaidi ya kumjengea usugu, mfundishe kwa upendo na upole ingawa "usimnyime viboko" pale inapobidi wazazi ndio mna influence kwa watoto wenu so mjitafakari tabia zenu kabla hamjamnyooshea kidole mtoto wenu.
 
Kizazi Cha kipumbavu hiki,mtoto wa miaka 6 anakushinda na bila aibu unafungua Uzi JF kuomba msaada.

Wazazi wa siku hizi bure kabisa.
 
Tatizo wazazi wengi wanawapa watoto wao kila kitu, lakini wanasahau kuwapa malezi pamoja na kuwafundisha nidhamu.
 
Back
Top Bottom