Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Kuwa serious ndugu...Kwa hiyo nimchome mikono moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa serious ndugu...Kwa hiyo nimchome mikono moto
Kabisa,nashangaa...serious ndio Jambo la kuja kuomba ushauri kweli,eti mtoto wa miaka 6Wazazi wengine wanaudhaifu mkubwa sana, mtoto wa miaka 6 anakuvimbia lazima kuna shida kwa wote wawili baba na mama
Hakunaga mtoto anamdindia Baba, wengi hudinda kwa mama zao kisha wakikua wanadindia wote hadi jamiiIngekuwa watoto tunazimana kama baskeli ningemwambia amlete huyo mwanae kwangu, halafu aje amfate baada ya mwezi.
Ati mtoto wa miaka sita anamgomea mzazi na baba anatulia!!
Acha uongo, wazungu gani wanafungia watoto wasio taka shule ndani?;Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani
Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..
Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
muhamishie mkoani kwa bibi yake atabadika na kubadilishwa na mazingira tu 🐒Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Je kwa huku akina mwajuma je?Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani
Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..
Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
Mkuu si unaona dunia kipindi hiki ilivyo bize na vita?Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Tatizo la watanzania wengi wanadhani kupiga ndilo suluhisho na njia ya kumfunza mtoto. Mnakosea sana sana. Mimi nilikuwa na mtoto mdogo wa chekechea ambaye alikuwa kila akiona school bus imekuja anaangua kilio na anakwenda akilia. Sikumpiga bali nilimbembeza na kujua kuwa kumbe darasani kwao waalim wao walikuwa wanachapa viboko sana watoto wadogo wale. Mtoto wako anaweza kuwa na tatizo eg usonji na nyie mnapiga badala ya kwenda hospital.Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Angalia jina lake mwenyewe anaitwa pipa, mtoto atakua nani kama sio mfuniko?Mtoto amedekezwa
Wabongo noma. Ndiyo maana watoto wakikua wanakuja kugeuka kuwa polisi katili, wanasiasa katili na kila sehemu unakuta makatili. Madhara ya viboko. Hebu fikiria mpaka miaka hii kuna watu wanapiga watoto wanaotumia mikono ya kushoto eti ni mkono wa mavi. Elimu ndogo na lack of exposure.Weye mkeo anamchapa wanao naandika kisifaaaa.. Ona aibu kwa wewe kunyamaza
Nyote kwani hafahamu viboko vikaliiii ni mnamjengea mtoto mambo mabaya ya kisaikolojia huko mbeleni?
Kwanini hamwezi kuongea nao kiutulivu kujua sababu ambazo wanaogopa kuwaambia nyie wazazi?
Mmenisikitisha maana hamjui la kufanya na hasira hasara
Jiukizeni je kuna hata mmoja wenu ameenda shule kuongea na walikuwa haswa mtaambiwa yupi anaweza kumuelezea vizuri mtoto wako
Achaneni na hasira.
Mnawakomaza kwa viboko lazima ni kama kunywa chai..
Acheni kunyanyasa
Msali sanaaaa kuanzia kujiombea wazazi
We uliona wapi wazungu wakifanya hivyo??Watoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani
Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..
Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .