Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Aiseee uyo n kwa fimbo tu mpaka atsema kila siku anataka kwenda shule, sasa mtt mdogo anakusumbua sbora wee ufe tu sasa unafaida gani
 
Serikali iangalie hili swala vizuri maana hali si nzuri.Umri wa vijana kuoa uongezwe angalau 35+ mpaka 40 kijana anakuwa na akili za kiutu uzima.

Nyuzi za kivulana kama hizi zinachosha na imeanza kuzoeleka wavulana waliokimbilia majukumu kuja humu kulalamika vitu vya kijingajinga.
Komasava
 
Aiseee uyo n kwa fimbo tu mpaka atsema kila siku anataka kwenda shule, sasa mtt mdogo anakusumbua sbora wee ufe tu sasa unafaida gani
Tumepiga mpAka ingekuwa wana adhimana ningekuletea umtest
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Malezi, haja accumulate hiyo tabia kirahisi

Kama mzazi, tafuta weakness yake, eventualy ukisha ifahamu, use that weakness to control him. Sound harsh but that the truth

Mbadilishie mazingira , mtoea hapo peleka hata kijiji where amna a lot of options
 
Tumepiga mpAka ingekuwa wana adhimana ningekuletea umtest
🤣🤣🤣 uyo mkabiz mzee wakimasai wanayo mapor yao wale wtt wao ambayo awaitaji shule wanapelekwa uko nasema 1 wk atakubali shule mwenyw maana n over mateso
 
Mtoto wa miaka 6 sijui 4 anasema huko shule kuna kipi cha ziada?
Nilipofika hapo sikumalizia story hii

Swali hajawahi hata kucheza nyumbani na toys au kuchora ukutani
Poleni sana
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Uyo ni kid billionaire anakwepa system ya elimu ya bongo safi sana sema ingekuwa anajua kuisoma na kuandika ingependeza zaidi ..

Mnunulie kitabu Cha rich dad uyo dogo
 
Nilipokuwa High school kuna jamaa alinambia kuwa haamini kama kweli kafika High school sababu alikuwa akikataa kwenda shule ila familia yake yote ilikuwa ikimbeba mzobe mzobe hadi shule, yaan walikuwa wakimbeba na kwenda kumtupa shulen kila siku
 
Mpeleke kwenye maombi hzo dalili za Uganga

nilichotaka ku comment kinafanana kabisa na hiki ulichosema mkuu.

HUYO mtoto anasumbuliwa na maroho ROHO ambazo sio nzuri.Watoto wa aina hii kwa uzoefu wangu wa mambo ya kiroho.

1)ni kama mtoto wa dawa..yani mtoto aliyepatikana kwa msaada wa waganga wa kienyeji?au mtoto ambaye anasumbuliwa na MIZIMU maroho ya mizimu(ambayo basically ni majini/mapepo) ambayo yana maagano na huyo mtoto toka akiwa tumboni kabla hajazaliwa.
Mizimu hii inaweza ikawa inatokana na matambiko ya ukoo na mila za jadi za ukoo au mababu na mabibi au ibada zozote zailizomuingiza kwenye maagano naye .Au kunuiziwa kunenewa kuungamanishwa na maroho

JE WAZAZI walishawahi kwende kwa waganga wa kienyeji kuchanja chale kutambikia mizimu,ngoma za mizimu,ramli au kwenye ukoo wenu kuna mganga wa kienyeji /mchawi?au wazee walikuwa watu wa mila za jadi.

HASARA ZA HAYO MAROHO.
Wengi wa watoto wa aina hiyo wanaishia kuwa waganga wa kienyeji au wachawi,au (ambapo vyote hivyo ni kitu kimoja)

DAWA
YESU YESU TU HAKUNA DAWA NYINGINE ZAIDI YA YESU ,MAOMBI AOMBEWE NA SEHEMU SAHIHI
yenye nguvu za Mungu

CHANGAMOTO
Makanisa mengi hayana nguvu za Mungu tena mengine ndio hatati zaidi kiliko umpeleke kwa mitime na manabii hawa wa vitu vya upakao kama mafuta ,mfano mwamposa sijui kiboko ya wachawi geo dev,n.k wa aina hiyo...ni bora uache kuliko kumpeleka huko .

UKIWEZA kupata kanisa la kweli akaombewa na mtumishi wa kweli mwenye ROHO wa Mungu kanisa lenye nguvu ya Mungu kweli kweli..atakushangaza akiombewa tu..mapepo yatapanda yatalipuka na anaweza akaongea vitu vingi sana vya kushangaza (SIRI) anaweza akatapika vitu,n.k UTALETA MREJESHO HAPA NA AKIPATA NEEMA YA KUPOKEA UPONYAJI KUTOKA KWW YESU HATA SHULE ATAKUBALI KUSOMA..KINACHOZUIA ASISOME HI HAYO MAROHO ALIYONAYO.

MUNGU AKUSAIDIE ..
 
Acha uongo, wazungu gani wanafungia watoto wasio taka shule ndani?;
Halafu unaongelea ndege na magari gani haya matoi mnayowapa hao watoto wenu wachezee ndo ajifunzie ugunduzi? Serious?
Acha ushamba wako..
Wazungu hawapeleki mtoto shule..
Wanampa vtu achague..

Akichagua mpira basi atapelekwa kucheza mpira..
Akichagua gari atakuwa fundi

Kama kitu huju ni vyema kuuliza mkuu
 
Back
Top Bottom