Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Tumieni njia ya kumbembeleza sasa na vizawadi kidogo ataenda tu
 
Maswali ya kujiuliza:
-Hiyo mimba iliingia kawaida au ilitafutwa kupitia mitume na manabii/kwa waganga?
-Kati yenu nyie wote mlisoma vizuri tu na kumaliza elimu zenu bila shida?isijekuwa anapitia njia ya mzazi mmojawapo au kwenye familia zenu mlizotoka kuna mtu wa hivyo aliwahi tokea.

mkipata majibu tafuteni njia ya kumsaidia hata kama Ana uelewa wa vitu vingi basi anahitaji hata elimu ya msingi tu kujua kusoma,kuandika na kuhesabu.
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Mtoto mdogo anakushindaje ?....mkunje wakati bado mbichi.....huyo aende shule apende asipende.
 
ngoja nitete na ubalozi wa marekani

Dogo achukuliwe apelekwe WTC(war training centre) kituo hicho Cha mafunzo kitamfaa

mjukuu wa mkwawa
nae ilikuwa hivyohivyo alipelekwa na ni noma ndani yajeshi la marekani
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Dikteta wa baadae huyo. Mungu apishilie mbali akatawale somalia
 
Itakuwa amerithi tabia zako mbaya.kwa kuwa hataki shule inabidi umpeleke Kwa wa hadzabe akaanze kuishi maisha ya kuwinda wanyama na kula wabichi maisha yote.huko hakuna Cha shule Wala kuwaza maendeleo
 
Mpambanieni mtoto apate elimu japo ya msingi, asiposoma kabisa atakuja kuwalaumu wazazi ukubwani kwamba hawakumsomesha na huenda akaja kuwasumbua baadae, msikate tamaa tumieni Kila mbinu angalau ajue kusoma na kuandika bila hivyo ataishi maisha ya ajabu sana
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Huyu mtoto anatumika chukua hatua za kiroho
 
Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana

Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo

Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho

Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote

Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??

Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?

Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe

Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine

Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali

Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma

Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Toto mmelidekeza halafu mnakuja kutusumbua humu JF.
 
Back
Top Bottom