Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

tafuta michezo wanayopenda watoto na unaohisi ataupenda alafu ufanye peke ako akiwa anakuona bila kumuita.... Kama ni cartoon unaangalia cartoon huku unafurahia baada ya mda atakuja toys nyingine unazitumia wewe mwenyewe kwa kuimagine kama unaongea and the likes....pia kumpeleka sehem zaivhezo ya watoto will help
 
Inaonekana baba yake mzazi alikuwa anamjali sana na kumlea vizuri
Sasa anaona wewe unalazimisha kuingia sehemu ya baba yake
Kumbuka miaka 4 anaelewa vizuri kinachoendelea
Kuwa mpole na usimuite baba kwani anajua baba ni nani
Ni vizuri kama baba yake yupo ungemshawishi mkeo jamaa awe anakuja kumchukua mara moja moja

Kama hajulikani ni tatizo lingine
Ila kama yupo na uliamua kuoa single mother basi itabidi uvumilie mengi
 
Inaonekana baba yake mzazi alikuwa anamjali sana na kumlea vizuri
Sasa anaona wewe unalazimisha kuingia sehemu ya baba yake
Kumbuka miaka 4 anaelewa vizuri kinachoendelea
Kuwa mpole na usimuite baba kwani anajua baba ni nani
Ni vizuri kama baba yake yupo ungemshawishi mkeo jamaa awe anakuja kumchukua mara moja moja

Kama hajulikani ni tatizo lingine
Ila kama yupo na uliamua kuoa single mother basi itabidi uvumilie mengi
Nilijaribu kumuuliza mwanamke kuhusu malezi ya baba yake akasema ya kawaida sana, jamaa aje amchukue si ndio maana yake akae naye tu maana ndiye anaye mtambua na mama yake hataki mtoto wake aende kwa yule baba.
 
Hii maneno ya masingo maza tulishakubaliana kwamba hakuna kuoa. Sasa huyu apambane na hali yake. Sisi tupo bize kuvaa barakoa maana hii corona mpya upimaji wake hatuupendi kabisa. 😂😂😂
Kusema ukweli kuoa ma single mother kuna changamoto yeye anataka umpende mwanaye mwanaye hakupendi mama anajaribu kulazimisha ili asimtie aibu maana alimtetea kuja kukaa na ww lakini mtoto hana mood kabisa. ngumu sana
 
Nadhani mama mtoto alitakiwa kwanza amzoeshe mwanaye kumfahamu mtu aliye naye kimapenzi kabla hawajakubaliana ili mtoto amjue baba mdogo au baba wa kambo labda, mtoto hafokewi wala mama yake hafokewi ni amani kabisa, hilo la michezo nilijua anacheza gemu kwenye simu ya mama yake nikamletea ki machine kidogo cha gemu amekikataa nikampa simu yangu akakataa nikanunua simu flani ili asisumbue ya mama yake akakataa
Duh! Basi mtoto atakuwa ameisoma HATARI KUBWA SANA huko mbeleni magunia mawili ya mkaa n.k, ujue watoto wadogo ni kama malaika. Mkuu, wewe utakuwa ni mtu hatari sana.
 
upo na mama yake mwaka wa 2 sasa maana ulimchukua akiwa na mwaka 1, tazoeaje mfano

Kama usemacho hapa ni ukweli, basi shida ipo sana upande wako na au mkeo na Wala siyo mtoto.

Jichunguze na ujirekebishe.

Haswa ukaribu wako na familia ninahisi haupo vizuri.

Ukute unaamka akiwa kalala, na unarudi unakuta kalala kila siku.

Hapo lazima yatokee hayo unayoyalalamikia
 
Duh! Basi mtoto atakuwa ameisoma HATARI KUBWA SANA huko mbeleni magunia mawili ya mkaa n.k, ujue watoto wadogo ni kama malaika. Mkuu, wewe utakuwa ni mtu hatari sana.
😂😂
 
Inaonekana baba yake mzazi alikuwa anamjali sana na kumlea vizuri
Sasa anaona wewe unalazimisha kuingia sehemu ya baba yake
Kumbuka miaka 4 anaelewa vizuri kinachoendelea
Kuwa mpole na usimuite baba kwani anajua baba ni nani
Ni vizuri kama baba yake yupo ungemshawishi mkeo jamaa awe anakuja kumchukua mara moja moja

Kama hajulikani ni tatizo lingine
Ila kama yupo na uliamua kuoa single mother basi itabidi uvumilie mengi

Na siku akija home kumchukua mtoto akikuta haupo awe anakumbushia kula tunda.
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui.

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na ww na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye.
zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.
Wewe sepa zako,jifanye nawe ndgu wa nyange
 
Nadhani mama mtoto alitakiwa kwanza amzoeshe mwanaye kumfahamu mtu aliye naye kimapenzi kabla hawajakubaliana ili mtoto amjue baba mdogo au baba wa kambo labda, mtoto hafokewi wala mama yake hafokewi ni amani kabisa, hilo la michezo nilijua anacheza gemu kwenye simu ya mama yake nikamletea ki machine kidogo cha gemu amekikataa nikampa simu yangu akakataa nikanunua simu flani ili asisumbue ya mama yake akakataa
Sio hadi mama akutengenezee connection.
Unaweza kungeneza mwenyewe na kila kitu kikakaa sawa.

Next level: ni kutumia hekima na akili za Mungu kuweka mambo level.
 
Nilijaribu kumuuliza mwanamke kuhusu malezi ya baba yake akasema ya kawaida sana, jamaa aje amchukue si ndio maana yake akae naye tu maana ndiye anaye mtambua na mama yake hataki mtoto wake aende kwa yule baba.

Mtoto lazima amuone baba yake msimnyime haki yake maana atakuja kukuchukia kama yule msanii
Jenga urafiki na ex wake man to man ili umsaidie mtoto kuliko kumuacha aumie hivyo
Ubaya utakurudia na bado una nafasi kama mlezi
Chukua maamuzi ya kiume
 
Back
Top Bottom