Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Pole sana , huko mbeleni utakuja juta zaidi kwanini ulijiingiza kwenye huo mchezo
 
Miaka minne ni mdogo sana. Hapo anaona unamuiba mama yake, kwa kuwa karibu na huyo mwanamke, alizoea kuwa naye yeye tu.
 
Baba mtoto kafa? Kama yupo kwa nn uruhusu stress kama hzi?
Au umeolewa?
Mpka mtoto anauliza "huyu Nani" utakua umevamia mji wa single Maza anakuona mgeni machoni kwake


Sent using Jamii Forums mobile app
Baba mtoto yuko hai mama mtoto hataki kumpa mwanae amkuze na hataki kabisa kuwa na mazoea naye sasa hapa mm nafanyaje nimependa mke, mke hana kazi nimeoa
 
Hii maneno ya masingo maza tulishakubaliana kwamba hakuna kuoa. Sasa huyu apambane na hali yake. Sisi tupo bize kuvaa barakoa maana hii corona mpya upimaji wake hatuupendi kabisa. 😂😂😂
Ukiwa na dada yako au mwanao ni single mother utapenda tuendeleze kanuni hii au
 
Duh! Basi mtoto atakuwa ameisoma HATARI KUBWA SANA huko mbeleni magunia mawili ya mkaa n.k, ujue watoto wadogo ni kama malaika. Mkuu, wewe utakuwa ni mtu hatari sana.
Kama atakuwa ameisoma hatari kubwa sana basi si amlazimishe mama yake amrudishe kwa baba yake, au amlazimishe mama yake achane na hayo mahusiano maana sio mazuri kwake.
 
What? Mtoto kama huyo atakuwa na kiburi cha kichawi, baada ya muda gani ataacha maana kila ukifikiria kumnunulia uniform na mahitaji mengine unaona kama hayuko upande wako
Baba yake mzazi yupo hai.... Kama yupo hai achana naye fanya Mambo yako tu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom