prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Cc Jokajeusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti Inaonesha wewe ni single mumWataaanza oooh umeoaje single mother ...
Kwani ni mwanamke pekee hapa duniani? Achana naoupo na mama yake mwaka wa 2 sasa maana ulimchukua akiwa na mwaka 1, tazoeaje mfano
Wataaanza oooh umeoaje single mother ...
Baba mtoto yuko hai mama mtoto hataki kumpa mwanae amkuze na hataki kabisa kuwa na mazoea naye sasa hapa mm nafanyaje nimependa mke, mke hana kazi nimeoaBaba mtoto kafa? Kama yupo kwa nn uruhusu stress kama hzi?
Au umeolewa?
Mpka mtoto anauliza "huyu Nani" utakua umevamia mji wa single Maza anakuona mgeni machoni kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na dada yako au mwanao ni single mother utapenda tuendeleze kanuni hii auHii maneno ya masingo maza tulishakubaliana kwamba hakuna kuoa. Sasa huyu apambane na hali yake. Sisi tupo bize kuvaa barakoa maana hii corona mpya upimaji wake hatuupendi kabisa. 😂😂😂
Kama atakuwa ameisoma hatari kubwa sana basi si amlazimishe mama yake amrudishe kwa baba yake, au amlazimishe mama yake achane na hayo mahusiano maana sio mazuri kwake.Duh! Basi mtoto atakuwa ameisoma HATARI KUBWA SANA huko mbeleni magunia mawili ya mkaa n.k, ujue watoto wadogo ni kama malaika. Mkuu, wewe utakuwa ni mtu hatari sana.
Baba yake mzazi yupo hai.... Kama yupo hai achana naye fanya Mambo yako tuWhat? Mtoto kama huyo atakuwa na kiburi cha kichawi, baada ya muda gani ataacha maana kila ukifikiria kumnunulia uniform na mahitaji mengine unaona kama hayuko upande wako
OhoooBao apige mwingine, wewe ung’ang’anie ukaribu na bao la mchizi?
Bro Kama umeoa hyo Ni nyumba yako Kua na misimamo iliyo hai..!Baba mtoto yuko hai mama mtoto hataki kumpa mwanae amkuze na hataki kabisa kuwa na mazoea naye sasa hapa mm nafanyaje nimependa mke, mke hana kazi nimeoa