Mtoto wa mkubwa yupi anaendesha bodaboda? CCM acheni hadaa

Sio Kuendesha tu...hata kupanda Hawapandi eti wanaogopa Kufa wao ni Vieiti tu..
 
kwanin watoto wa kitila mkumbo na madelu hawaendeshi bodaboda badala yake wamepelekwa BOT.
Kwahiyo wote ni watoto wa hao?? Achenii siasa za matusii. Mtu alikaa ukoo, Leo hiii Arusha inapendeza barabara nzuriii, halafu mtu unatukana Ajira za watu wanaolea familia zao eti wanafanya KAZI za kulaaniwaa??
 
Ndio nasema huo mfano wa watoto wa viongozi sio sahihi, maana hao watoto wa viongozi huwezi kuwakuta katika kazi nyingi tu na sio kwenye bodaboda tu sasa hata sijui ilikuaje mkaleta mfano kama huo?

Kazi ya halali mtu anajipatia ridhiki yake leo unakuja kusema ni kazi ya laana? Laana kvp yani?
Sawa ajira nzuri hakuna hivyo watu wameamua kujishikiza kwenye bodaboda, sasa unaanzaje kusema ni laana?
 
kwanin watoto wa kitila mkumbo na madelu hawaendeshi bodaboda badala yake wamepelekwa BOT.
Mbona hoja ya kijinga kwani watoto wote wasio wa viongozi wanaendesha bodaboda hadi uhoji watoto wa Kitila mkumbo kutokuendesha bodaboda? Mbona hauhoji hao watoto wa Kitila kutokuendesha Taxi au kuwa madereva wa kuendesha viongozi?
 
Inawezekana huyo lema hakueleweka hata mm sikumuelewa ila wewe umefafanua vizuri sana.
Acha na nini nikazie tu

Bodaboda ni kazi ya laana.
 
Wapo watoto wa wakubwa ambao ni walimu,
Nyerere alikuwa Mwalimu na alitaka kuitwa hivyo.
Wake wa JK na JPM walikuwa walimu.
Hebu rudia tena kilichoulizwa kisha rudia kusoma ulichojibu.
 
Wala sio kazi ya laana

Kipimo cha utu ni kazi na kipimo cha kazi ni pesa ni hela, ina maana kipimo cha utu ni pesa

Vijana wanapata faranga kupitia bodaboda naomba heshima Ofisi
Baada ya ajira kukosekana lakini
 
Nakuuliiza wewe mwana ccm na sio mwana chadema kama kichwa Cha habari kinavyosema jibu tu!
Kama kuendesha boda boda sio laana lini ridhiwani kikwete na watoto wote maraisi na mawaziri wetu walipanda boda zenu?hachani uchambuzi uxhwara.
 
Wala sio kazi ya laana

Kipimo cha utu ni kazi na kipimo cha kazi ni pesa ni hela, ina maana kipimo cha utu ni pesa

Vijana wanapata faranga kupitia bodaboda naomba heshima Ofisi
Kama ni kazi , kwanini Samia na Kikwete hawajawanunulia watoto zao Bodaboda ili wawe wanaendesha hapa mjini ?
 
Ccm yote Ina watu wakubwa? Hakuna maskini huko ccm wanaoendesha bodaboda?
 
Kama ni kazi , kwanini Samia na Kikwete hawajawanunulia watoto zao Bodaboda ili wawe wanaendesha hapa mjini ?
Kwahiyo hata udereva wa nao si kazi ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi anayefanya kazi ya taxi au kuajiriwa kuwaendesha viongozi?
 
Hata shule za kajamba nani hakuna watoto wa mbowe,lissu au lema kule
 
Nakuuliiza wewe mwana ccm na sio mwana chadema kama kichwa Cha habari kinavyosema jibu tu!
Kama kuendesha boda boda sio laana lini ridhiwani kikwete na watoto wote maraisi na mawaziri wetu walipanda boda zenu?hachani uchambuzi uxhwara.
Kwani nani keshawahi kupanda daladala na mtoto wa Rais? Au nani keshawahi kupanda basi moja la mkoani na mtoto wa Rais? Kuna aliyewahi kumuona mtoto wa Rais anatembea kwa miguu anakatisha mitaa huko town kama sie wengine?

Hawa watoto wa viongozi hatuwezi kuwakuta kwenye sehemu nyingi tu sio bodaboda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…