Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.

Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
 

Attachments

  • 81226045-7D09-47C0-BA20-7B2027057AC9.jpeg
    716.6 KB · Views: 5
Mama yake Ishmael alitoka Misri ya kale....huenda alikuwa mtu mweusi na sio mwarabu.

zitto junior
 
Mtoto wa myahudi Ibrahim hawezi zaa mwarabu.
Ishmael ni myahudi kwa baba.
 
Ishmael yeye alikuwa nani ?
Kwa asili Wakurdi mtoto anamchukua kabila la Mama. Hivyo, bila shaka Ismael alipaswa kuwa Msubi. Sasa Kwa vile Waafrika huwa mna unaguzi Kwa half cast, basi labda Ismail aliiamua kuanzisha kabila jipya, likaja kuutwa wa Arabia maana Ismail malazi yake aliyaweka ktk jangwa la ARABIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…