Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
bora kutulia mungu anaona mengiSawa
Mama yake Ishmael alitoka Misri ya kale....huenda alikuwa mtu mweusi na sio mwarabu.Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Mtoto ni wa baba siyo wa mama
Hivo ndivo ilivyo huonagi walivo na makasiriko na chukiKwa hiyo ndio kusema Islamia wote ni kizazi cha Ishmael ambaye ndio mtoto wa nje ya ndoa!!??
Mtoto wa myahudi Ibrahim hawezi zaa mwarabu.Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Wa gadhab .....na ni rahisi kweli kuchukia wale watuHivo ndivo ilivyo huonagi walivo na makasiriko na chuki
Kwa hiyo Ibrahim alikuwa mwarabu ndio maana Ishmael nae mwarabu?Mtoto ni wa baba siyo wa mama
🙄Kama Ibrahim alikua muislam Basi kunatatizo katika mafundisho ya hizi dini. Maana hakua Mkristo Ibrahim.Uislamu haukuanza kwa ismael (a.s)..!
Ibrahimu ni MKURDIKwa hiyo Ibrahim alikuwa mwarabu ndio maana Ishmael nae mwarabu?
Ibrahim alimzaa Ishmael pekee ?Mtoto ni wa baba siyo wa mama
Ishmael yeye alikuwa nani ?Ibrahimu ni MKURDI
Kwa asili Wakurdi mtoto anamchukua kabila la Mama. Hivyo, bila shaka Ismael alipaswa kuwa Msubi. Sasa Kwa vile Waafrika huwa mna unaguzi Kwa half cast, basi labda Ismail aliiamua kuanzisha kabila jipya, likaja kuutwa wa Arabia maana Ismail malazi yake aliyaweka ktk jangwa la ARABIAIshmael yeye alikuwa nani ?