BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
Ishmail hakuwa mwarabu babake ni mkanaan tuanzie hapo.Waarabu na wayahudi wote ni semitic!
Kwa watoto wa Nabii Nuh watatu wale waliyoendeleza kizazi baada ya gharika hawa wawili niliyowataja juu wametokea kwenye uzao mmoja wa Sam mtoto wa Nuh.
Waarabu wapo aariba na mustaariba. Mustaariba waliyotokana na Ishmael baada ya kuoa mwarabu wa Yemen. Kizazi chake kilitochanganyikana na waarabu na kuolea humo na kupotelea humo na kuwa waarabu. Hawa wanaitwa Mustaariba (Waarabu ambao si pure arabs).
Mustaariba wanatoka kwa Ishmael mwana wa Ibrahim.
Quraysh ni jina la babu yake Mtume ndilo lilobeba kwa baadaye kabila kwa ujumla.
Unaposema hakuna link baina ya waarabu na wayahudi una maanisha nini?
Wewe ndio una chuki dhidi yao, wao wako poa hawana time na weweHivo ndivo ilivyo huonagi walivo na makasiriko na chuki
Huenda, duhh! Wabongo wengi wetu tunapenda kutumia neno "Huenda alimua mweusi" 😃
Mbongo bhana! Yaani akizungumza kitu anajiona anajua na kumkashifu mwenzake! Haina shida, hii ndiyo hulka ya mbongo!Changamsha ubongo usome historia.Shida yenu mnatafuta gap la kumnasibisha Muhammad kwenye genealogy ya manabii kitu ambacho si sawa.
These guys are considered as Patriachs na si manabii.
Hawana sifa za uonaji na utabiri kama manabii wengine.
Wao ni mababa wa Imani.
Kila prominent figure kwenye bible mnaipa unabii.
Historia ya ukombozi wa Israel ina Patriachs,Waamuzi,Manabii na wafalme.
Na kila office ila role yake.
All YHWH's prophets came from Judea and not Samaria.
Muhammad is not a prophet of God but rather a prophet of allah a Quraysh God
Nabii ni nani na kazi yake ni nini?Ishmail hakuwa mwarabu babake ni mkanaan tuanzie hapo.
Na hata ukitaka kutrace race ya Ibrahim utaitrace kwa wakurd zaid ya waarabu.
Nuhu hakuwa nabii.
Kwa mujibu wa maandiko unabii umeanzia kwa Musa ukaishia kwa Yohana mbatizaji.
Shughulisha ubongo wako kusoma
Kati ya hao wore uliowataja hakuna nabii hapo Nyie hata Adam mnamwita nabii!Unaposema manabiiw wote wanatokea Judea, Ibrahim mwenyewe alitokea wapi?
Nabii Nuhu (Noah) naye alitokea wapi? Judea?
Nabii Sheeth (Seth) alitokea Judea?
Nabii Idriss (Enoch) alitokea Judea?
Nabii Hud (Heber) alitokea Judea?
Nabii Saleh (Methusaleh) alitokea Judea? n.k
Hebu kiongozi tufahamishe tafadhali!
Nabii ni nani na k
Kwa hiyo uislamu ulianzishwa na kizazi cha Ishmael?alichepuka na house girl, wakazaliwa waishmael (waarabu) ambao walikuja kuanzisha dini ya kiislam inayosumbua amani ya dunia kila siku.
ndio, hakuwa malaika, alikuwa na madhaifu, ila Mungu alikuja kumhesabia haki kwa imani aliyokuwa nayo. Mungu huwa anasamehe.Kwa hiyo Nabii wa Mungu alikuwa mzinifu?
ndio, kizazi cha mtoto anayetokana na uzinzi.Kwa hiyo uislamu ulianzishwa na kizazi cha Ishmael?
Yaani ni keroNikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
Sasa utachaguliwaje kama mfano wa kusimamia na kufundisha maagizo ya Mungu hali ya kuwa wewe mwenyewe yanakushinda?ndio, hakuwa malaika, alikuwa na madhaifu, ila Mungu alikuja kumhesabia haki kwa imani aliyokuwa nayo. Mungu huwa anasamehe.
Mbona tunaambiwa uislam aliuanzisha Muhammad S A W?Ndioo ishmaeli alitengeneza dini yake,ambayo ni uislam
Kwa imani ya kiislamu, mitume na manabii wote wapo chini ya kambi moja ya Mungu, wote wapo chini ya uangalizi mmoja na wote wameletwa kwa binadamu kwa kazi moja na hao mitume hawajatofautiana kufikisha ujumbe wao waliyokuja nao kutoka kwa Mungu.Mbona tunaambiwa uislam aliuanzisha Muhammad S A W?
Sasa which is which?
Najua vyema mkuu.Kwa imani ya kiislamu, mitume na manabii wote wapo chini ya kambi moja ya Mungu, wote wapo chini ya uangalizi mmoja na wote wameletwa kwa binadamu kwa kazi moja na hao mitume hawajatofautiana kufikisha ujumbe wao waliyokuja nao kutoka kwa Mungu.
Hivyo hiyo kazi ilikuwa ya kupokezana kijiti, kaanza Adam kuielimisha familia yake mpaka jamii ilivyokuwa kubwa na watu kutapakaa kila mahali.
Na maana ya Islam kwa mujibu wa uislam ni kujisalimisha mbele ya sheria za Mungu.
Nimekuelewa madam!Najua vyema mkuu.
Nikimuuliza huyo aliesema Ibrahim ndio ameanzisha dini ya uislamu wakati kila siku tukisema humu kuwa uislamu upo kuanzia Nabii Adam tunaambiwa uislam kauanzisha Muhammad S.A.W
Sasa leo nakutana na huyu bi dada anasema uislamu kaja nao Ibrahim
Ndio nasubiri jibu lake mkuu
Mbona yule kahaba alimlilia yesu hamja weka fikra zenu hapo ama ndo target ya kutukuzakuongra ukweli si kuchafua
nyie kwenu ukweli ni mwiko
Ukristo ni kazi ya mikono ya Shetani 666 na ndio maana kazi yenu ni kutukana manabii wa MunguK
waiyo unajua Ibrahim alikua malaika yaan we n mbulula kabisa
kwa taarifa yako hamna hata mmoja kati ya manabii na wapajwa mafuta alikua safii.
Ila walikua wanatubu
Rejea Daudi alimchukua mke wa usia na kisha kusababisha kifo cha usia ili ajichukulie mke wake.
Ibrahim akumsikiliza mungu kusubiri mtoto wa Ahadi wa mke wake wa ndoa Sarah
Hapana mtot wa kwanza wa abraham na muhammad ni mwanaye yeye aliuendeleza tu nikitu cha nyumaMbona tunaambiwa uislam aliuanzisha Muhammad S A W?
Sasa which is which?