[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliyefukuzwa kajitolea taarifa yake. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Andrew una shida pahala. Huenda babayo aliingia maagano ya kukufanya mwendawazimu ili kuwa Rais wa Tanganyika.
Yaani had inashangazaa!! LolRiz anapanda ndege wewe unapasua na basi
Dunia haijawahi kuwa na usawa
Si ndo huyu mtoa uzi, ana 71yrs, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, kwa nachodhani watoto wa hayati watakuwa vikongwe sasa huyo anaefukuzwa ovyo ana umri gani?
Hadi Makongoro analelewa na mama Maria? Sasa pesa za U RC anapeleka wapiii?Ni kweli wanaishi na mama yao kahela kote anapata yule Mama zinaishia kutunza mijitu mizima yente familia zao na wajukuu na vitukuu
Wakati ajira walishawahi kupata tena nzuri tu kama watanzania wenzao lakini wao kujitegemea imeshindikana tofauti na watoto wa maraisi wengine kama Mwinyi kikwete,Magufuli na Samia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo nimecheka sana, ila Nyerere uzalendo wake ulizidi, ndo kuacha watoto mafukara aaaah.Ni yeye mwenyewe. Akilewaga anaenda kaburini kwa Baba yake kufanya vurugu na kumuuliza kwanini Baba umetuacha fukara ilhali Liz na Abdul wanakula maisha.
Duuuh jamanii poleee Baba. [emoji22][emoji22][emoji22]Nipo ndani ya basi. Departure in five minutes.
Nitakutana na watoto Dar,wataniuliza,"Grandpa ulikuwa wapi? Grandpa,usiondoke tena,ever "
Mzee wa miaka 70+ ndio anaandika hivi?Na wasiwasi huenda Andrew ndio kaandika huu uzi, his ways and style of reporting matukio iko hivi hivi, anahitaji msaada mkubwa sana..!
Faiza unamjua hemedyphd wa ududuHuyo aliyeandika ndiyo yeye huyo mrithi wa Nyerere.
Asee mani una harakati nyingi ila nyingi zinaishia kama yule pimbi wa saniMtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P
Nyerere aliwasomesha wote na kazi walipata wote.kama watoto wa watanzania wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo nimecheka sana, ila Nyerere uzalendo wake ulizidi, ndo kuacha watoto mafukara aaaah.
Nayo serikali kwann isiwawekee mazingira bora hawa watoto wa baba wa Taifa.
Huwa awashauri chadema kumtreat tundu lisu hivyo hivyo. Ni ndugu yetu, lakini mwezi ukiwa kona anaweza kuropoka kitu chochote mpaka mkashangaa.mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka
Yule Blaza wangu yule...
P
Mkuu Santos, na mimi nataka blue tick. ππππππPale habari inapokuacha na maswali lukuki
Nimeona nikalia sanaSi ndo huyu mtoa uzi, ana 71yrs, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka picha yake.Faiza unamjua hemedyphd wa ududu
MkuuMtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P
Huyu ni nani?