Mkuu mbona kipindi cha Magufuli ulikuwa na roho mbaya na husda isiyo ya kawaida kwake,leo vipi?Hizi ni speculations zako tu.
Unajuaje kama hana assets? Unajuaje kama hana business expertise? Umemzaa?
Acha roho mbaya na chuki. Mwenzako akipewa na wewe omba Mungu upewe.
Ndio maongezi yanapoanziaga. Kuwa hatuoni au tunajiondoa ufahamu kuwa kuna tatizo hapo, ila Baadae, tutajua konexion.Binafsi sioni tatizo. Sijaona sehemu yeyote kwamba anaiwakilisha TZ. Katumia connection ya Mama kufanikisha jambo lake.
Ni Roho mbaya sana Watanzania tunaendekezaAjabu sana juzi hapo rwanda kagame kamteua binti yake sipati picha uteuzi huo ungefanyika hapa nchini. Watu wana roho mbaya sana
Amekutana na Mr. A.H.H.Ameir na Delegation yake kutoka Tanzania . π π πSwali muhimu kuliko yote, Museveni kakutana na "ujumbe wa watanzania" au "ujumbe wa serikali ya Tanzania"?
Kivipi?Mkuu mbona kipindi cha Magufuli ulikuwa na roho mbaya na husda isiyo ya kawaida kwake,leo vipi?
Delegation maana yake WazanzibariπππππWazanzibari Wote ni Watanzania lakin siyo Watanzania Wote ni Wazanzibari!
Ya Mkwere na PrinceRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Bora wewe umesema Duniani kote. Wengine wanasema "only in Africa"Museven amesema amekutana na Mr Abdul Halim Afidh na watu wake ,, sijaona popote imetajwa serikali ya Tanzania.
Huyo mtoto wa rais haruhusiwi kuwekeza Uganda au haruhusiwi kuwekeza Tanzania?
Yeye Hafidh amepata connection ya kukutana na Museven sababu Hafidh ni mtoto wa rais hata wewe kama Una hela za kutosha basi familia yako kukutana na Mo , Rostam haiwez kuwa na ugum.
Ndivyo ilivyo mkuu na ndio maana unaona mtoto wa Abood alimuoa mtoto wa Lukuvi ,,
Inawezekana Rais Samia alimuombea Hafidh hilo shavu la kiuwekezaji.
Hiyo ipo Duniani kote.
Au anagawa?Halafu li Wambura linasema eti wanaoandamana wanataka kupindia serikali. Huyu mama anauza tanganyika yetu
Aloo, kuna ukweili hapi. Binafsi niliwaona na kuwasikia Msibani.Afu Magu asisingiziwe, watoto wa Magu hawakujulikana Hadi ulipotokea msiba!!!
Nina mashaka na ukatoliki wako uliojinasibu nao humu, probably wewe ni mwislam.Kivipi?
Ngoja Faiza Foxy atakuja kufafanuaRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Mimi ni mkatoliki ila sio mdini, sio mkatili na wala sina akili za kishamba. Mimi wala sio muislamu.Nina mashaka na ukatoliki wako uliojinasibu nao humu, probably wewe ni mwislam.
π π π π π π π π πSasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?
Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?
Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.
Wewe kama huna, huna tu.
Well put.Na bado, kuna mengi mno ya kushangaza mtayaona.
Huo ukatoliki ni fake I'd kama I'd tunazotumia humu, viongozi wote wa kitaifa unaowapenda na kuwahusudu ni wanzako katika Imani.Mimi ni mkatoliki ila sio mdini, sio mkatili na wala sina akili za kishamba. Mimi wala sio muislamu.
Mtu yeyote aliye kwenye hayo mambo lazima nitofautiane nae.
Chuki imetokea wapi?π ππOndoa blaa balaa zako hapa wewe na chuki zako za kijinga. Hata akifanya Biashara anayo haki hiyo ilimradi havunji sheria, kanuni na katiba ya nchi.
Una hasira za pande zote. Mahakama imefikaje hapa? Mara chuki sasa kuchanganyikiwa. Aloo!Naona baada ya kudondokea pua mahakamani mmechanganyikiwa na akili zenu hazifanyi kazi