Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Hizi ni speculations zako tu.

Unajuaje kama hana assets? Unajuaje kama hana business expertise? Umemzaa?

Acha roho mbaya na chuki. Mwenzako akipewa na wewe omba Mungu upewe.
Mkuu mbona kipindi cha Magufuli ulikuwa na roho mbaya na husda isiyo ya kawaida kwake,leo vipi?
 
Binafsi sioni tatizo. Sijaona sehemu yeyote kwamba anaiwakilisha TZ. Katumia connection ya Mama kufanikisha jambo lake.
Ndio maongezi yanapoanziaga. Kuwa hatuoni au tunajiondoa ufahamu kuwa kuna tatizo hapo, ila Baadae, tutajua konexion.
 
Ajabu sana juzi hapo rwanda kagame kamteua binti yake sipati picha uteuzi huo ungefanyika hapa nchini. Watu wana roho mbaya sana
Ni Roho mbaya sana Watanzania tunaendekeza
Leo hii Kijana wa Mama Samia hata kama ana talent flani , akionekana anashiriki serikalini wanaanza kusonya
Ni roho mbaya sana
Hawa hawa wanaolalamika Mbowe ni Mkwe wa Mtei , Mwanzilishi wa Chadema mbona hawalalamiki?
James Mbowe ni mtoto wa Mbowe na anashiriki hadi kamati kuu ya chadema anacheo gani James Mbowe?
Wahuni wakubwa hawa sio wakusikiliza
 
Huyo jamaa hata kiingereza sina uhakika kama anajua.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Ya Mkwere na Prince
 
Museven amesema amekutana na Mr Abdul Halim Afidh na watu wake ,, sijaona popote imetajwa serikali ya Tanzania.

Huyo mtoto wa rais haruhusiwi kuwekeza Uganda au haruhusiwi kuwekeza Tanzania?

Yeye Hafidh amepata connection ya kukutana na Museven sababu Hafidh ni mtoto wa rais hata wewe kama Una hela za kutosha basi familia yako kukutana na Mo , Rostam haiwez kuwa na ugum.

Ndivyo ilivyo mkuu na ndio maana unaona mtoto wa Abood alimuoa mtoto wa Lukuvi ,,
Inawezekana Rais Samia alimuombea Hafidh hilo shavu la kiuwekezaji.

Hiyo ipo Duniani kote.
Bora wewe umesema Duniani kote. Wengine wanasema "only in Africa"

Wakupee maua. Kuwa ,ndivyo ilivyo.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Ngoja Faiza Foxy atakuja kufafanua
 
Nina mashaka na ukatoliki wako uliojinasibu nao humu, probably wewe ni mwislam.
Mimi ni mkatoliki ila sio mdini, sio mkatili na wala sina akili za kishamba. Mimi wala sio muislamu.

Mtu yeyote aliye kwenye hayo mambo lazima nitofautiane nae.
 
Sasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?

Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?


Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.


Wewe kama huna, huna tu.
😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😂
Huna huna
 
Mimi ni mkatoliki ila sio mdini, sio mkatili na wala sina akili za kishamba. Mimi wala sio muislamu.

Mtu yeyote aliye kwenye hayo mambo lazima nitofautiane nae.
Huo ukatoliki ni fake I'd kama I'd tunazotumia humu, viongozi wote wa kitaifa unaowapenda na kuwahusudu ni wanzako katika Imani.
 
Back
Top Bottom