Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mimi ni mkristo ila sifichi. Nawakubali sana waislamu. Ni waaminifu na wana roho nzuri sana kuliko wakristo wenzetu. Wakristo wenzetu ni wanafiki sana na wengi wana roho mbaya.Huo ukatoliki ni fake I'd kama I'd tunazotumia humu, viongozi wote wa kitaifa unaowapenda na kuwahusudu ni wanzako katika Imani.
Kaza mwendo tu, "One day Yes"😂😂😂Ata ningekuwa Mimi,ningempa mwanangu,as long as anaqualify kufanya hiyo kazi
Kwenda huko na ushamba wako kwa hiyo ulitaka yeye afanye kazi kwa juhudi ,maarifa na bidii ili aje akugawie wewe iliyekaa hapo kwa kubweteka tu kama mtungi wa maji? Fanya kazi upate hela na siyo kuwaonea wivu wa kichawi walio navyo.Haya wewe unaemjua tueleze biashara zake.
Roho mbaya ya nini, yaani nilione wivu familia ya majizi.
Watu wanahitaji miundombinu wapate access za masoko wajiinue kibiashara, hizo hela hawana. Halafu mitoto yao ina hela ya kuwekeza nje ya nchi kiasi cha kujenga 50km ya lami Tanzania.
Sema na njaa zako usidhani kila mtu anaona sawa kuwaibia watanzania walio wengi maskini.
Kumbe wewe unavyojikomba hivyo ndiyo kufanya kazi?Kwenda huko na ushamba wako kwa hiyo ulitaka yeye afanye kazi kwa juhudi ,maarifa na bidii ili aje akugawie wewe iliyekaa hapo kwa kubweteka tu kama mtungi wa maji? Fanya kazi upate hela na siyo kuwaonea wivu wa kichawi walio navyo.
Kwani huo mradi ni kufuga samaki?Kwani wizara imetajwa kwenye post ya Museven?
Shida ya watanzania tulishagawika. Hata baya litokee bado watu wataliunga mkono kisa upande wake. Ndio maana Leo bandari inabinafsishwa huku wananchi wakilimwa tozo, na hakuna umoja maana wananchi wamegawanyika.
Upo sahihi kabisa. Wapo wanaofaidika na mgawanyiko huu. Walaaniwe, funga buti, na uwalaani kwa nguvu zote.
Aahaaaaa mtag humu Ili nikae naye mbaliKaza mwendo tu, "One day Yes"😂😂😂
Wazalishe tu, ila usimsogelee Cheusi wangu. Ww
Hao wote uliowatolea mfano sio watu wazuri wa kuigwa katika uongozi uliostaarabika na ambao ni kwa maslahi ya raia walio wengi.Kijana hana hatia , Imagine kama Rais Samia angefanya kama Mseven alivyofanya kwa mtoto wake Kainerugaba, alicho fanya Kagame kwa watoto wake ,hata Trump alichofanya kwa watoto wake
Kimsingi kama Mtoto wako mwenyewe huwezi mumuamini nani zaidi unaweza kumuamini?
Angeenda peke yake Uganda ingekua sahihi kuuliza ,lakini kaenda na delegation Tatizo liko wapi?
Trump alivyomfanya Jared ambaye ni mkwe wake kuwa Mshauri wake wa masuala ya usalama wamarekani walilalamika?
Ivanka alivyokua karibu na Trump kwa masuala ya Ofisini Wamarekani walilalamika?
Mseveni na kijana wake Kaine Rugaba waganda walilalamika?
Rais wa Uturuki ana kijana wake kwenye kikosi cha usalama wa kumlinda Rais kuna waturuki walilalama?
Kuna Kosa gani Kijana kuambatana na maofisa kwenye majadiriano hayo?
Umeshaambiwa kabisa kuna watu mpaka wanapanga kumpindua Rais kwa nini usihakikishe walau kijana wako anaona nini wanaenda kunnegotiate?
hakuna kosa
Ah wapi.😆😛ndio kabisa, unaniambia Kaa chonjo.Aahaaaaa mtag humu Ili nikae naye mbali
Nieleze Kijana na ubaya gani?Hao wote uliowatolea mfano sio watu wazuri wa kuigwa katika uongozi uliostaarabika na ambao ni kwa maslahi ya raia walio wengi.
Hizi ni personal attacks ambazo hazina maanaHuyo jamaa hata kiingereza sina uhakika kama anajua.
🤣🤣Anamsaidia bi mkubwa kaziTukiwaambia Tz kuna Royal Family mnakataa, haya kwa macho yenu mmemuona mwana mfalme.
Kijana wa hovyo sana wewe ,ngoja tukuache ,🤣🤣Anamsaidia bi mkubwa kazi
Ila manake keshajizeekea huenda hata makabrasha mengi yeye ndo humpa ayasome,afu amwelezee🤣🤣🤣kijana karithi urahisi wa bi mdashi, Zanzibar hoyeee
We yule Bibi kashajichokeaKijana wa hovyo sana wewe ,ngoja tukuache ,
Kamgoogle Jared Kushner
Matanganyika yamelala tu nchi inapolwa Kila Leo.KhaaaRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
NB- imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339