Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Unahitaji ridhaa kwenda kufanya mazungumzo ya uwekezaji wako mahala fulani? Imeandikwa wapi?
TABIA hizo za ukuwadi Si njema Kwa mtoto wa kiume,

Unaaibisha wazazi wako!!!

Wewe unaweza kwenda hapo Kenya ukapokelewa IKULU kama mjumbe Kutoka Tanzania?
 
Trump alifanya Kaz na mkwe na ivanka Trump ikulu ya white house

Sasa cjaona kosa la Abdul hafidh Hadi sasa

Kam kichwani Ni mzima bas ateuliwe hata ukurugenzi wa mawasilono ikulu
 
TABIA hizo za ukuwadi Si njema Kwa mtoto wa kiume,

Unaaibisha wazazi wako!!!

Wewe unaweza kwenda hapo Kenya ukapokelewa IKULU kama mjumbe Kutoka Tanzania?
Jibu swali acha kutoka nje ya mada
 
Conflict of Interest kwenye nini?

Huyo ni mwekezaji yupo Uganda kuomba kibali cha mradi wake. Mradi wake umepewa kibali na Rais wa Uganda tena nchini Uganda.

Conflict of Interest ipo wapi? Au unazungumza tu maneno hujui maana yake?
Huo uwekezaji kauanza lini?
 
Wakati mkimshangaa Abdul kukutana na Rais Museveni kuna Member Mmoja maarufu hapa Yeye ndiyo anaishi na kalelewa mno na Rais Museveni na anashirikiana nae Kikazi na Kifamilia.
 
Mama anatukosea sana. Sijui hichi kiti kina nini?? Mtu akikaa hapo hujitoa ufahamu kabisaa..
 
Kwa hiyo kwako Ikulu kugeuzwa pango la Walanguzi ni sawa siyo??
 
Waswahili wanapokuwa watawala, familia nzima huwa ni wenye mamlaka.
 
Tatizo ni Yoweri Mseven kuandika kiingereza au tatizo ni mtoto wa Rais kwenda Uganda kukutana na Mseven? Mbona hamna tatzo au watoto wa viongozi hawana haki ya kutembelea viongozi wa nchi au kufanya biashara au kuwekeza? Mi natamani kila mtz awe na akili kubwa
 
...

Ndivyo ilivyo mkuu na ndio maana unaona mtoto wa Abood alimuoa mtoto wa Lukuvi ,,

Inawezekana Rais Samia alimuombea Hafidh hilo shavu la kiuwekezaji.

Hiyo ipo Duniani kote.
Lukuvi huyuhuyu?
... ama kweli kuna haja ya kujihadhari sana na wanasiasa wetu!

πŸ‘Š πŸ˜…βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ’₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…