Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?

Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?

Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Unafumuliwa
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Urais wa samia ni biashara tupu. Kwa asili zanzibar the elite biashara ndio tegemeo lao kubwa.
Kwa vyovyote familia na wazanzibari watakua wanatumia fursa kwa kumshirikisha au kutumia jina lake bila kumshitikisha kupata fursa za biashara.
Kama desturi kwenye biashara hakuna cha uzalendo au kujali wengine. Ndio maana tunaona haya ya kutaka kuuza bandari za bara kwa miliki ya dubai. Tunasema kuuza maana masharti hayana tija kwa tanzania. Samia inabidi awe macho ni rais pekee anaonyesha uroho mkubwa wa mali. Atunze heshima yake maana anaweza kuligawa taifa na kuingiza kwenye mgogoro. Ajue sio kweli biashara huru ndio ufunguo wa maendeleo wa nchi. Biashars huru bila udhibiti inaleta maendeo ya watu binafsi sio nchi. Hajakua rais kuwapa utajiri jamaa zake ila kuongoza nchi kupata maendeleo.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339

Kwani ni vibaya mtoto akitumwa na mzazi wake kwenda kuongea na mwanahisa mwenzake kwenye haya mambo yanayoendelea ya uwekezaji?

Ndugai alisema hii nchi inauza, akapigwa pin. Kipindi hiki tutaona na kusikia mengi sana.
 
Waswahili wakiingia ikulu huwa panakuwepo mambo ya hovyo na ya aibu sana kwa taifa, wana vichwa vyepesi kupitiliza.
Alifanya hivyo Bush akamrithisha mwanae.
Alifanya hivyo Kenyata akamrithisha mwanae.
Alifanya hivyo Mwinyi.
Kafanya hivyo JK na Samia na mwisho wa siku watoto wao ndio watakaokuja kuwa juu.
Sasa wewe baki na akili za Nyerere kuwanyima wanae fursa na sasa hv Makongoro analalama mbele ya Mwinyi eti mwezangu.....
 
Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?

Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?

Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Ishu binafsi ndio ajafi
Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?

Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?

Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Kama ni ishu binafsi kwa nini ajadili miradi ya kitaifa kati ya Uganda na Tanganyika?
 
Kwani ni vibaya mtoto akitumwa na mzazi wake kwenda kuongea na mwanahisa mwenzake kwenye haya mambo yanayoendelea ya uwekezaji?

Ndugai alisema hii nchi inauza, akapigwa pin. Kipindi hiki tutaona na kusikia mengi sana.
Popote ukisema ukweli unachukiwa
 
Back
Top Bottom