Anatengenezwa bilionea sawa na yule aliyekuwa mtoto wa former sierra leone president yule ambaye alikuwa one of the richest women in africa akimilika makampuni ya telecoms
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatengenezwa bilionea sawa na yule aliyekuwa mtoto wa former sierra leone president yule ambaye alikuwa one of the richest women in africa akimilika makampuni ya telecoms
Uthibitisho wa kuwa yupo hapo kama kiongozi wa Serikali/ Nchi?Kwahiyo huyo Si mtoto wa sa100? M7 kakosea?
UnafumuliwaHuyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?
Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?
Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Kivipi?Unafumuliwa
Urais wa samia ni biashara tupu. Kwa asili zanzibar the elite biashara ndio tegemeo lao kubwa.Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Bakini na ujinga wenu.[emoji116]View attachment 2716045
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Alifanya hivyo Bush akamrithisha mwanae.Waswahili wakiingia ikulu huwa panakuwepo mambo ya hovyo na ya aibu sana kwa taifa, wana vichwa vyepesi kupitiliza.
Ujumbe Kutoka Tanzania, ridhaa hiyo kapewa na nani?Uthibitisho wa kuwa yupo hapo kama kiongozi wa Serikali/ Nchi?
Ishu binafsi ndio ajafiHuyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?
Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?
Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Kama ni ishu binafsi kwa nini ajadili miradi ya kitaifa kati ya Uganda na Tanganyika?Huyo ni mfanyabiashara na yupo Uganda kwa mambo ya biashara zake. Wewe kinakuuma nini?
Museveni ameidhinisha mradi wa kampuni yake wa kuzalisha umeme wa Jua tena huko huko Uganda ! Wewe kinakuuma nini?
Tangu lini shughuli binafsi za mtu zikawa shughuli za ikulu?
Mradi ni wa Uganda au Museveni?Mradi wake umepewa kibali na Rais wa Uganda tena nchini Uganda.
Naam, umeanza kutoka nje ya mada sasa!ungumza tu maneno hujui maana yake?
Nimekuuliza kwenye post nyingine, kama unayo majibu ya kule, hii inakuwa invalidHuyo ni mwekezaji yupo Uganda kuomba kibali cha mradi wake
Bahati nzuri nimetembelea hapo mara kadhaa. Moshi imejitosheleza kwa nini?Moshi mjini
Kajadili mradi upi wa kitaifa?Ishu binafsi ndio ajafi
Kama ni ishu binafsi kwa nini ajadili miradi ya kitaifa kati ya Uganda na Tanganyika?
Popote ukisema ukweli unachukiwaKwani ni vibaya mtoto akitumwa na mzazi wake kwenda kuongea na mwanahisa mwenzake kwenye haya mambo yanayoendelea ya uwekezaji?
Ndugai alisema hii nchi inauza, akapigwa pin. Kipindi hiki tutaona na kusikia mengi sana.
Unahitaji ridhaa kwenda kufanya mazungumzo ya uwekezaji wako mahala fulani? Imeandikwa wapi?Ujumbe Kutoka Tanzania, ridhaa hiyo kapewa na nani?
Hayo maswali kamuulize Museveni. Sie hayatuhusuNaam, umeanza kutoka nje ya mada sasa!
Nimekuuliza kwenye post nyingine, kama unayo majibu ya kule, hii inakuwa invalid
Kwanza Bora watoto wa Magufuli na Nyerere, wa Mkapa huwezi kuwaona kamwe kwenye majukwaa ya siasa.