Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Tanganyika imekuwa shamba la kuchuma kwa wazanzibari.mkwe kalamba uwaziri,Dada yake kalamba uwazili na huyu naye mtoto anawakilisha ujumbe wa wizara ya nishati Tanzania nchini Uganda?mda so mrefu atateuliwa kuwa mkuu wa majeshi maana ameenda kupata uzoefu kwa mhoozi kainerugaba wa zabanga
 
Urais wa samia ni biashara tupu. Kwa asili zanzibar the elite biashara ndio tegemeo lao kubwa.
Kwa vyovyote familia na wazanzibari watakua wanatumia fursa kwa kumshirikisha au kutumia jina lake bila kumshitikisha kupata fursa za biashara.
Kama desturi kwenye biashara hakuna cha uzalendo au kujali wengine. Ndio maana tunaona haya ya kutaka kuuza bandari za bara kwa miliki ya dubai. Tunasema kuuza maana masharti hayana tija kwa tanzania. Samia inabidi awe macho ni rais pekee anaonyesha uroho mkubwa wa mali. Atunze heshima yake maana anaweza kuligawa taifa na kuingiza kwenye mgogoro. Ajue sio kweli biashara huru ndio ufunguo wa maendeleo wa nchi. Biashars huru bila udhibiti inaleta maendeo ya watu binafsi sio nchi. Hajakua rais kuwapa utajiri jamaa zake ila kuongoza nchi kupata maendeleo.
Lazima tufike mahali hizi fikra za kijamaa zife kabisa. Huwezi kukwepa uongezaji wa idadi kubwa ya wafanyabiashara iwapo unataka kuongeza wigo wa walipa kodi.

Mawazo na hulka za kijamaa hutupeleka kwenye kukua tukitawaliwa na akili na hulka za kichoyo. Alisema anakwenda kuifungua nchi na haiwezi kufunguliwa huku wenyeji tukiongozwa na akili za kunyoosheana vidole na kuanza maneno maneno wakati baadhi yetu wakizitumia hizo fursa zinazojitokeza.
 
Nchi yeyote ile Mhe. Rais anatakiwa awe very clean(isiyobishaniwa) na yeyote lakini kwa hili kama ni mtoto wake heshima yake imepungua kwa kasi sana. Kwa nini ujiingize kwenye mambo ambayo unajua yatakuchafua?. Never on earth sijaona tukio la ajabu kama hili.
Acha uongo wako were! eti.. (Never on earth 😁😁😁)
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339

Enzi za wa msoga mlihoji ya mtoto wake aliyokuwa anayafanya ?
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Ma Africa Kama mazuzu yaone hapo yalivo
 
Muda utaongea, hata hili sakata la DP World ni mambo tu yamevuja bahati mbaya...
 
Kua mtoto wa Rais haizuii kufanya biashara, huyu kijana ni mfanyabiashara kabla hata mama yake hajawa Rais.. na hakuna mahala hapo imeandikwa kwamba ameenda huko Uganda kwa niaba ya Tanzania... Huyo ni mwekezaji anamtafuta fursa uganda

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
CCFD98DA-7D08-41BD-BC95-1182A1625D03.jpeg
 
Ila tuache utani..ushabiki pembeni .tuendako anaepajua Ni Mungu tu alietuumba
 
Unahama sasa!
Sio jambo lolote, sema jambo la kitaifa!
Conflict of interest inahusika!

Tujuze shughuli na nyadhifa zake kabla ya mama'ake kuwa makamu, kisha raisi.

Halafu utujuze ukitaka kufanya biashara na maraisi wa nchi nyingine kama ulivyotanabaisha, TUFANYAJE na sisi?

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?

Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?


Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.


Wewe kama huna, huna tu.
Tanzania ina wajinga wengi mmojawapo ni wewe..
Huoni conflict of interest kwenye nishati hapo?
Huoni kuna uwezekano bwawa la nyerere na vyanzo vingine vya umeme kuhujumiwa ili prince Dully auze umeme wake?
Tz ina wajinga wengi sana
 
Back
Top Bottom