Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutoa toa sifa za hovyo bila kuelewa context, huyo dogo ni teja, amempiga doctor na msaidizi wake. Sasa unataka wafanye nini kwa issue kama hio? Au ulitaka waanza kumpiga na wao? Lazima wapotezee tu, angekua mzima wa akili hata hilo kofi lisingefika usoni, hamna mtu anapenda dharau awe mzungu au mwafrikaWazungu wako pisi sana umeona walivyo flash hilo tukio?
Tukio hilo afanyiwe mbongo sasa japo video inajieleza lakini bado zingetemwa shombo.
Yangesikika maneno mengi ya kibaguzi na kuonesha jinsi gani waafrika hatupendwi na wazungu.
Sio kama sijasoma hiyo contents iliyonakiliwa kwenye instagram.Acha kutoa toa sifa za hovyo bila kuelewa context, huyo dogo ni teja, amempiga doctor na msaidizi wake. Sasa unataka wafanye nini kwa issue kama hio? Au ulitaka waanza kumpiga na wao? Lazima wapotezee tu, angekua mzima wa akili hata hilo kofi lisingefika usoni, hamna mtu anapenda dharau awe mzungu au mwafrika
kibanga ampigamkoloni kuja hapa ASAPHeshima yako kaka Bujibuji....hivi hii ID bado ipo humu?
Hujaangalia video mpaka mwishoangempiga kelebu huyo mwanamke hamna rangi angeacha kuona
Tanzania tu ndiyo tuna mambo ya kishambaNi bora bange ipitishwe na iwe lazima kwa afrika yote, kama mvuta bange mmoja anaweza kujitambua na kumchapa makofi mzungu si ni bora watanganyika tuanze kuvuta bange ili tuwachape dp world na ma ccm kwa ujumla
Ccm Hamna akili.dah nimeona mwishoni nae kapokea jebu
Hakuna watu wanafiki na roho mbaya kama wazungu. Wanakuchekea Huku wanakuchoma.Wazungu wako pisi sana umeona walivyo flash hilo tukio?
Tukio hilo afanyiwe mbongo sasa japo video inajieleza lakini bado zingetemwa shombo.
Yangesikika maneno mengi ya kibaguzi na kuonesha jinsi gani waafrika hatupendwi na wazungu.