Mtoto wa Simbachawene alimwa faini ya tsh. 250,000/=

Lile kosa la kutukana tusi maarufu naona limesahauliwa.. Na hata lile la kukataa kutii sheria bila shuruti pia
 
sasa laki 2 na nusu inatosha kulipa hasara ya magari matatu ?

nilimuona jana alivokua anawambia Trafic ni wasenge najua angekua sio mtoto wa kigogo angepata tabu sana
 
Vigogo hata bima za magari hawalipi. Kuendesha wakiwa wamelewa hawajui kuwa inakatazwa. Ama kweli hili ni kundi la walamba asali ambalo hata tozo haziwahusu.
 
Yani faini waliompiga dogo anailipa mwenyewe apo apo bila hata ya kuomba home inavyosemekana uko alipotoka kaunguza zaidi ya milioni na chenji zake
 
Kumbe inawezekana kabisa, kushtakiwa siku hiyo hiyo, kufikishwa mahakamani siku hiyo hiyo, kusomewa mashtaka siku hiyo hiyo, na kuandikiwa hukumu siku hiyo hiyo!
Ndiyo maana watu wanapodai katiba mpya hawa hushangaa kwa sababu wao si kama sisi...
Wala wao hawatendewi kama sisi... Hawapigwi virungu, na makosa makubwa makubwa yanayoweza kuwanyima dhamana hawasomewi ng'o!
 
Unadhani kabisa hatagusa gari for 6 months?? Haya vipi kuhusu lugha chafu na matusi?

That's none of my business. Hiyo ndo sheria kwa hilo kosa across the board, kama atafanya kosa tena hainihusu.
 
Daah mfanyabiashara James simbachewene hatimae kaachiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…