SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kazi kweli kweli. Tozo hizo. laki mbili na nusu mara "Tupo wengi"Tupo wengi😃
Unaweza kuwachanganya trafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli. Tozo hizo. laki mbili na nusu mara "Tupo wengi"Tupo wengi😃
Hahaa...nilimaanisha tupo wengi tunaotembea na leseni zilizoexpireKazi kweli kweli. Tozo hizo. laki mbili na nusu mara "Tupo wengi"
Unaweza kuwachanganya trafiki.
Ulikuwa unawaona?Miaka hioo pale Jacky's bar masaki watoto WA wakubwa wanapombekaaa...now days itakuwa wanaenda kidimbwiee
Jamaa kaoa mwaka Jana,Ana mji kabisa,kula kulala ni KWA masikini,hakuna mtoto wa Waziri kula kulala,mfanya biashara ama kula kulala kwa waziri aka baba? nchi ngumu sana hii maamae, ana bishara gani huyo dogo broiler
Saddam Hussein aliwahi kumuhukumu kifo mwanae aliitwa Uday sababu jamaa alikuwa vyombo akaua mtu ikulu,Angehukumiwa Kamba Shingoni ingenoga.
Vyeo kwao ni jambo binafsi ni issue ya rais kumuona na kumpa shavu basi hivyo muhimu kwake wa kumzingatia ni rais peke yake.ningekuwa mimi pamoja na yote hayo, ningejiuzulu nafasi yangu niliyo teuliwa ili kuonyesha uwajibikaji kwa kitendo alicho fanya mtoto wangu haswa pale alipo tumia cheo cha Baba yake kujigamba kuwa yupo juu ya sheria na anaweza fanya makosa bila kuchukuliwa hatua kwa kutegemea wadhifa wa Baba yake.
viongozi wetu kuweni na utamaduni wa kuwajibika nyinyi wenyewe kwa makosa mbalimbali yanayo jitokeza, sio mpaka unyofolewe.
miaka 24 kaoa? kwani kuwa mtoto wa waziri huwezi kuwa kula,kulala? uwaziri ni kama nini labda, hao machalii hawajui shida kwahiyo suala la kula na kulala home ni kawaida sana hustlers wataelewa hii codeJamaa kaoa mwaka Jana,Ana mji kabisa,kula kulala ni KWA masikini,hakuna mtoto wa Waziri kula kulala,
Unashangaa 24 kuna watu nilisoma nao O-level na walioa wana miaka 19-23 ,watu Wana connection Mkuu,jamaa unaambiwa ni mfanya iashara na alioa mwaka Janamiaka 24 kaoa? kwani kuwa mtoto wa waziri huwezi kuwa kula,kulala? uwaziri ni kama nini labda, hao machalii hawajui shida kwahiyo suala la kula na kulala home ni kawaida sana hustlers wataelewa hii code