Mtoto wa Victoria na David Beckham afunga ndoa

Mtoto wa Victoria na David Beckham afunga ndoa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1649765683690.png

Brooklyn Beckham mwenye umri wa miaka 23 amefunga ndoa na Nichola Peltz. David amewazawadia wanandoa Jaguar ya umeme model ya 1954 bei yake ni £350,000.

Baba yake Nichola ni millionaire huko Marekani.
 
Wengi tulipenda iwe hivyo lakini urithi mkuu wa sisi wanyonge ni elimu. Elimu yenyewe unasukumana nayo mpaka upate ajira. Ukipata ajira kwanza unawaza kuboresha makazi ya wazazi.
Kweli kabisa sasa ndio muhakikishe kuwa watoto wenu mnawasaidia kukwepa uzinzi kwa kuhakikisha wanapata urithi mzuri waoe na kuolewa mapema
 
Back
Top Bottom