Mtoto wa Victoria na David Beckham afunga ndoa

Mtoto wa Victoria na David Beckham afunga ndoa

Achana nae huyu ...dogo matendo yake tu huwaga siyaelewi kabisa ana uchildish kiwango cha makinikia...

Enyewe kwenye harusi hiyo juzi watu wanashangaa jamaa anamminya matako demu huku wanaelekea altare[emoji848][emoji848]....
Pengine kijana ni mtatuzi wa marinda.
 
Huyu akimaliza mwaka kwenye hii ndoa natembea uchi hadi kkoo
Siku kama ya leo mwakani ukifika fayae utanishtua nitakua mitaa ya msimbaz nikiusubiria kuupokea ucci na kuumbiza kama muenge wa uhuni mitaa ya kariakoo
 
Sawa huo ni uhanga lani bora hilo kuliko mitoto inazini hovyo tuu na kutujazia misingle mama tuu mtaani
Wewe mwenyewe mhanga kama nini! Nani mtu mwenye K hapa JF hujaomba, leo unawasema walaji wenzako!
 
Ameshikilia kalio vyema kabisa....

Hongera kwake.
 
Bro mie kufanya haimaanishi kwamba sijui kipi ni kitu sahii. Uzinzi sio dili weye....inakupa furaha ya muda mfupi tuu lakini majuto ya miaka..
Kuanzia leo free K za JF umeziaga rasmi!
 
Bint Kama bikra anaguswa kalio mwili wote unaonekana kashituka hajiwezi au viatu anafeli kutembea na kubinuka ....
 
Back
Top Bottom