kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
ukiziwi uliisha huyo dogoMiaka inaenda kasi sana. Juzi juzi tu hapa david beckham kaoa, leo mtoto na yeye anaoa. Binaadam umri wetu wa kuishi ni mdogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiziwi uliisha huyo dogoMiaka inaenda kasi sana. Juzi juzi tu hapa david beckham kaoa, leo mtoto na yeye anaoa. Binaadam umri wetu wa kuishi ni mdogo sana.
Mkuu apia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tupo wengi mzeya...mpaka miaka 40 wengine bado hatujaoa
Kweli mkuu...forty plus nipo nipo tuu sina mke. Sasa sii maisha ya kifala hayo. Ndio hivyo tuliendekeza uzinzi sasa tumesha unganishwa grid ya taifa so wacha tupambane na mshahara wa dhambiMkuu apia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe kuowa tena hapana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijaoa mimi single father
Mkuu tafuta mmoja ule nae maisha,kuishi msela at 40s ni hatari kwa usalama wako kama mwanaume.Kweli mkuu...forty plus nipo nipo tuu sina mke. Sasa sii maisha ya kifala hayo. Ndio hivyo tuliendekeza uzinzi sasa tumesha unganishwa grid ya taifa so wacha tupambane na mshahara wa dhambi
Hatari gani tena mzeya wakati hapa pia naenjoy kula mbususu bila kujificha fichaMkuu tafuta mmoja ule nae maisha,kuishi msela at 40s ni hatari kwa usalama wako kama mwanaume.
Hivi wazungu wanawazidi wa Asia?Heee kwa wazungu hiyo kitu ya kuuliza tena[emoji849][emoji849]
Yeah mi naona wazungu karibu wote inakula mferejiHivi wazungu wanawazidi wa Asia?
Grid ya taifa kwamba umeme?Kweli mkuu...forty plus nipo nipo tuu sina mke. Sasa sii maisha ya kifala hayo. Ndio hivyo tuliendekeza uzinzi sasa tumesha unganishwa grid ya taifa so wacha tupambane na mshahara wa dhambi
Hivi we jamaa kweli huwa una nyenyere mwilini au unanogesha kijiwe hapa?[emoji848][emoji848]Kweli mkuu...forty plus nipo nipo tuu sina mke. Sasa sii maisha ya kifala hayo. Ndio hivyo tuliendekeza uzinzi sasa tumesha unganishwa grid ya taifa so wacha tupambane na mshahara wa dhambi
Duh Basi tuwasikitikie dada zetu akina Rehema chalamila na wengine..vipi tumuhesabie na Yule Royitimi[emoji16]Yeah mi naona wazungu karibu wote inakula mfereji
Alikuwa kiziwi?ukiziwi uliisha huyo dogo
Katoto kana mku.ndu safi ...View attachment 2184972
Brooklyn Beckham mwenye umri wa miaka 23 amefunga ndoa na Nichola Peltz. David amewazawadia wanandoa Jaguar ya umeme model ya 1954 bei yake ni £350,000.
Baba yake Nichola ni millionaire huko Marekani.
[emoji16][emoji16][emoji16] nyenyereHivi we jamaa kweli huwa una nyenyere mwilini au unanogesha kijiwe hapa?[emoji848][emoji848]
Haha [emoji2][emoji16][emoji16][emoji16] nyenyere
Hahaha we unamuonaje huyo Rotim? Anamuharibu tu mrembo wetuDuh Basi tuwasikitikie dada zetu akina Rehema chalamila na wengine..vipi tumuhesabie na Yule Royitimi[emoji16]
Ndicho anachomaanisha[emoji848]Grid ya taifa kwamba umeme?
Kuna mambo ya kunogesha kkjiwe bwana lakini sio ngoma.Hivi we jamaa kweli huwa una nyenyere mwilini au unanogesha kijiwe hapa?[emoji848][emoji848]
Ndio mkuuGrid ya taifa kwamba umeme?
Ushasikia dogo ni mtoto wa Billionaire huko New York.Haya ndio mambo sasa..miaka 23 unavuta mke...sio mtu miaka 30 bado huna mke