Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U know the reality, ukitoka familia za kawaida mpaka uje ufikie ndoto zako duu Ni safari ndefu mnoo, but God still bless usWengi tulipenda iwe hivyo lakini urithi mkuu wa sisi wanyonge ni elimu. Elimu yenyewe unasukumana nayo mpaka upate ajira. Ukipata ajira kwanza unawaza kuboresha makazi ya wazazi.
Alikua academy ya Arsenal but 2015 baba yake alitangaza kwamba anaachana na mpira na kujikita kwenye umodel.huyu dogo si alikuwaga anacheza mpira? Aliishia wapi?
Ameshika flat screendogo mbona anashika bambataa
View attachment 2184972
Brooklyn Beckham mwenye umri wa miaka 23 amefunga ndoa na Nichola Peltz. David amewazawadia wanandoa Jaguar ya umeme model ya 1954 bei yake ni £350,000.
Baba yake Nichola ni millionaire huko Marekani.
Unamliza chuo kikuu Una 24 au 25
Rudia kusoma mtoto wa Beckham msichana ndiye ana miaka 23 siyo huyo bwana harusi.Miaka 23 amehalalisha shoo... atanjoi sana maana Kadada yawezekana ni 20 tu.
Nimeelewa,asante.Rudia kusoma mtoto wa Beckham msichana ndiye ana miaka 23 siyo huyo bwana harusi.
hauoi weweTupo wengi mzeya...mpaka miaka 40 wengine bado hatujaoa
Mie nitaoa tuu tena wee ndio utakuwa wa kwanza kuoata kadi ya mwaliko.hauoi wewe
Mkuu kuoa/kuolewa mapema ni guarantee ya kutofanya uzinzi??Kweli kabisa sasa ndio muhakikishe kuwa watoto wenu mnawasaidia kukwepa uzinzi kwa kuhakikisha wanapata urithi mzuri waoe na kuolewa mapema
Ndio mzeya au wee mwezangu unaonajeMkuu kuoa/kuolewa mapema ni guarantee ya kutofanya uzinzi??
ukitaja tu neno ujenzi kuna kitu kitamu kitatokea 😂Mie nitaoa tuu tena wee ndio utakuwa wa kwanza kuoata kadi ya mwaliko.
Ngoja kwanza nianze ujenzi kwenye kiwanja changu
Hata mimi katika vitu ambavyo sivipendi kabisa ni hivyo.. yani dada ako anaolewa basi kwenye sherehe ya harusi ukumbini pale unakuta mijianaume mizima inacheza muziki kama vichaa kufurahia dada kaolewa. Mimi nilikwepaga kuanzia siku dada anaavalishwa pete ya uchumba niliingia mitini... Siku ya harusi nilihudhuria lakini nilivumilia sana nilikaa nyuma kabisa nilipiga tungi la kutosha nanilikuwa natoka toka nje kuua so..Hivi akisha muoa anaenda kumfanya nini??Nakumbuka siku sister angu anaolewa eti namimi nikasimama kujitambulisha kama kaka wa bibi arusi yani kufurahia dada anaenda kupigwa dudu aisee najiona fala mpaka leo.
Jamani sasa hampendi tuolewe tukizalia nyumbani napo shidaa mbona kaka zetu mpo ivo 🤣Hata mimi katika vitu ambavyo sivipendi kabisa ni hivyo.. yani dada ako anaolewa basi kwenye sherehe ya harusi ukumbini pale unakuta mijianaume mizima inacheza muziki kama vichaa kufurahia dada kaolewa. Mimi nilikwepaga kuanzia siku dada anaavalishwa pete ya uchumba niliingia mitini... Siku ya harusi nilihudhuria lakini nilivumilia sana nilikaa nyuma kabisa nilipiga tungi la kutosha nanilikuwa natoka toka nje kuua so..
Si kweli tena ukioa mapema kama ni mpenda mbunye uzinzi bado utaufanya sana tu tena ndo utazidisha...Ndio mzeya au wee mwezangu unaonaje
Well saidKweli kabisa sasa ndio muhakikishe kuwa watoto wenu mnawasaidia kukwepa uzinzi kwa kuhakikisha wanapata urithi mzuri waoe na kuolewa mapema