Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi akisha muoa anaenda kumfanya nini??Nakumbuka siku sister angu anaolewa eti namimi nikasimama kujitambulisha kama kaka wa bibi arusi yani kufurahia dada anaenda kupigwa dudu aisee najiona fala mpaka leo.
Mkewe ana miaka 27.ingekua huku kwetu africa,ukoo ungekutenga kwa kuoa mke mwenye umri mkubwa.Miaka 23 amehalalisha shoo... atanjoi sana maana Kadada yawezekana ni 20 tu.
Ooooh! daaaah! huku ingekua kimbembe.Mkewe ana miaka 27.ingekua huku kwetu africa,ukoo ungekutenga kwa kuoa mke mwenye umri mkubwa.
Duh! 40 years, huyo mtoto utakae mzaa si atakuita Babu, maana wewe ni Mzee tayari. Nimeoa nikiwa 27 years na najihisi nimechelewa Sana kuoa.Tupo wengi mzeya...mpaka miaka 40 wengine bado hatujaoa
Hapa mzeya story ya familia halipo. Unaletaje mtoto wakati tayari miaka 40 na bado mchumba sina? Huko ni kutokuwa na ufikiria kuhusu watoto. Usemalo ni kweli yaani mtoto anakuona babu kabisa. Ulifanya vyema kuoa mapema.Duh! 40 years, huyo mtoto utakae mzaa si atakuita Babu, maana wewe ni Mzee tayari. Nimeoa nikiwa 27 years na najihisi nimechelewa Sana kuoa.
Hujui tu.. [emoji23]Tuache masihara dogo hajui kuchagua
Umri huo anafanyashughuli gani Hadi aoe mapema hivyo?View attachment 2184972
Brooklyn Beckham mwenye umri wa miaka 23 amefunga ndoa na Nichola Peltz. David amewazawadia wanandoa Jaguar ya umeme model ya 1954 bei yake ni £350,000.
Baba yake Nichola ni millionaire huko Marekani.
Tupo wengi mzeya...mpaka miaka 40 wengine bado hatujaoa
Yeah that's y sikuoni siku hizi nikauliza[emoji848]Sina dispensary mkuu ni kimaabara..dispensary nilikua nimeajiriwa japo now sipo Kuna kozi nachukua nimeshindwa kujigawa ndo maana now nimepotea Sana humu.
SawaLeta ushahid
Najua mzeya....sii tuna kale kamsemo ketu maziwa napata sasa kufuga ng'ombe wa niniTuliovuka 30 tuko wengi kamanda wangu
Mkuu angalia miguu hyoHujui tu.. [emoji23]
Wale wanaoipenda shule lakini shule haiwapendiDu alikua na moyo sana ku re sit mara 6.
Ni kwasababu hatuna exposure ya mambo mengi. Kuna vipaji tofauti duniani. Vesarce na Dolace and Gabanna ni designer wakubwa duniani na wanaingiza pesa nyingi wala hawana university degree.Wale wanaoipenda shule lakini shule haiwapendi
Pale ma-agemate wako wana vidigrii naww unatamani uwe nako na hii ndio AfricaNi kwasababu hatuna exposure ya mambo mengi. Kuna vipaji tofauti duniani. Vesarce na Dolace and Gabanna ni designer wakubwa duniani na wanaingiza pesa nyingi wala hawana university degree.
Niliongea na Professor mmoja kutoka Iran, aliniambia kwao Elimu ni baada ya dini kwa umuhimu. Vijana wakiwa wanajiandaa na mtihani wa form four hawaonekani mtaani. Wazazi wnanunua vitabu vyote vinavyohitajika. Chumbani kwa mtoto anakua na meza ya kusomea.Pale ma-agemate wako wana vidigrii naww unatamani uwe nako na hii ndio Africa