Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji hufuata mkondo ndugu, huku kwetu miaka 23 ndio kwanza unapambana kuhitimu elimu ya juu (kama umejitahidi sana)Pesa imeenda kwenye pesa
Wabongo bhana!!Huyu dogo huwaga ana wenge la kitoto+bangi+hela...sijui kama atamuweza huyo mtoto wa kishua[emoji848]
At 23[emoji849]
Je ni lazima tufuate mfumo wa mabeberu?Daaah hapa tupo wengi Sana sometyme sio kupenda , kuna mfumo mbovu sana kuanzia kwenye elimu , mpak kijamiii....!! Unamliza chuo kikuu Una 24 au 25 , hustle za kazi au uanze kusimama Una 27 , ndo mana graduate wengi wanaoa kwenye 28-33
Baba yake Victoria pia alikua na pesa, ndiyo maana enzi za Spice Girls aliitwa Posh Spice.Mtoto wa tajiri anaoa mtoto wa tajiri mwenzake.
Kafata nyayo za baba yake enzi zake za ujana. Baba tajiri wa mpira alimuoa mama yake tajiri wa mziki
I see your voice, umeongea kwa huruma sanaUnaongea tu!
Dada ako na 27yrsMiaka 23 amehalalisha shoo... atanjoi sana maana Kadada yawezekana ni 20 tu.
Kuna braza mmoja alirisiti mara 6 na bado hakutoboa kupata "C" moja ili aende advance, tuko form five ye bado anatafuta credit(alikuwa askari magereza),Alikuwa akitukuta tunacheza kamari na mdogo wake anatumaindi sana, mpaka anatupiga mitamaKuna wale wa ku re sit O’level upate credits. Hili zoezi nalo linakula muda.
Du alikua na moyo sana ku re seat mara 6.Kuna braza mmoja alirisiti mara 6 na bado hakutoboa kupata "C" moja ili aende advance, tuko form five ye bado anatafuta credit(alikuwa askari magereza),Alikuwa akitukuta tunacheza kamari na mdogo wake anatumaindi sana, mpaka anatupiga mitama
Kwamba?Wabongo bhana!!
witnessj yupo sahihi, huo ni uchuro tuWabongo bhana!!
Weee mkubwa huyo 27 ...sema huyo dogo kuona Nicola mtoto wa bilionea kapagawa japo nao kwao wana visentiMiaka 23 amehalalisha shoo... atanjoi sana maana Kadada yawezekana ni 20 tu.
Maneno yako yamenichoma sana hadi moyoni .... Umeongea ukweliWengi tulipenda iwe hivyo lakini urithi mkuu wa sisi wanyonge ni elimu. Elimu yenyewe unasukumana nayo mpaka upate ajira. Ukipata ajira kwanza unawaza kuboresha makazi ya wazazi.
Achana nae huyu ...dogo matendo yake tu huwaga siyaelewi kabisa ana uchildish kiwango cha makinikia...witnessj yupo sahihi, huo ni uchuro tu
Usitembee uchi, watu wakafaidi utamu bure (joke)! Hao ni uhanga tu.Huyu akimaliza mwaka kwenye hii ndoa natembea uchi hadi kkoo
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Usitembee uchi, watu wakafaidi utamu bure (joke)! Hao ni uhanga tu.