Mtoto wa Zachary Kakobe: Mfikishieni salamu baba yangu namtafuta, sijaonana naye kwa Miaka 20, nikienda Kanisani sipati nafasi ya kumuona

Miaka 43 ndio unakuwa hivyo? Mbona anaonekana ana miaka 80 huko
 
Haikubaliki

Miaka 43 no please sio miaka ya kugombea cha mzazi anatakiwa awe alishapata chake kwa kuhangaikia maisha kivyake

Umri unakataa hata aende mahakamani

Hata mahakama itamshangaa
Wajukuu wanamtaka Babu hilo unasemaje
 
Nadhani ni kwa tabia mbaya alizokuwa nazo huyu kijana ndiyo maana baba yake alimtelekeza! Huyu kama sikusahau ni mmoja wa watoto ambao Bishop alizaa nje ya ndoa kabla hajaitwa kuwa Mtumishi wa Mungu.Huyu kijana angekuwa mtulivu angekula vinono! Kwa mfano ukiangalia watoto wa mke wa ndoa wa Bishop wako vizuri sana kimaisha na wana Kampuni yao ya biashara iinayowaingizia pesa nzuri tu.Sasa inawezekana huyu kijana akiona watoto wengine wa Bishop wako vizuri anajaribu kutafuta mlango wa kumwona baba yake akifikiri labda anaweza kumwangalizia fursa.
Nadhani kwa umri aliofikia huyu kijana angeendelea na mishe zake za kusaka maisha kuliko atafute fursa ya kuonana na baba yake ambaye yuko bize na majukumu ya Kanisa!
 
Lina miaka 43 bado toto hilo? Liende huko lisisumbue Mzee Kakobe tena likome


Ukisoma michango mingi ya wadau humu utagundua ni kiasi gani sisi waTanzania tu wabinafsi na wenye roho mbaya mpaka inatisha.

Fikra za kimaskini zimetawala bongo zetu kiasi kwamba utu wetu umemezwa na tamaa ya mali!

Giza la roho nyeusi limeyapofua macho yetu hatuoni uhalisia Bali matamanio yetu!

Tumepofushwa na matokeo mabaya ya kuuzoea umaskini mpaka tumeshupaza mishipa kumkatalia Jamaa haki yake ya kuwa mtoto wa Mzee Kakobe!! As if we can!!!

Tumeamua kuwa jamii isiyotambua na kuamini ya kwamba msingi sahihi na muhimu katika kuijenga jamii na kisha Taifa, ni familia imara yenye mshikamano mfano wa kamba ya Chuma.

Familia imara yenye mshikamano wa pamoja pasipo ubaguzi, umimi na mawazo ovu muda wote ndio nguzo pekee inayosimama kizazi na kizazi.

Si ajabu wengi wetu hatujui hata babu kizaa baba yake na babu ni nani!

Inaumiza sana kufikiria miaka 10 ijayo hali itakuwaje kijamii!!
 
Angekuwa basi hata anampigia simu.
Angekuwa basi hata anasema nikietewe wajukuu zangu wanisalimie
Angekuwa basi anasema awasiliane na mkwewe.

Lakini hao watoto wengine kuwajengea majumba na kuwaanzishia biashara kunakuuma sana kuona huyu ambaye katupwa jalalani anataka tu kuzungumza na baba yake ili hata wasipoonana wawe wameagana salama unaona nongwa sana.

Kwenye video yake ameweka namba yake. Mpigie umpe marufuku yako asimhangaishe askofu wako


Lakini hao ndugu
 
Kakobe ana kaa Mbezi Beach
Kwenye nyumba kubwa
Kama sikosei mtaa wa Tembo
Hata akifika hapo majirani watamwonyesha
 
Miaka 43????
 
Sasa kama una maisha yako na hakutaki kwanini umtafute?

Pili yaani baba yako na mama yako akukatae? Labda ni mtoto wa nnje mama kakobe anakaza

Apambane na maisha tu amuombe Mungu amsaidie apate fedha aache mambo ya kujikomba
Huyo jamaa anajulikana na juna wengi wanamjua akiwa hata chalii kanisan kwa kakobe miaka hiyo.
Sio kwamba kakobe hajawahi kuishi naye...
Pale kanisan alikuwa anagombanisha mabinti na akaanza ulevi.ilikuwa changamoto sana kwa kanisa vibinti vinatobolewa na huyu mwamba.
Kakobe akamwonya, akamwonya tena, na kumuonya ila jamaa akawa hasikii.Ikawa kakobe achague kanisa au mmtoto. Kwa hekima akachagua kanisa
 
Hakuna watu wabaya zaidi ya hao wanaojiita watumishi wa Bwana.

Hapo wanaofia mali, mke kashika bango akisema mwana wa mjakazi hataridhi mali

Waambieni waache roho mbaya, mali zenyewe ni sadaka kutoka mifuko ya watu,
Kihistoria kakobe amembeba sana huyu mtoto mpaka ikafikia wakati ni shida kwa kanisa...
Mabinti kanisani anawazoa...baaadae ulevi . Kakobe akaona asiwe taabu...
Majirani zake kakobe wanamjua vizuri akiwa chalii anaishi kwa kakobe
 
Ndugu mbona unanena maneno makali dhidi ya mwanadamu mwenzako kana kwamba sisi sote ni wakamilifu.....!!?

Inawezekana kijana akawa amemkosea mzee wake kutokana na harakati na pirika pirika za kiulimwengu kama tunavyoelwa mambo ya ujana.........

Pamoja na yote lakini bado anasthili msamaha kwani yeye ni mzazi wake......mzee Kakobe ameze mate ya uchungu na amsamehe kijana kama ambavyo anahubiri KANISANI kwake nguvu ya msamaha.........

Amini nakwambia ya kuwa ijapokuwa inaonekana hajali kwa sababu ya kibuli na kumbu kumbu mbaya lakini nafsini mwake inamtesa kwani damu ni nzito kuliko maji...............

Haijalishi ametumia njia Gani lakini tujikitie kwenye hoja na ya msingi ya kijana........

Hata sisi kwenye maisha haya nyakati fulani huwakwaza na kuwakosea watu na huomba misamaha na kusamehewa..........

Kuhifadhi mafundo ya chuki dhidi ya wanadamu wenzako ni ushetani bali kuachiilia msamaha ni upendo.........
 
Kama kweli ni mtoto wake basi baba ana Siri kubwa. Ili mambo yake yaende inabidi mtoto awe hivyo.
 
We Frank tafuta hela, dingi atakutafuta mwenyewe
 
Mambo gani? Hujawahi kuona mtoto wa tajiri yupo yupo tu na hasaidiwi? Mwingine anakunywa mpaka anapoteza fahamu! Tajiri atashindwa kumsaidia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…