Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Kwanini akamtimua badala ya kumwombea ili hilo 'pepo' la ulevi(kama wanavyoita) limtoke!?Hapana,huyu ni mtoto wake kweli kwenye miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa anasali kwa baba yake na kila mtu alimjua,alipoanza ulevi tu akatimuliwa nyumbani,nimeshangaa amezeeka ghafla hivi
Hizi imani zina walakin..