Mtoto wa Zachary Kakobe: Mfikishieni salamu baba yangu namtafuta, sijaonana naye kwa Miaka 20, nikienda Kanisani sipati nafasi ya kumuona

Kwanini akamtimua badala ya kumwombea ili hilo 'pepo' la ulevi(kama wanavyoita) limtoke!?

Hizi imani zina walakin..
Tuseme Kakobe tangu awe mtumishi wa Mungu (?) hajawahi kuwahubiria waumini wake kuwasamehe wenzao wanaowakosea 7 x 70 kama ilivyoandikwa kwenye biblia anayotumia kuwahubiria? Na kwa huyu mwanae ameshawahi kumsamehe mara ngapi ili kuwa mfano kwa hao waumini wake?
 
Huyu jamàa ni wale watoto wanazaliwa familia bora anapata kila kitu anajisahau mzee anampotezea mazima mzee kakobe ni wale ma father hawatakagi ufala no matter wewe ni nani kwake, hii ilimkuta bro wangu mkubwa pia msure alimkataa kabisa baada ya kuchezea shule miaka hiyo
 
Hapana,huyu ni mtoto wake kweli kwenye miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa anasali kwa baba yake na kila mtu alimjua,alipoanza ulevi tu akatimuliwa nyumbani,nimeshangaa amezeeka ghafla hivi
Hawa manabii wa Mazingaimbwe na viini macho hawa...

Unafiki wote anaohubiri uwe makaa kichwani mwake na ule weusi wake.

Nimemalza.
 
Duniani hataki kuchafuka lakini kwa anayemtumikia si kuchafuka. Lazima kuushinda ubaya kwa wema kama Yesu alivyo ushinda ubaya wa mwanafunzi wake Yuda.
 
Kakobe hana simu, kwa nini asimpigie?, mama yake nae hataki mawasiliano nae, hata ya simu? Ndugu woote hamuwasiliani? Baba wadogo, shangazi, wajomba hawapo? Nimekumbuka story ya yule mama aliyejifanya kuzaa na Gwajima, baada ya dili kubuma, haijulikani kafichwa nchi gani. Mmeanza tena
 
Baada ya Uhamiaji kuanza kumhoji uraia wake ndipo kwa mara ya kwanza in more than 40yrs alienda kuwatembelea nduguze Kigoma.

Ni wa kumuombea badala ya kumshutumu
 
Mwambieni huyu jamaa akaze pumb* aachane na kumtafuta baba yake ili alelewe.
Yeye ameshakuwa mkubwa haoni hadi mavyuzii yake yameshakuwa na rangi nyeupe.?
Mwambieni akitaka vya bure aende Mombasa kuna watu wanatafuta watu wa kuwalea.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hata wewe umekaza pumb* ukaachana na bababyako?

Kama baba yupo hai, kwa nini asimtafute?

Hataki kulelewa maana amesema alishalelewa naye bali anataka kuzungumza naye. Hofu yenu ni kuwa atadai mali
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hata wewe umekaza pumb* ukaachana na bababyako?

Kama baba yupo hai, kwa nini asimtafute?

Hataki kulelewa maana amesema alishalelewa naye bali anataka kuzungumza naye. Hofu yenu ni kuwa atadai mali
Unaonekana unayajua vema maisha ya Askofu Kakobe.
 
Hivi yule mtoto wa kike wa Lowasa aliishia wapi?
 
Unaonekana unayajua vema maisha ya Askofu Kakobe.
Kwa mujibu wa vigezo vyako au unafananisha na usahihi upi wa maisha yake ili kusema nayajua?

He is public figuee, mengi yanaongewa kuhusu yeye na inawezekana yana ukweli au chumvi nyingi.
Kwa sababu hajawahi kuyakanusha wala kuyakubali basi tunapita humo humo
 
Bado atabaki tu kuwa 'mtoto' kwa Mzee Kakobe......mtoto kwa mzazi hakui.
 
Hawatafuti hao wote. Anamtafuta baba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…