Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?

Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?

Kijana wangu bila kujua alimtania mbirikimo mbele ya umati akijua mtoto mwenzie.
Hii ya kimbilikimo mama kanisimulia tena jana nilivokua mdogo nikashangaa mbna uyo mtu Mzma ila mdogo nikaanza kuita mama angalia uyo kwa sauti tena mbele za watu ilibidi mama Na shangazi waingie kwenye Duka kuzuga kwanza[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mwanangu amekulia sehemu ambayo hakuna Waislamu hajawahi ona mtu akiwa amevaa yale sijui majuba au hijabu manguo meusi ya kufunika uso na mwili mzima.

Nilienda naye Morogoro kwa wazazi, asubuhi akakutana na mama wa kiislam Jirani yetu amevaa yale manguo. Naona mtoto kaja ndani spidi analia na kumuita Mama yake. Mamaaaaa kuna jini linakuja. Kidogo tunaona yule mama anakuja nyumbani. Dogo yupo chumbani amejifunika blanket. Ikabidi tuombe msamaha kwa yule mama maana alisikia na akawa amekasirika. Tukaanza muelekeza mtoto kwani alikuwa mtoto wa miaka 4 kipindi hiko.
Duu! Huu ulikuwa msala kweli.
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu,alinitembelea home, siku hiyo nilikua nipo na kabinti kangu , kana miaka mitatu .

Tukawa tupo mezani wote watatu wakati wa chakula cha mchana .

Baada ya kumaliza kula binti wa watu kabakiza chakula , akadai kashiba.

Kabinti kangu kakaropoka" icho chakula unamwachia nan? , unadhani baba yangu anapesa za mchezo" .

Duh niliona aibu sna ,sijui ayo maneno kayatolea wapi.
Huyo mtoto aliwasaidia kumpa ukweli huyo mgeni. Kweli haipendezi kupakua chakula ambacho unajua hutakimaliza- mbaya zaidi upo ugenini. Ni bora upakue kisitoshe kuliko kubakiza.
 
Unapokuwa mgeni hasa kwenye nyumba yenye mtoto ni vyema kuwa makini sana....

Jamaa mmoja alienda ugenini sasa akawa ameketi sebleni wanaangalia TV sasa jamaa remote ilikuwa pembeni yake akaamua kuichukua abadili channel..pembeni alikuwa mtoto wa mwenyeji wake akaanza kumuuliza jamaa, "Wewe si mgeni?, Si umekuja saivi tuu? Mbona unatumia remote kama vile ni yako?"

Jamaa aliona aibu sana yani....
 
Mm nilienda kijijini issue za kulima, mtoto wa mwenyeji wangu ilipofika muda wa chakula akawa ananisukuma na kunivuta huku ananiambia "ondoka tule".

Kumbe bhana yule mwenyeji wangu alipika chakula alaf akakiweka ili nikiondoka ndo wale. Sasa yule dogo akakosa uvumilivu ikabidi anichane. Muda huohuo niliondoka na sikuwahi kukaa pale muda wa chakula.
 
Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaanza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikua na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
 
Huyo mtoto aliwasaidia kumpa ukweli huyo mgeni. Kweli haipendezi kupakua chakula ambacho unajua hutakimaliza- mbaya zaidi upo ugenini. Ni bora upakue kisitoshe kuliko kubakiza.
Ni ukwel, kabisa ila ilibdi akaushe , kwa sababu mda wote alikua kimya tu ,kumbe alikua anamchora mgen.
 
Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
Hii chai..
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu,alinitembelea home, siku hiyo nilikua nipo na kabinti kangu , kana miaka mitatu .

Tukawa tupo mezani wote watatu wakati wa chakula cha mchana .

Baada ya kumaliza kula binti wa watu kabakiza chakula , akadai kashiba.

Kabinti kangu kakaropoka" icho chakula unamwachia nan? , unadhani baba yangu anapesa za mchezo" .

Duh niliona aibu sna ,sijui ayo maneno kayatolea wapi.
Watoto wa kulelewa na singo maza hao,ungempa kofi olomife moja mpaka acheue hao dagaa na ugali
 
Watoto wa kulelewa na singo maza hao,ungempa kofi olomife moja mpaka acheue hao dagaa na ugali
Apana mkuu ,hajalelewa na mama yake hata kidgo ,wala haitokaa itokee ivyo.
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu,alinitembelea home, siku hiyo nilikua nipo na kabinti kangu , kana miaka mitatu .

Tukawa tupo mezani wote watatu wakati wa chakula cha mchana .

Baada ya kumaliza kula binti wa watu kabakiza chakula , akadai kashiba.

Kabinti kangu kakaropoka" icho chakula unamwachia nan? , unadhani baba yangu anapesa za mchezo" .

Duh niliona aibu sna ,sijui ayo maneno kayatolea wapi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Binti ana kitu atafika mbali
 
Back
Top Bottom