NAHAL
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,670
- 3,281
Anatugombeza hovyohovyo Tu bila Adabu,,anafikiri Mtoto matako kila Mtu anayo!!Tafuta hata wa kusingiziwa uache makasiriko[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatugombeza hovyohovyo Tu bila Adabu,,anafikiri Mtoto matako kila Mtu anayo!!Tafuta hata wa kusingiziwa uache makasiriko[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna tabia mbaya kama hyo...sijui wtt wengine wazazi wanawavumiliaje na hali hyo...wa kwangu mgeni akiwepo kwanza hawasoge labda waitwe...Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Kako makini kweli😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Binti ana kitu atafika mbali
Mchana KweupeTUNAPIGWA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dogo mnywaji mtarajiwa[emoji23]Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
HahaaaaaaAnatugombeza hovyohovyo Tu bila Adabu,,anafikiri Mtoto matako kila Mtu anayo!!
Hahaaaaa, eti anaipiga tarumbeta.Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
[emoji23][emoji23]Mm nilienda kijijini issue za kulima, mtoto wa mwenyeji wangu ilipofika muda wa chakula akawa ananisukuma na kunivuta huku ananiambia "ondoka tule".
Kumbe bhana yule mwenyeji wangu alipika chakula alaf akakiweka ili nikiondoka ndo wale. Sasa yule dogo akakosa uvumilivu ikabidi anichane. Muda huohuo niliondoka na sikuwahi kukaa pale muda wa chakula.
Anza kumdadisi vipeo alivyo navyo ili vikusaidie kumsaidia kwenye ndoto zake hapo baadaeKako makini kweli[emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
Huyu dogo yuko darasa la pili, mgeni tuko naye saa tano hivi tunasubiri mlo wa mchana, dogo akawa anajifanya mcheshi kwa mgeni, hamadi akachukua glasi nusu ya Johny Walker ya mgeni akakata kama utani, huyo katoka nje kaenda kucheza na wenzake, akarudi saa nane hivi kuja kula anaulizia kama kitimoto ya jana ilibaki.Wakuu kwema?
Kama tunavyojua watoto walivyo, hawana aibu, wanafanya kile wanajisikia kwa wakati huo, japokuwa kuna wengine wananya kukukomesha. Wanajua mama/baba huwa hataki kuninunulia kitu fulani mkifika supermarket anapiga kelele duka zima wanasikia analilia mdoli😂😂.
Ama unajua mtoto wako huwa hali kitu fulani, unakaribishwa umpe mtoo unasema mwananguhuwa halagi hivi, picha linaanza mwanai alaililia na kula kitu!
Vipi mdau, ni tukio gani mtoto wako aliwahi kukuambisha mbele za watu?
Sawa mkuu nashukuruAnza kumdadisi vipeo alivyo navyo ili vikusaidie kumsaidia kwenye ndoto zake hapo baadae
Hakuna kitu members wa Jamii Forum hawana..fatiliaUdanganye kuwa na mtoto ili iweje sasa[emoji849]
Inakera Sana ndio mana nimeshushia na mtusiNdio hata mimi nimemshangaa alafu na kututukana juu. Anawezekana ana radhi huyo jamaa.
NakshinashkHapo mwishoni mkuu ni lugha Gani? Maana yake ni nini?
🤣🤣🤣Hakuna kitu members wa Jamii Forum hawana..fatilia