Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?

Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?

Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Hakuna tabia mbaya kama hyo...sijui wtt wengine wazazi wanawavumiliaje na hali hyo...wa kwangu mgeni akiwepo kwanza hawasoge labda waitwe...
 
Wengjne mazingira yetu mgeni akiwepo hakuna mtoto atajipitisha mbele za wageni,

Na hiyo tabia ya kuropokaropoka watoto wwnu wanaiga kwenu wazazi na walezi,wafundisheni watoto kuwa na khaba si kila wanachokiona/kusikia ni lazima waongee,

aisee simpendi mtoto mropokaji,
 
Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dogo mnywaji mtarajiwa[emoji23]

Eti nataka pombe, ungempa uone kama angeiweza[emoji3]
 
Mm nilienda kijijini issue za kulima, mtoto wa mwenyeji wangu ilipofika muda wa chakula akawa ananisukuma na kunivuta huku ananiambia "ondoka tule".

Kumbe bhana yule mwenyeji wangu alipika chakula alaf akakiweka ili nikiondoka ndo wale. Sasa yule dogo akakosa uvumilivu ikabidi anichane. Muda huohuo niliondoka na sikuwahi kukaa pale muda wa chakula.
[emoji23][emoji23]
 
Kitoto changu nilikipeleka hospital kuchek malaria sasa baada yakutoka hospital tukakaa bar flan jiran na hospital kumnunulia chips akawa anagonga pale mara siakaamza kulilia bia , eti nataka biaaa ,ninunulie bia nikawa nazuga pale muhudumu naomba malta huyu dogo malta anaitaga bia dogo likaanza sitaki hio nataka pombee kulikuza na wazee pale wakawa wananiona kama mpinga kristo halafu Chakushangaza sijawah kula gambe mbele yake na mama yake hanywi na kilikua na miaka miwili dah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu kwema?

Kama tunavyojua watoto walivyo, hawana aibu, wanafanya kile wanajisikia kwa wakati huo, japokuwa kuna wengine wananya kukukomesha. Wanajua mama/baba huwa hataki kuninunulia kitu fulani mkifika supermarket anapiga kelele duka zima wanasikia analilia mdoli😂😂.

Ama unajua mtoto wako huwa hali kitu fulani, unakaribishwa umpe mtoo unasema mwananguhuwa halagi hivi, picha linaanza mwanai alaililia na kula kitu!

Vipi mdau, ni tukio gani mtoto wako aliwahi kukuambisha mbele za watu?
Huyu dogo yuko darasa la pili, mgeni tuko naye saa tano hivi tunasubiri mlo wa mchana, dogo akawa anajifanya mcheshi kwa mgeni, hamadi akachukua glasi nusu ya Johny Walker ya mgeni akakata kama utani, huyo katoka nje kaenda kucheza na wenzake, akarudi saa nane hivi kuja kula anaulizia kama kitimoto ya jana ilibaki.
Nilibaki sina neno zaidi ya kuzungumzia mvua.
 
Back
Top Bottom