Mtoto wako amewahi kukuaibisha mbele za watu?

Sasa waonaje aibu wakati kaongea uhalisia?
 
Tuliwahi kumtembelea jirani, tukaletewa soda hatujakaa sawa mtoto wake akaja na likikombe likubwa anaomba soda, ukimuwekea anaipiga tarumbeta anaomba tena, sio mtoto wangu ila nilihisi aibu.
Mi vitoto kama hivyo navikazia jicho tu
 
Mtoto alimjibu vizuri kabisa, hakuwa na kosa kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kafanya vzr sana
 
Kama nakuona ukiwa unamtizama mwamba anavyowachezea kuku

Hongera sana endelea kuenjoy na huyo mwamba muandalie kesho iliyo njema ili kesho aseme bila wazazi wangu mmi nisingekuwa hapa.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Duu! Pole sana.
 
Mwenyewe mkuu sipendi mtu abakize chakula na kitupwe, unasema mapema kama ni kingi.......
Sitaki uharibifu watu wanalala njaa ujue. Una binti smart Kwa kweli
Mimi sina mzaha na chakula. Dogo alikuwa na tabia ya kula na kuacha chakula sasa hivi kaacha. Nikiona kaacha chakula, atakimaliza kwa lazima. Anavuta mdomo wee, lakini sasa hivi yuko powa.
 
Ila hii tabia ya mtu anajipakulia chakula mwenyewe halafu eti anakula nusu au robo anaacha huwa ni tabia mbaya sana.
Mbaya kweli. Ni ulimbukeni tu wa kibongo. Hawa wenzetu wanathamini sana chakula. Hata akienda hotel akila chakula kinachobaki anabeba. Mimi nikienda kula huwa nawaambia wapunguze maana siwezi kumaliza.
 
Mimi sina mzaha na chakula. Dogo alikuwa na tabia ya kula na kuacha chakula sasa hivi kaacha. Nikiona kaacha chakula, atakimaliza kwa lazima. Anavuta mdomo wee, lakini sasa hivi yuko powa.
Hongera Kwa malezi mkuu. Thamani ya bidii ya mtu kwenye utafutaji lazima iheshimiwe.
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Mambo ya Watoto yanafurahisha sanaa....wakikua hawaamini ukiwapa story za mambo waliofanya wakiwa watoto
Kabisa Mkuu...
Watoto wana vituko sana...
Mimi huwa nacheka...Ni vile tu wangu wamekuwa sasa wameanza kuona na aibu...

Ila kipindi hicho nilikuwa nacheka mno vituko vyao..sasa hivi na'enjoy vituko vya watoto wa Majirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ