Mtoto wangu ananishangaza

Mtoto wangu ananishangaza

Uyo chalii ako mzembe sana. Mimi chalii zangu wakiwa na miezi 11 tu waliacha kujikojoleya na kuanza kuongea na kitembea apo apo..sijui ni vi UFO hivi 🙄🙄
 
Niaje wakuu

Tusichoshane.

Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikojolei wala kujinyea.

Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.

Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.

Huyu chaliangu ni jembe.

Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Yeah,na wanakuwa very smart Kwa kichwa
 
Aundiwe tume ya uchunguzi atakuwa na siri nzito kama ulikuw ukinyanduana ukidhani amelala
 
Ana IQ KUBWA

Chakubwa, unatakiwa kumshukuru Mola Mlezi na siyo kulileta humu!!! Hasad is real na inatosha kuhusudiwa kwa kule kumhadithia mtu hata bila kuiona NEEMA husika...

Tujenga utamaduni wa kuhifadhi mambo yetu ya familia kama hakuna ulazima sana kuyasimulia.

Tutakaribisha Hasad katika majumba yetu.
Ni ushauri tu!
Niaje wakuu choshane.

Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikojolei wala kujinyea.

Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.

Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.

Huyu chaliangu ni jembe.

Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
 
Mbona wangu aliacha chini ya umri kama huo, hajinyei kabisa under 2.5' years anaweza count vizuri
Ninyi mna bahati tu, wengine wana mwaka na nusu lakini hata ukimwekea Poti hapo hataki kabisa kukalia...ni kuvaa pampas daily, hourly
 
Ninyi mna bahati tu, wengine wana mwaka na nusu lakini hata ukimwekea Poti hapo hataki kabisa kukalia...ni kuvaa pampas daily, hourly
Mtoto akifika miezi 7 anatakiwa afunzwe kupangwa kujisaidia haja zote kubwaa na ndogo mpk akiamkwa asubuhi unamuweka Kwa potti mpk akojoe mchana pia unamuacha km masaa mawili then unampanga Tena
Mwishowe huzoea hyo Hali wanangu wote wameacha kujisaidia miaka miwili labda itokee bahati mbaya sanaa
Wengine tuna Malezi ya kizamani ya watoto yaani namfunza Bado mdogo haja zote


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom