Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Dah,mna dharau sana nyie watu....pamoja na Tajiri kujenga uwanja wa kisasa bado mnapaita kijijini?Sasa Chamazi mao ni mji mwanangu?
Mbagala yenyewe ni kitongoji tu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,mna dharau sana nyie watu....pamoja na Tajiri kujenga uwanja wa kisasa bado mnapaita kijijini?Sasa Chamazi mao ni mji mwanangu?
Mbagala yenyewe ni kitongoji tu😂
Tarehe 1 mwezi ujao uzinduzi, ila uje na mwenye above 18 😅Malizia jengo tuje tulizindue na hawa wapoteaji mkuu
Mapenzi na malezi sio pesa....hata wazazi maskini wanapenda na kupendwa na watoto wao... Tatizo ni wazazi wa kisasa kuwa busy kutafuta pesa na kukosa uangilizi Kwa watoto,,bond baina ya mzazi na mtoto inakosekanaWatu wanazaa zaa hovyo alafu hela ya kulea hawana unategemea mtoto atapafutahia nyumbani?
Uwanja pekee sio kigezo cha kuwa mjiDah,mna dharau sana nyie watu....pamoja na Tajiri kujenga uwanja wa kisasa bado mnapaita kijijini?
Kama angekuwa mwanangu na nikagundua kaingiliwa na mtu....Aiseee ningempoteza Kila aliyehusika kwa gharama yoyote IleHivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
Source : GlobaltvView attachment 2795856
Dah,wakazi wa Chamazi waungane kukemea huu ni uonevu.😥Uwanja pekee sio kogezo cha kuwa mjo
Ungewapotezaje madam?ungetumia njia zipi?Kama angekuwa mwanangu na nikagundua kaingiliwa na mtu....Aiseee ningempoteza Kila aliyehusika kwa gharama yoyote Ile
Watoto wa kike wathaminiwe
Nijibuje sasaAlinikataa kwani najiuza?
Hata usijali nakuja naeTarehe 1 mwezi ujao uzinduzi, ila uje na mwenye above 18 😅
Wametumia tafsida tu ila inaeleweka Nini kimeendelea kwenye Hilo sakataKinawakati tunachukulia mambo poa lakini tunakoelekea itakuja kuwa mazoea. Mimi nategemea mtoto was kupotea ni under 7 lamda Kwa sababu huyo Binti kama jina la shule analijua na mtaa ilipo na jina la mzazi analijua inakuwaje anapotea?
Nguvu hizo watazitoa wapo?Dah,wakazi wa Chamazi waungane kukemea huu ni uonevu.😥
Dah...nimesikitika sana Kwa niaba yaoNguvu hizo watazitoa wapo?
Mguvu za kibinadamu ni pesa, sasa wao hizo nguvu hawana, wasubiri subiri kwanzaDah...nimesikitika sana Kwa niaba yao
Mwenzaaa chamazi sio dar 😆😆😆😆Ila hao global TV mbona Wana dharau sana?yaani chamazi ni Kijiji?au Kuna Chamazi mbili hapa Dslam?
Daah,hamna hata mmoja aliyeibuka kutetea kata Yao kuitwa Kijiji,na wamo humu tele....kisa wanaogopa kuonekana hawana"Nguvu"😥Mguvu za kibinadamu ni pesa, sasa wao hizo nguvu hawana, wasubiri subiri kwanza
Albadili hakuna chengine na ndio njia nyepesi ya kuadhibu kuliko zoteUngewapotezaje madam?ungetumia njia zipi?
Mbona taarifa haijakamilika sheikhHivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
---
Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19, 2023, amepatikana.
Usiku wa kuamkia leo Oktoba 28, 2023, GLOBAL TV imepokea simu kuwa Warda ameonekana Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar.
GLOBAL TV imefunga safari na kwenda kumshuhudia Warda na kumtambua kuwa kweli ni yeye.
Source : Globaltv