Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanao toroka ni wa kike tuu! Tena 15+ Yrs kuna shida mahaliHivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
---
Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19, 2023, amepatikana.
Usiku wa kuamkia leo Oktoba 28, 2023, GLOBAL TV imepokea simu kuwa Warda ameonekana Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar.
GLOBAL TV imefunga safari na kwenda kumshuhudia Warda na kumtambua kuwa kweli ni yeye.
Source : Globaltv
Huwezi kutengeneza bondi au kuangalia mtoto ikiwa hujajiimarisha kiuchumi... ndo maana nimemaanisha kuzaa hovyo bila kujipanga ndo matokeo hayo... We nikuulize tu au nikuambie fanya uchunguzi utagundua asilimia kubwa ya hao watoto wa kike wanapotea ghafla majumbani utagundua vishawishi hupelekewa na hali ya mazingira iliyowazunguka.Mapenzi na malezi sio pesa....hata wazazi maskini wanapenda na kupendwa na watoto wao... Tatizo ni wazazi wa kisasa kuwa busy kutafuta pesa na kukosa uangilizi Kwa watoto,,bond baina ya mzazi na mtoto inakosekana
Keshakuwa mkubwaHivi ni kitu gani kinatokea kwa hawa watoto siku hizi mpaka wanakimbia makwao?
---
Mtoto Warda Mohammed (15) aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyumbu iliyopo Kibaha mkoani Pwani aliyepotea tangu Aprili 19, 2023, amepatikana.
Usiku wa kuamkia leo Oktoba 28, 2023, GLOBAL TV imepokea simu kuwa Warda ameonekana Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar.
GLOBAL TV imefunga safari na kwenda kumshuhudia Warda na kumtambua kuwa kweli ni yeye.
Source : Globaltv
Hivi hamna wakazi wa Chamazi huyu🤣🤣?😂😂😂😂 mwenyewe nasubiri jibu.
Hiyo ndo sababuWatu wanazaa zaa hovyo alafu hela ya kulea hawana unategemea mtoto atapafutahia nyumbani?
We mwenyewe umeingiliwa vichakaniKama angekuwa mwanangu na nikagundua kaingiliwa na mtu....Aiseee ningempoteza Kila aliyehusika kwa gharama yoyote Ile
Watoto wa kike wathaminiwe
Ukinyoosha mkono huendi hukoSijui ni vyakula au kitu gani.
Madogo wanatokwa na shepu na vichuchu wakiwa na miaka 9 mpaka 12.
Binti anaemaliza darasa la 7 ni ngumu kumtofautisha na mtu mzima afaae kwa natumizi..
Kidogo niikaribie 30 yrs lupango kwa binti aliemaliza la 7, bila kuuliza hakyanani ningenyea debe.
Ni kichaa sanaHuyu akili zake si unazijua 🤣🤣🤣😍
Walahi simjui huyo mtu Mimi😥😥,pambana na mke mwenzio hukoDada Ana siri huyu sijapentraaa
Sasa ni Jiji?washamba wa kusini wote wanaishi huko.kuna kiongozi gani umewahi kuskia anaishi hata Mbagala tu?Ila hao global TV mbona Wana dharau sana?yaani chamazi ni Kijiji?au Kuna Chamazi mbili hapa Dslam?
🤣🤣🤣 Kwahiyo siri yangu sio wako?Sasa namfichaje?nilisema siku ya nilipoachwa kwamba namwachia Missy Gf baby wangu ila nimekaa pale atanirudushia si uanaona wababe wapya kina Siri yangu wanavyombebisha?🤣🤣🤣🤣
Sielewi maana ya Kwa akili sanaaa🤣🤣🤣Hiyo jeuri itoke wapi?
Unafikiri ni dharau? Ni sifa stahiki.
Huko kuna sukari za 200, 300, 500.
YAani mangi anaigawa kg moja ya sukari hadi jimla inatoa 6,000/=
Kwa imasikini wetu tunasemq Mbagala na biunga vyake vitu bei rahisi kumbe tunapigwa kwa akili sanaaa.
Kuna daladala imeandikwa ( kwa akili sanaa)
Unaelewa maana yake? 😂😂😂
Kwani ni Mimi au bro na Siri yake ndio wanabebishana mi simo?🤣🤣🤣 Kwahiyo siri yangu sio wako?
Sasa mbona anakubebisha na bro namuona kabisa kapanic hakutegemea hili